Unywaji wa vinywaji hivi nini matokeo yake miaka 10 ijayo?

Well done bro.... ila tunakuamba ufe kifo cha ghafla sio kututia simanzi tukuchangie upelekwe india kubadilishwa vigo sijui ubongo
 
Everything too much is harmful, usiogope kutumia ila tumia kadri ya maelekezo.

Umeambiwa usinywe enerdy drinks zaidi ya mbili sasa ukizidisha ndo hatari zaidi.
Lakini pia hpohapo kwenye chupa kuna makatazo na misisitizo kadhaa, huwa hamsomi ama??
 
Hata kuishi ni hatari, hasa nchi zetu hizi
 
Diabetes ileeeeee
 
Well done bro.... ila tunakuamba ufe kifo cha ghafla sio kututia simanzi tukuchangie upelekwe india kubadilishwa vigo sijui ubongo
Hakuna kitu kama hicho iyo mechanism ya vinywaji na hayo magojwa sio kirahisi hivyo acheni kushikiwa akili! Na wauza mitishamba

App kikubwa usizidishe basi
 
Mi nilikiheshim kifo baada ya kumuona mtu kagongwa na gari kafa,ili hali kavaa barakoa korona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…