Uongo gani mkubwa uliwahi kuongopewa na mwenza wako ukaja kujua ukweli?

Tukiwa high school, alisema alikuwa bikra, nilipomkula sikuikuta. Nilipoondoka akanitext eti "babe nimeona vidamudamu after you left"
😄😄
Me: Just chill bixch, wala sikuwa na nia na hiyo bikra yako.
Huko huko high school juzi Kati na mimi hii imenikuta sema kuna sehemu naona kama nilizingua mwenyewe tu
 
Tukiwa high school, alisema alikuwa bikra, nilipomkula sikuikuta. Nilipoondoka akanitext eti "babe nimeona vidamudamu after you left"
😄😄
Me: Just chill bixch, wala sikuwa na nia na hiyo bikra yako.
Wanawake wengine Dam haitokagi
 
Dah mie nililea mimba hewa na watoto mapacha wakazaliwa halafu wakafa nikaombwa na hela ya kuwafanyia arobaini dah WE BINTI WA KITANGA nashkuru sana aisee
 
Nimefumania msg za michepuko yake, mwenyewe hajajua kama nimeziona. Ameshatembea na kila mfanyakazi wa ofisini kwao na mbaya zaidi kila siku yeye ndo anawasema wafanyakazi wenzake wa kike kuwa ni malaya na wanatumia miili yao kujitengenezea mazingira mazuri ofisini!!! Kifupi naishi na Muuza K!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…