Namchukia kiumbe muongo[emoji35]Ndio hivyo ukiwa muongo na mtu wa kamba nyingi mixer muigizaji unawakamata wengi.
HongeraNilikutana nae njiani. Alikua pisi kali haswa kalikua mwaka wa mwisho diploma ya ualimu somewhere. Nikamuomba namba tukawa tunachat. Nikamuuliza jina lake akanitajia, Irene. Akaniuliza la kwangu nikamdanganya. Dini nikamdanganya. Tukawa wapenzi. First date akaja kwangu akapika mazaga tukala kisha nikamla na yeye.
Ikawa kila weekend anakuja getto anafua anapika analiwa maisha yanaenda. Vibe kama lote. Alijua ameshapata wa kufanana nae. Mambo yakaanza kua serious sasa. Akaanza kua ananishirikisha mambo ya kwao huko na familia yake. Mzinga pekee anaoomba ni wa kumuunga bundle tu. Mwenyewe nikawa najiongeza akija getto kulala weekend namtoa 50k akawa anagoma, eti niibajeti ktk mambo mengine ya msingi kwa maana yeye hana shida ya pesa anachohitaji mda wangu tu na mapenzi.
Ikabidi mwisho wa siku nimuweke chini. Nikampa makavu. Sina future nae, dini yangu hainiruhusu kuoa mwanamke tofauti na sisi. Nikamtajia na jina langu halisi. Hakushtuka zaidi akauliza kitu gani kingine ulinidanganya? Nikamwambia ni hayo tu. Akalia akasepa zake. Baada ya wiki akahamia mazima getto. Amekomaa anataka kubadili dini nimuoe. Mpaka sasa tunapika tunapakua, soon atanibadilisha cheo ntaitwa baba...
Safi sana,Nilikutana nae njiani. Alikua pisi kali haswa kalikua mwaka wa mwisho diploma ya ualimu somewhere. Nikamuomba namba tukawa tunachat. Nikamuuliza jina lake akanitajia, Irene. Akaniuliza la kwangu nikamdanganya. Dini nikamdanganya. Tukawa wapenzi. First date akaja kwangu akapika mazaga tukala kisha nikamla na yeye.
Ikawa kila weekend anakuja getto anafua anapika analiwa maisha yanaenda. Vibe kama lote. Alijua ameshapata wa kufanana nae. Mambo yakaanza kua serious sasa. Akaanza kua ananishirikisha mambo ya kwao huko na familia yake. Mzinga pekee anaoomba ni wa kumuunga bundle tu. Mwenyewe nikawa najiongeza akija getto kulala weekend namtoa 50k akawa anagoma, eti niibajeti ktk mambo mengine ya msingi kwa maana yeye hana shida ya pesa anachohitaji mda wangu tu na mapenzi.
Ikabidi mwisho wa siku nimuweke chini. Nikampa makavu. Sina future nae, dini yangu hainiruhusu kuoa mwanamke tofauti na sisi. Nikamtajia na jina langu halisi. Hakushtuka zaidi akauliza kitu gani kingine ulinidanganya? Nikamwambia ni hayo tu. Akalia akasepa zake. Baada ya wiki akahamia mazima getto. Amekomaa anataka kubadili dini nimuoe. Mpaka sasa tunapika tunapakua, soon atanibadilisha cheo ntaitwa baba...
Huyu jamaa na hizi style zake atajamba mbele ya media anapenda sifa balaa..!Huyu apa AZIZI KIView attachment 2282898
daah tupo, sema madem hatuna kabsa hawatuelewiNamchukia kiumbe muongo[emoji35]
Nikigundua nimedanganywa Kivyovyote naumia mbaya
Wapo wanaume wa kweli na Mungu awabariki na awazidishie ufahamu na kujitambua.
Huyo labdaBaadhi labda,,,,,,lakini mie. Ni bora mtu aniambie ukweli nijue napray vipi.
Uongo si mzuri
Wapo wakweli wengi tuHuyo labda
Umtengeneze mwenyewe
Wanaume tumeumbiwa mateso
Kuhangaika
Muombe Mungu umpate wa kufanana nawe.daah tupo, sema madem hatuna kabsa hawatuelewi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukampiga chini??Aliniambia ana mtoto mmoja,hee! kuja kujua anao watatu na kila mtoto na mama yake.
tutakesha hapa bila uongo hupati soon nitaanza uwongo.Muombe Mungu umpate wa kufanana nawe.
Unaanzaje sasa[emoji50]tutakesha hapa bila uongo hupati soon nitaanza uwongo.
Mwanamke usipomdanganya anakuona falaAisee,. Mademu hupenda kudanganywa. Na wakishakolea hata kama attajua ulimdanganya Wala hawaulizagi
naenda kushona kaunda suti na kuchongesha funguo ya gari.Unaanzaje sasa[emoji50]