Uongo gani mnatumia kuwarubuni wanawake?

Uongo gani mnatumia kuwarubuni wanawake?

Sijawahi kuongopa chochote,lakini nilikubaliwa hivyo hivyo,nina uhandisamu kapo kwa mbali sana yaani kwa mbali sana [emoji851]
 
Nilikutana nae njiani. Alikua pisi kali haswa kalikua mwaka wa mwisho diploma ya ualimu somewhere. Nikamuomba namba tukawa tunachat. Nikamuuliza jina lake akanitajia, Irene. Akaniuliza la kwangu nikamdanganya. Dini nikamdanganya. Tukawa wapenzi. First date akaja kwangu akapika mazaga tukala kisha nikamla na yeye.

Ikawa kila weekend anakuja getto anafua anapika analiwa maisha yanaenda. Vibe kama lote. Alijua ameshapata wa kufanana nae. Mambo yakaanza kua serious sasa. Akaanza kua ananishirikisha mambo ya kwao huko na familia yake. Mzinga pekee anaoomba ni wa kumuunga bundle tu. Mwenyewe nikawa najiongeza akija getto kulala weekend namtoa 50k akawa anagoma, eti niibajeti ktk mambo mengine ya msingi kwa maana yeye hana shida ya pesa anachohitaji mda wangu tu na mapenzi.

Ikabidi mwisho wa siku nimuweke chini. Nikampa makavu. Sina future nae, dini yangu hainiruhusu kuoa mwanamke tofauti na sisi. Nikamtajia na jina langu halisi. Hakushtuka zaidi akauliza kitu gani kingine ulinidanganya? Nikamwambia ni hayo tu. Akalia akasepa zake. Baada ya wiki akahamia mazima getto. Amekomaa anataka kubadili dini nimuoe. Mpaka sasa tunapika tunapakua, soon atanibadilisha cheo ntaitwa baba...
Hongera
 
Nilikutana nae njiani. Alikua pisi kali haswa kalikua mwaka wa mwisho diploma ya ualimu somewhere. Nikamuomba namba tukawa tunachat. Nikamuuliza jina lake akanitajia, Irene. Akaniuliza la kwangu nikamdanganya. Dini nikamdanganya. Tukawa wapenzi. First date akaja kwangu akapika mazaga tukala kisha nikamla na yeye.

Ikawa kila weekend anakuja getto anafua anapika analiwa maisha yanaenda. Vibe kama lote. Alijua ameshapata wa kufanana nae. Mambo yakaanza kua serious sasa. Akaanza kua ananishirikisha mambo ya kwao huko na familia yake. Mzinga pekee anaoomba ni wa kumuunga bundle tu. Mwenyewe nikawa najiongeza akija getto kulala weekend namtoa 50k akawa anagoma, eti niibajeti ktk mambo mengine ya msingi kwa maana yeye hana shida ya pesa anachohitaji mda wangu tu na mapenzi.

Ikabidi mwisho wa siku nimuweke chini. Nikampa makavu. Sina future nae, dini yangu hainiruhusu kuoa mwanamke tofauti na sisi. Nikamtajia na jina langu halisi. Hakushtuka zaidi akauliza kitu gani kingine ulinidanganya? Nikamwambia ni hayo tu. Akalia akasepa zake. Baada ya wiki akahamia mazima getto. Amekomaa anataka kubadili dini nimuoe. Mpaka sasa tunapika tunapakua, soon atanibadilisha cheo ntaitwa baba...
Safi sana,
 
nikiwa Arusha nasoma chuo IAA niliwahi kupewa noti mpyaaa kibao za ziimbabwe, ezi hizo zimbabwe unaenda na maburungutu kununua mkate.

mimi hizi pesa nilikuwa naziweka kwenye wallet kama mapambo, sasa kuna siku mtoto akaanza kunishobokea, kuja kutafakari ndio nakumbuka alizuzuka na zile pesa, nikaona hapa ndio pakukaia sasa.

nsiwe muongo hizo pesa za Zimbabwe zilinipa madem aisee, nliuwa siwapi zile pesa ili wasisanuke, nawaachia ten tu nawaambia kuna mzigo bandarini nauskilizia uje kesho nikupe dollar, hapo nishatafuna ndio imetoka hio
 
Nilimdanganya mke wangu nimesoma shule aliyosoma akawa ananichota tuu cha ajabu nikamtajia hadi marafiki zangu waliokuwa wansoma huko, kumbe wote walikuwa ni marafiki zake.... [emoji23][emoji23] alivyokuja kuniambia ukweli nikamwambia hiyo niliyosoma ni ya Arusha kumbe huko hamna branch [emoji23][emoji23]...hapo nilikuwa nnamtongoza ila alinipendea uongo wangu namna alivyokuwa ananichora, akazama mazima
 
Mithali 6:32, Neno la Mungu linasema hivi
"Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake."

Yaani ni hivi: "He that committeth adultery with a woman is void of understanding: He doeth it who would destroy his own soul"

Haya msio na akili kulingana na Neno la Bwana mnaweza kuendelea na stori zenu...!
Nilikuwa napita nikakutana na ujinga huu...
 
Back
Top Bottom