Uongo gani mnatumia kuwarubuni wanawake?

Uongo gani mnatumia kuwarubuni wanawake?

Unaanzaje sasa[emoji50]
Uwongo kwao wanaita swaga ila wanajua umewadanganya kwa asilimia chache, ila ukiingea ukweli inakuwa Kama unawaboa hivi. Kifupi kwao uwongo ndio ukweli na kinyume chake.
 
Nimenunua bia nyingiiii.. zipo juu ya meza.. mkononi nina Xs Max sijaweka kava inawaka balaa.. na ni mjamaa mmoja mtanashati sana.

Nishachukua namba nyingi sana kwa mtindo huu sehemu za starehe. Na najua mipango mingi. Guuuuy. I am smart and intelligent kwenye maongezi yangu. Mwanamke hapindui.
Mkuu hapa hawajawah kuruka yan mpaka mama mchungaj atatoa namba
 
nikiazima na IST kwa wadau lazima wanase
Tulia tu na usafiri wako wa miguu,nenda zako mwenge pisi zimejaa kibao.

Kujipa magharama yote ya nini??

Nipe hizo pesa nikushonee hiyo kaunda suti.
 
Kuna kisa nimekumbuka imebidi nicheke. Nilishamdanganya dem mtoto wa IFM pale kwamba nafanyia kazi ikulu siku iyo nilikua nimekula suti yangu nyeusi natoka pale Ukumbi wa kimataifa Mwl. Nyerere.

Yule mtoto alipagawa sana, uzuri boss wangu alikua na Prado kaniachia yeye alikua safari sasa nilikua na bhang nalo naenda pale IFM nambeba naenda namkula anarudi na uber, yule dem alipagawa sana aseee[emoji1316][emoji1316].

Wanawake mnapigwa na vitu vizito sana asee wanaume tuna mbinu za kuwapata. Bila uongo kutoboa ngumu sana. Yule mtoto alikua ananiheshimu sana na alikua ananiogopa balaa[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom