East
JF-Expert Member
- May 9, 2022
- 603
- 1,722
Uwongo kwao wanaita swaga ila wanajua umewadanganya kwa asilimia chache, ila ukiingea ukweli inakuwa Kama unawaboa hivi. Kifupi kwao uwongo ndio ukweli na kinyume chake.Unaanzaje sasa[emoji50]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwongo kwao wanaita swaga ila wanajua umewadanganya kwa asilimia chache, ila ukiingea ukweli inakuwa Kama unawaboa hivi. Kifupi kwao uwongo ndio ukweli na kinyume chake.Unaanzaje sasa[emoji50]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mzigo mzito huonaenda kushona kaunda suti na kuchongesha funguo ya gari.
Mkuu hapa hawajawah kuruka yan mpaka mama mchungaj atatoa nambaNimenunua bia nyingiiii.. zipo juu ya meza.. mkononi nina Xs Max sijaweka kava inawaka balaa.. na ni mjamaa mmoja mtanashati sana.
Nishachukua namba nyingi sana kwa mtindo huu sehemu za starehe. Na najua mipango mingi. Guuuuy. I am smart and intelligent kwenye maongezi yangu. Mwanamke hapindui.
Hizo ndo zipo hot sasa?Za watoto wa o level
Nikiazima na IST kwa wadau lazima wanase[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mzigo mzito huo
Tulia tu na usafiri wako wa miguu,nenda zako mwenge pisi zimejaa kibao.nikiazima na IST kwa wadau lazima wanase
Wengi wao ni wapita njia,wanakula na kuacha.Anaedanganya ndie anaeumia,,,
Ukiendelea sura ya pili, aya ya nne "Nitakujengea gari........".waongo 1:1 "nakupenda sana"
Lazima uumize kichwa,, haijalishi unapita ama unaweka makaoWengi wao ni wapita njia,wanakula na kuacha.
waongo 1:1 "nakupenda sana"
Sijui nisemeje aisee[emoji23][emoji23]...tuko wote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukampiga chini??
😂😂😂😂Ukiendelea sura ya pili, aya ya nne "Nitakujengea gari........".
Sasa huyo mmoja akifa inakuaje[emoji847]Unasapoti ujinga.
Huo ndio ukweli ifikie kipindi wanawake wakubaliane na hiliNature ya dume ni polgamism
Ameen [emoji16]Namchukia kiumbe muongo[emoji35]
Nikigundua nimedanganywa Kivyovyote naumia mbaya
Wapo wanaume wa kweli na Mungu awabariki na awazidishie ufahamu na kujitambua.