Uongo gani unaukumbuka kutoka kwa Wanasiasa kwenye Chaguzi zilizopita?

Uongo gani unaukumbuka kutoka kwa Wanasiasa kwenye Chaguzi zilizopita?

Wakati wa Kampeni cha Uchaguzi, baadhi ya Wagombea hutumia mbinu za kuzusha Uongo kwa kuwadanganya Wananchi ili kuongeza Ushawishi wa Kuchaguliwa

Je, Uongo gani unaukumbuka kutoka kwa Wanasiasa kwenye Chaguzi zilizopita?
1. Kuwa sisi wakazi wa Kawe tutapelekwa Birmingham huko States.....Gwajiboy
2. Kuwa atajenga chuo cha uvuvi hapa Kawe...Gwajiboy
3. Kwamba tutakuwa na maisha bora kila mtanzania..JK
4. Kwamba mgao wa umeme utakuwa historia..JK
5. Kwamba wameokota vichwa vya treni bandarini...JPM

Itaendelea...
 
1. Kuwa sisi wakazi wa Kawe tutapelekwa Birmingham huko States.....Gwajiboy
2. Kuwa atajenga chuo cha uvuvi hapa Kawe...Gwajiboy
3. Kwamba tutakuwa na maisha bora kila mtanzania..JK
4. Kwamba mgao wa umeme utakuwa historia..JK
5. Kwamba wameokota vichwa vya treni bandarini...JPM

Itaendelea...
Marekani kama Marekani 😀 Hii ilikuwa Babkubwa
 
Kwamba eti Chadema walisinda Uchaguzi Mkuu wa Urais 2015 ila wakaibiwa kura! 🤣🤣🤣🤣
 
Kwamba kila kilichopo kwenye siasa ni uongo?
Nadhani kinachofanya kila kilichopo kwenye siasa kiwe ni uongo ni namna ambavyo siasa inaendeshwa.

Waliogundua siasa ukiwafufua leo hii na ukawaambia hii ndo siasa mliyoigundua.

WATAKUKATAA.
 
Tufanye kitu gani tupate wanasiasa na si waongo na majizi Mkuu?
Tuwekeze katika kuzalisha viongozi wazalendo na si kutegemea wanasiasa ndo waje watuongoze.
 
Wakati wa Kampeni cha Uchaguzi, baadhi ya Wagombea hutumia mbinu za kuzusha Uongo kwa kuwadanganya Wananchi ili kuongeza Ushawishi wa Kuchaguliwa

Je, Uongo gani unaukumbuka kutoka kwa Wanasiasa kwenye Chaguzi zilizopita?
eti bila majina yao kurudishwa yalipokatwa tume, walidai eti hapatafanyika uchaguzi, na uchaguzi ukafanyika vizur tu bila wao kuwako 🐒

halafu,
eti waliibiwa kura wakati walikua hawakubaliki hawakupata kura zozote 🐒
 
Serikali itatoa ajira 2,000,000. Na kweli imetimiza kwa kutoa ajira 2,000,000.

Elewa neno 'kutoa'.
 
Mjiandae na kupigwa fix zingine 😄

Ova
 
MAGUFULI mkiichagua CCM mtapata maendeleo ,haya wakachaguaaaaaa Sasa maendeleo hakuna
 
Back
Top Bottom