Uongo gani unaukumbuka kutoka kwa Wanasiasa kwenye Chaguzi zilizopita?

Uongo gani unaukumbuka kutoka kwa Wanasiasa kwenye Chaguzi zilizopita?

Wakati wa Kampeni cha Uchaguzi, baadhi ya Wagombea hutumia mbinu za kuzusha Uongo kwa kuwadanganya Wananchi ili kuongeza Ushawishi wa Kuchaguliwa

Je, Uongo gani unaukumbuka kutoka kwa Wanasiasa kwenye Chaguzi zilizopita?
Kujazwa mapesa,maisha bora kwa kila mtanzania,Kazi tuu,etc😀
 
Back
Top Bottom