Huwezi kukumbatia Hasara ya mabilioni kisa tu na wengine wanapata hiyo hasara ya the same business! ni ujuha!
Hata wale economic consultant s walipuuzwa na kuambiwa si wazalendo kumbe wahuni wachache ukiwa mmojawapo mkivimbiwa na pesa za walalahoi kupitia hiyo mijidege.
pity!
Mmetumana sasahv kwa wingi kwa lengo la kuchafua taswira........Mambo sasa yanaanza kujianika kwenye mkeka wa uhakika. Ukweli unauzidi nguvu uongo kama mbegu inapochomoza kwenye udongo. Ukweli unaanza kutamalaki kama mashabiki kindakindaki au mwalimu na chaki. Tumedanganywa sana na kwa muda mrefu.
CAG amemwambia Mhe. Rais kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa hasara ya mabilioni ya shilingi za kitanzania kwa miaka mitano sasa. Lakini Mwendazake na wenzake wamekuwa wakituamisha kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa faida. Katika kuchagiza hilo, ATCL imekuwa ikitoa hadi gawio kwa Serikali. Tulikuwa tukidanganywa.
Serikali ya Mwendazake ilijaa propaganda na uongo mkubwa. Tumeanza kuona upande wa pili wa tulichokuwa tukiambiwa. Ukweli unaupiga kumbo uongo uliotaka kudumu kwa muongo mzima. Amini nawaambia, hilo ni tone tu kwenye bahari ya propaganda zilizokuwa zikiendelea wakati wa uongozi wa Mwendazake. Mengi yanafuata baada ya tuta.
Ndugu yangu Kichere, angekuwepo Mwendazake ungeiwasilisha Ripoti ile inayoanika ATCL na hasara zake?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Review ripoti ya CAG, pia ingia kwenye website ya ATCL ,acha kuuliza maswali ya 'kijinga'.!kwan atcl ina mda gan toka ifufuliwe kumake this assumption?
proper plan ilihitajika before kuanzisha hili shirika.
kuwa na CEO ambao wana uzoefu wa kumanage mshirika mengine.
competitive individuals.
lisiwe drived kisiasa au wana siasa kuwa na access nalo
Kweli hili nalo neno.. atafutwe ahojiwe.'… Nampongeza Mh.Rais kwa ununuzi wa Ndege ambao tumeambiwa zimeanza kuingiza Faida bdani ya muda mfupi…tehe tehe (cheko la kebehi) maana kwny hili lazima tukiri sie tulishindwa…'-Jk
Pia CAG atuambie nani anachomekea figure za deni la Taifa hadi linakuwa kwa kasi wakati Hayati alikuwa anatumia fedha za ndani kujenga miradi yote
Ni kweli Mungu yupo that's why anafunua yaliyofunikwa na lile genge ovu.Mmetumana sasahv kwa wingi kwa lengo la kuchafua taswira........
kamwe hamtaweza Mungu yupo
Review ripoti ya CAG, pia ingia kwenye website ya ATCL ,acha kuuliza maswali ya 'kijinga'.!
Wewe ni bulichekawhether it makes profit or not, ndege lazima ziwepo na wale wanaosomea urubani wapate pia ajira
Yeyote mwenye nio ovu atachapwa na mkono wa Mungu....Ni kweli Mungu yupo that's why anafunua yaliyofunikwa na lile genge ovu.
Tulinunua ndege bila kuwa na business plan.proper plan ilihitajika before kuanzisha hili shirika.
kuwa na CEO ambao wana uzoefu wa kumanage mshirika mengine.
competitive individuals.
lisiwe drived kisiasa au wana siasa kuwa na access nalo
Tz ipi sasaYeyote mwenye nio ovu atachapwa na mkono wa Mungu....
Tz ya sasa sio Ile ya zamani
KWA HIYO SEMENI MOJA TUSIWE NA NDEGE??? AU TUWENAZO HAMUELEWEKI!!Mambo sasa yanaanza kujianika kwenye mkeka wa uhakika. Ukweli unauzidi nguvu uongo kama mbegu inapochomoza kwenye udongo. Ukweli unaanza kutamalaki kama mashabiki kindakindaki au mwalimu na chaki. Tumedanganywa sana na kwa muda mrefu.
CAG amemwambia Mhe. Rais kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa hasara ya mabilioni ya shilingi za kitanzania kwa miaka mitano sasa. Lakini Mwendazake na wenzake wamekuwa wakituamisha kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa faida. Katika kuchagiza hilo, ATCL imekuwa ikitoa hadi gawio kwa Serikali. Tulikuwa tukidanganywa.
Serikali ya Mwendazake ilijaa propaganda na uongo mkubwa. Tumeanza kuona upande wa pili wa tulichokuwa tukiambiwa. Ukweli unaupiga kumbo uongo uliotaka kudumu kwa muongo mzima. Amini nawaambia, hilo ni tone tu kwenye bahari ya propaganda zilizokuwa zikiendelea wakati wa uongozi wa Mwendazake. Mengi yanafuata baada ya tuta.
Ndugu yangu Kichere, angekuwepo Mwendazake ungeiwasilisha Ripoti ile inayoanika ATCL na hasara zake?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Mashirika yote makubwa ya ndege yamekula hasaraMambo sasa yanaanza kujianika kwenye mkeka wa uhakika. Ukweli unauzidi nguvu uongo kama mbegu inapochomoza kwenye udongo. Ukweli unaanza kutamalaki kama mashabiki kindakindaki au mwalimu na chaki. Tumedanganywa sana na kwa muda mrefu.
CAG amemwambia Mhe. Rais kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa hasara ya mabilioni ya shilingi za kitanzania kwa miaka mitano sasa. Lakini Mwendazake na wenzake wamekuwa wakituamisha kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa faida. Katika kuchagiza hilo, ATCL imekuwa ikitoa hadi gawio kwa Serikali. Tulikuwa tukidanganywa.
Serikali ya Mwendazake ilijaa propaganda na uongo mkubwa. Tumeanza kuona upande wa pili wa tulichokuwa tukiambiwa. Ukweli unaupiga kumbo uongo uliotaka kudumu kwa muongo mzima. Amini nawaambia, hilo ni tone tu kwenye bahari ya propaganda zilizokuwa zikiendelea wakati wa uongozi wa Mwendazake. Mengi yanafuata baada ya tuta.
Ndugu yangu Kichere, angekuwepo Mwendazake ungeiwasilisha Ripoti ile inayoanika ATCL na hasara zake?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Ziwepo ila ziwe na bussiness planKWA HIYO SEMENI MOJA TUSIWE NA NDEGE??? AU TUWENAZO HAMUELEWEKI!!
Tuliaminishwa yakwetu imepata faida kwa mda mfupi..Mashirika yote makubwa ya ndege yamekula hasaraView attachment 1737670View attachment 1737671View attachment 1737672View attachment 1737673View attachment 1737674
Mbona mwendazake alikuwa anafanya maamuzi magumu na hatari on the spot, umeshasahau tukukumbushe?my point is bado ni mapema sana kufanya maamuzi magumu yoyote kwenye hili shirika
Kwann mlidanganya ndo hoja....KWA HIYO SEMENI MOJA TUSIWE NA NDEGE??? AU TUWENAZO HAMUELEWEKI!!
Yan alitengeneza machinery ya propaganda na maigizo na akafanikiwa kweli. Sijui ni uzalendo gani waliokuwa wanahubiriUsisahau hili shirika lilitoa gawaio kwa serikali ikimaanisha ilikuwa ikipata faida
Sasa kwa maigizo hayo mpaka ya kuleta gawio, hapo tunakuwa na mashaka na mambo mengi tuliyoambiwa. Kama mtu anaweza stage mpaka kawio huyo ni mwanaproganda hatari. Swali ni kwanini afanye hivyo? Motive haiwezi kuwa na jema. Hiki ni kipande cha barafu inayoelea. Sifa ya marafu inayoelea baharini eneo linaloonekana uwa ni dogo kuliko lililozama kweye maji.we can call that a weakness ofcourse, uwazi ni muhimu sana