Uongo kuhusu ATCL ni tone tu kwenye bahari, Tumedanganywa mengi tu!

Uongo kuhusu ATCL ni tone tu kwenye bahari, Tumedanganywa mengi tu!

hakuna biashara inaanzishwa apo apo inamke profit, for an airline bussiness its even worse you have to do trial and error nyingi tafauti but you still need to pay your workers.#
Hakuna anaenzisha biashara ili ale hasara. hakuna huyo mtu.

ajira ni small part. isitoshe maruban wengi wanaajiriwa na private charters, na ndio zinalipa vizuri sana.

kama ATCL ingekuwa private company ingeshakufa kwa mentality kama yako.
Mkuu break even ya hii airline business ilitakiwa kuwa lini?
 
Hao bora wangejikita kwenye utalii,kilimo na Afya hayo ya ndege sijui tulipatwa na shetani gani Nchi mwendokasi zinatusumbua zinapita mtoni na makao makuu yao yapo mtoni mara bus zimejaa maji leo hii tuendeshe shirika la ndege kihuni kama bus hatuwezi kufika bado tuna umasikini upo kwenye damu...
 
Senge jingine hili,si mumuache marehemu akalale pazima.
Kina mparule kama wewe ndo mnaongea tu nyambaf blali kabich
 
Mzee

Mzee tupatupa kama ripoti ya CAG inasema ATCL imejiendesha kwa hasara ya miaka mitano, je hiyo miaka mitano kulikuwa na ndege ngapi?
Ninachojua ndege hizi kama zimefanya kazi zina miaka miwili na ushee, na ATCL imekuwa ikijiendesha kawa hasara toka ndege zife na ilibaki na madeni amabayo serikari ilikuwa inayabeba,

Kama kulipa wafanyakazi wakiobaki,
Kulipa ghalama za kimataifa na mengine wakati haina ndege.
Sasa hii miaka miwili na kitu hizo ndege zitalipa hayo madeni na kuanza kujiendesha kwa faida?
Kama mnataka kuchambua hiyo taarifa ya CAG Basi leteni hapa taarifa kabla ya ndege ununuliwa kulikuwa na deni la sh ngapi na sasa shirika lina deni la sh ngapi,
Na bado mjue hizo ndege bado shirika linailipa serikari mtaji wake.
Nani alete taarifa sasa??

I mean hiyo taarifa ya kabla ya ndege kununuliwa, nani ailete??

Nirudie swali langu??
 
sasa kama mnajua hilo wacheni CAG afanye kazi yake, alikua binadam na binadam ni kukosea sasa sehem alipokosea tunatakiwa kuparekebisha sasa muache kushambulia watu sasa, wote tunajenga nchi
Sio kwamba sisi CCM ndio tunajenga nchi na wapìnzani wanatuchelewesha sana??
 
Mambo sasa yanaanza kujianika kwenye mkeka wa uhakika. Ukweli unauzidi nguvu uongo kama mbegu inapochomoza kwenye udongo. Ukweli unaanza kutamalaki kama mashabiki kindakindaki au mwalimu na chaki. Tumedanganywa sana na kwa muda mrefu.

CAG amemwambia Mhe. Rais kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa hasara ya mabilioni ya shilingi za kitanzania kwa miaka mitano sasa. Lakini Mwendazake na wenzake wamekuwa wakituamisha kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa faida. Katika kuchagiza hilo, ATCL imekuwa ikitoa hadi gawio kwa Serikali. Tulikuwa tukidanganywa.

Serikali ya Mwendazake ilijaa propaganda na uongo mkubwa. Tumeanza kuona upande wa pili wa tulichokuwa tukiambiwa. Ukweli unaupiga kumbo uongo uliotaka kudumu kwa muongo mzima. Amini nawaambia, hilo ni tone tu kwenye bahari ya propaganda zilizokuwa zikiendelea wakati wa uongozi wa Mwendazake. Mengi yanafuata baada ya tuta.

Ndugu yangu Kichere, angekuwepo Mwendazake ungeiwasilisha Ripoti ile inayoanika ATCL na hasara zake?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
This is rubbish! Hii inakupa comfort gani?
Hasara ya mashirika ni miaka yote, sasa sijui ni wapi ulipodanganywa? ATC yenyewe ilishakufa kwa wizi na hata siyo hasara, wizi!! Eti leo unaleta thrd ya kuamini umepata siri mpya! Kuna tatizo kwamba tunaendesha majadiliano kwa zomea zomea. Wengi tunazomea kwa sababu za kisiasa na kikabila, lakini ukweli ni kwamba in the next 5 years, CHADEMA will be out of political space.
Kwa uzoefu wako na kama una elimu nzuri, ungeanzisha majadiliano badala ya kutafuta likes za conclusion yako. Smartass!!!
 
Hii hapa Mkuu.
1617049606122.jpeg

BAK hebu hiyo doc ya BOT iweke vizuri naona imekatika pembeni hatupati kuisoma yote
 
'… Nampongeza Mh.Rais kwa ununuzi wa Ndege ambao tumeambiwa zimeanza kuingiza Faida bdani ya muda mfupi…tehe tehe (cheko la kebehi) maana kwny hili lazima tukiri sie tulishindwa…'-Jk

Pia CAG atuambie nani anachomekea figure za deni la Taifa hadi linakuwa kwa kasi wakati Hayati alikuwa anatumia fedha za ndani kujenga miradi yote
Duh haraka sana kumsaliti marehemu. Hadi wewe mkuu unapiga spana.
 
Alikataa yule mzee kutupandisha madaraja yetu, kwa kisingizio eti cha kununua ndege! Halafu leo mwaka wa sita huu, tunasikia taarifa kama hizi. Kweli kama Taifa, tulipatwa!

Ahueni Mwenyezi Mungu katuepusha na mateso.
Utapandaje daraja halijakamilika?

Busisi,furaiovazi
 
Kichere hakufanya audit yeye alifanya audit follow up ya auditing ilopita na kugundua kua mapendekezo hayajafanyiwa kazi na pia current year bado hassara ipo.
Kimsingi ripoti ilikua ya CAG alopita ila yeye kaongezea ya 2019/20
Si ajabu ripoti hiyo ikapigwa chini Bungeni na CAG akaonekana kuwa ni mzushi. Unakumbuka ishu ya 1.5t?
 
Mwacheni mwendazake... Comrade tulikumiss... Tupe za Chimwaga nani msaidizi wa Mama SSH
 
Mambo sasa yanaanza kujianika kwenye mkeka wa uhakika. Ukweli unauzidi nguvu uongo kama mbegu inapochomoza kwenye udongo. Ukweli unaanza kutamalaki kama mashabiki kindakindaki au mwalimu na chaki. Tumedanganywa sana na kwa muda mrefu.

CAG amemwambia Mhe. Rais kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa hasara ya mabilioni ya shilingi za kitanzania kwa miaka mitano sasa. Lakini Mwendazake na wenzake wamekuwa wakituamisha kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa faida. Katika kuchagiza hilo, ATCL imekuwa ikitoa hadi gawio kwa Serikali. Tulikuwa tukidanganywa.

Serikali ya Mwendazake ilijaa propaganda na uongo mkubwa. Tumeanza kuona upande wa pili wa tulichokuwa tukiambiwa. Ukweli unaupiga kumbo uongo uliotaka kudumu kwa muongo mzima. Amini nawaambia, hilo ni tone tu kwenye bahari ya propaganda zilizokuwa zikiendelea wakati wa uongozi wa Mwendazake. Mengi yanafuata baada ya tuta.

Ndugu yangu Kichere, angekuwepo Mwendazake ungeiwasilisha Ripoti ile inayoanika ATCL na hasara zake?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Jamani naomba mnikumbushe, hivi mwaka jana CAG hakufanya auditing kwa ATCL?
 
hakuna biashara inaanzishwa apo apo inamke profit, for an airline bussiness its even worse you have to do trial and error nyingi tafauti but you still need to pay your workers.
Na utoe GAWIWO pia!

Au unasemaje?
 
Back
Top Bottom