Uongo mgumu kuutetea, Tundu Lissu, CHADEMA na CCM wanahaha!

Uongo mgumu kuutetea, Tundu Lissu, CHADEMA na CCM wanahaha!

Mbona kwenye uchaguzi alireje na kugombea? Alikuwa na uhakika wa usalama wake kwa kiasi gani?
..kabla ya kurejea Lissu aliomba jeshi la Polisi limpe ulinzi lakini walikataa.

..wakati wa uchaguzi sheria iliwalazimisha Polisi kutoa ulinzi kwa wagombea wote wa uraisi.
 
Hapo sasa ndio ujue sio serikali ni waahalifu kama waalifu wengine

Ingekuwa ni serikali, hata haspital wangezima umeme akafia huko huko kwenye operation

Au ndege iliyompeleka Nairobi ingenyimwa kibali cha kutua dodoma

..kwa jinsi Lissu alivyokuwa amechakazwa kulikuwa hakuna matumaini ya kupona hivyo hakukuwa na ulazima wa waliomshambulia kuchukua hatua za ziada.
 
Na hii ndio shida ya vijana wa chadema, ujuaji mwingi na mnachukua story ya one side ili Tu kutengeneza mazingira kuonekana mlionewa

Mbona mlikataa mbowe na mnyika wasihojiwe ishu ya lisu ? Kwani wao hawawez kuwa washukiwa namba moja?

Kwa akili yako ww unaamini serikali ingetaka kumuulisu wangeshindwa?

Wangedondosha hata ndege iliyomtoa dodoma kwenda Nairobi

Kwani lisu kabla ya kwenda Nairobi alitibiwa kwenye office za chadema?

Si wangemuua humo humo theater?

..ndugu yangu, kushambulia ni suala moja, na mlengwa kufa ni suala lingine.

..Ni kweli kama ulivyosema kwamba serikali ilikuwa na uwezo wa kudungua ndege iliyombeba Lissu kumpeleka Nairobi.

..Lakini elewa kuwa wako watu wenye bahati zao ambao wamenusurika ktk ajali ya ndege, aidha za kutunguliwa, au ajali za kawaida.

..Kwa hiyo hata serikali ingetungua ndege huwezi ku-guarantee kwamba abiria wote ndani ya ndege wangekufa.

..Mbali na hayo, mle mwenye ndege kulikuwa na watu wengine wakiwemo madaktari ambao ni watumishi wa serikali.

..Pia kutungua ndege kungeleta sifa mbaya kuhusu usalama wa anga yetu, na mataifa ya nje yangeshinikiza uchunguzi wa kimataifa.
 
Yan kweli serikali na manguvu yake yote itake kumuua lisu na washindwe? Ww inakuingia akili?

Si wangepiga Bomu kwenye gari lake au nyumba yake?

Lisu huyu alikuwa anakaa Royol pub pale usiku ndio serikali imtake ishindwe kumpata?

Gari yake inaoshwa CBE pale si wangeweka hata Bomu?

Mnadanganywa kijinga kabisa

..una mawazo potofu, au umelenga kutuchota akili.

..hivi hujawahi kusikia watu walio-survive shambulizi la bomu?

..labda nikukumbushe habari ya Mjapani mmoja aliyenusurika ktk shambulizi la bomu la NYUKLIA mara mbili.

..Yuko Mjapani alinusurika shambulizi la nyuklia Hiroshima. Akakimbilia Nagasaki nako kukashambuliwa.

Bwana huyo alikufa miaka mingi baada ya mashambulizi hayo.

..Ukiacha ukweli kwamba shambulizi la bomu, au lolote lile, hali guarantee kifo, vipi kuhusu MADHARA ambayo yangeweza kutokea kwa watu ambao wauwaji walikuwa hawana nia nao?

..Kwa mfano, kwanini ushambulie na kuua familia nzima wakati mlengwa alikuwa ni mmoja?

..Au pale ulipodokeza kwamba serikali ingeweza kudungua ndege. Hivi unafahamu implications za ndege kudunguliwa ktk anga letu, au lolote lile? Unafahamu aina za uchunguzi ambao ungetakikana ufanyike, na ulazima wa vyombo vya kimataifa kuingilia?

Cc Kalamu
 
..una mawazo potofu, au umelenga kutuchota akili.

..hivi hujawahi kusikia watu walio-survive shambulizi la bomu?

..labda nikukumbushe habari ya Mjapani mmoja aliyenusurika ktk shambulizi la bomu la NYUKLIA mara mbili.

..Yuko Mjapani alinusurika shambulizi la nyuklia Hiroshima. Akakimbilia Nagasaki nako kukashambuliwa.

Bwana huyo alikufa miaka mingi baada ya mashambulizi hayo.

..Ukiacha ukweli kwamba shambulizi la bomu, au lolote lile, hali guarantee kifo, vipi kuhusu MADHARA ambayo yangeweza kutokea kwa watu ambao wauwaji walikuwa hawana nia nao?

..Kwa mfano, kwanini ushambulie na kuua familia nzima wakati mlengwa alikuwa ni mmoja?

..Au pale ulipodokeza kwamba serikali ingeweza kudungua ndege. Hivi unafahamu implications za ndege kudunguliwa ktk anga letu, au lolote lile? Unafahamu aina za uchunguzi ambao ungetakikana ufanyike, na ulazima wa vyombo vya kimataifa kuingilia?

Cc Kalamu


Nakwambia hivi

Serikali ingetaka kumuua lisu wangemuua Tu

Hata ndani ya Bunge au nje ya Bunge au pale Royol hotel

Yan wangemuua trust me
 
Nakwambia hivi

Serikali ingetaka kumuua lisu wangemuua Tu

Hata ndani ya Bunge au nje ya Bunge au pale Royol hotel

Yan wangemuua trust me

..walimpomshambulia kwa marisasi yote yale lengo lao halikuwa kumuua?

..Lissu kunusurika kifo ni muujiza tu, lakini haiondoi ukweli aliyetenda ni nani.
 
Tundu Lisu is a walking/living miracle. Kupona baada ya kupigwa risasi zote zile, hakika ni muujiza wa Mwenyezi Mungu.

Mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa. Lakini ninaumia na kusikitika sana pale baadhi ya watu wanaojitoa ufahamu kwa kujaribu kuihusisha Chadema na jaribio la mauaji ya Lisu. Kuweni makini, Mtajiletea laana kwenu na vizazi vyenu. Ni heri kama huna la kusema ukanyamaza tu.
Hivi ana majeraha ya risasi ngapi?
 
Nakwambia hivi

Serikali ingetaka kumuua lisu wangemuua Tu

Hata ndani ya Bunge au nje ya Bunge au pale Royol hotel

Yan wangemuua trust me
Hivi wewe kweli unayo akili timamu?
Unasema "serikali ingetaka kumuua lisu"; kwa nini serikali itake kumuua mtu yeyote? Unajua maana ya serikali ni nini?

Lissu aliposhambuliwa kwa risasi, wewe unadhani aliyefanya hivyo alitaka nini kitokee?

Ninajua kwa jinsi unavyoandika hapa huwezi kuelewa nilichoeleza hapa.

Tena naona huyo unayejibishana naye kakupa heshima kubwa sana kuendelea kujibu takataka zako unazoweka hapa.
 
..Cctv ni kidhibiti toka ktk tukio la jinai.

..Kidhibiti huwa ni mali ya Polisi na hakitolewi mahali popote isipokuwa mahakamani.

..Lissu haruhusiwi na sheria kupewa Cctv zilizokuwa eneo aliposhambuliwa.
Police ndo walifunga hiyo CCtv hapo au ilikua ya mtu binafsi?
 
Police ndo walifunga hiyo CCtv hapo au ilikua ya mtu binafsi?

..inasemekana Cctv ilifungwa nyumbani kwa Dr.Kalemani, hivyo ni mali yake.

..na inasemekana kwa mahali ilipokuwa imefungwa ni muelekeo wa eneo shambulizi lilipotokea.

..baada ya tukio kuna taarifa zilitoka kwamba POLISI wamechukua vifaa hivyo.

..ndio maana wadadisi wanahoji kuna ugumu gani kuwapata waliohusika ikiwa Polisi wamechukua Cctv zilizokuwa eneo la tukio?

..au kuna ugumu gani kumjua aliyetoa maelekezo Lissu ashambuliwe ikiwa tunafahamu walinzi waliondolewa eneo la tukio? Aliyeondoa ulinzi alitumwa na nani?

..kwanini hakuna hata WASHUKIWA wanaotafutwa na Polisi? Mbona tukio la kutekwa Mo Dewji tuliambiwa ni raia wa Afrika Kusini? Hili tukio la Lissu kwa miaka mitano sasa hakuna mtu anayeshukiwa, au anayetafutwa!!
 
AAngekufa je jinai ile isingepelelezwa? Haya mmeambiwa mtajeni aliyetoa cctv na aliyeondoa walinzi hapo ndio pakuanzia uchunguzi wala sio kwà TAL acheni kujizima data uchunguzi wa kumhoji lissu hauna mashiko maana alishamtaja kipilimba na siro sasa mnataka lissu afanye nini? Iambieni Dunia nani aliondoa walinzi je chadema wanauwezo wa kupanga zamu za ulinzi wa majeshi yetu? Au cctv camera chadema wanaouwezo wa kuiondoa kweli kwenye makazi ya viongozi? Acheni ufala!



Akishakujibu na hilo muulize na waliotolewa
Gerezani usiku na kupewa ubunge kesho yake vip nani wanahusika
 
Hivi wewe kweli unayo akili timamu?
Unasema "serikali ingetaka kumuua lisu"; kwa nini serikali itake kumuua mtu yeyote? Unajua maana ya serikali ni nini?

Lissu aliposhambuliwa kwa risasi, wewe unadhani aliyefanya hivyo alitaka nini kitokee?

Ninajua kwa jinsi unavyoandika hapa huwezi kuelewa nilichoeleza hapa.

Tena naona huyo unayejibishana naye kakupa heshima kubwa sana kuendelea kujibu takataka zako unazoweka hapa.

..kaazi kweli kweli!!

..huyo dogo anaamini serikali inaweza kuua mbunge ndani ya ukumbi wa bunge.

..pia anaamini serikali inaweza kuamua kufunga bomu ktk gari ya kiongozi upinzani na kumlipua na kumuua.

..pia anaamini serikali inaweza kuzima mitambo ya kitabibu ili kiongozi wa upinzani afe wakati akifanyiwa upasuaji.

..vilevile anaamini serikali inaweza kudungua ndege ya wagonjwa inayomkimbiza kiongozi wa upinzani hospitali.

..Ni aibu, na hatari, kwa mtu mwenye upeo mdogo kiasi hicho kuwa ndani ya serikali, au chama tawala, na kuwa hapa kuwasemea.
 
Kweli kabisa we jamaa umeona mbali. Huenda ile ilikuwa inside mission
Inside na outside ziliungana ye mwenyewe hajui mbaya wake halisi ni nani ndo maana yuko zake abroad ila JPM naanza kuona kama wanamsingizia au amekuwa scape goat. Kuna muda naona kama Jpm anapewa shutma zingine si zake
 
AAngekufa je jinai ile isingepelelezwa? Haya mmeambiwa mtajeni aliyetoa cctv na aliyeondoa walinzi hapo ndio pakuanzia uchunguzi wala sio kwà TAL acheni kujizima data uchunguzi wa kumhoji lissu hauna mashiko maana alishamtaja kipilimba na siro sasa mnataka lissu afanye nini? Iambieni Dunia nani aliondoa walinzi je chadema wanauwezo wa kupanga zamu za ulinzi wa majeshi yetu? Au cctv camera chadema wanaouwezo wa kuiondoa kweli kwenye makazi ya viongozi? Acheni ufala!
Eneo lile ni la ccm pekee hamna watu wa chadema!? Km CCTV zilitolewa je ni maeneo yote yenye CCTV ni ya wana ccm!?? Kuwa walitoa ushirikiano ili kuficha dhambi yao hapa tunaviringishwa sana, kama tuna nguvu ya kutafuta mkate tutafute tuu mkate mengine tuwaachie wenyewe wakichoka kula watawapa Nchi kwa amani kama alivyofanya Muingeleza.
 
Back
Top Bottom