Uongo mgumu kuutetea, Tundu Lissu, CHADEMA na CCM wanahaha!

Uongo mgumu kuutetea, Tundu Lissu, CHADEMA na CCM wanahaha!

Mkuu,

Walikimbia nchi kwa sababu ya Magufuli; mwaka wa pili sasa tangu afariki ila hawajarudi.

Walipiga kelele Magufuli ni dikteta kwa kuwa aliwazuia kufanya mikitano ya kisiasa nje ya maeneo waliyoshinda; mwaka wa pili sasa tangu afariki, mikutano ya kisiasa haijaruhusiwa na hatusikii kelele za serikali ya kidikteta, n.k.

Hii nchi hatuna chama cha upinzani cha kizalendo, tuna magenge ya wapigaji tu. Ni mara 1,000 tuendelee kutawaliwa na CCM.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kuna vitu huwa tunajitoa ufahamu,, mfano Rais wa marekani anaweza ku okay Termination hata ndani ya US,, hawa marais kama wafalme walivyokua zamani wana power kubwa sana tu,,
Mfalme daud alitamani mke wa mkuu wa jeshi lake,, akam terminate huyo mkuu wa jeshi ,,
Lakini huu utamaduni sisi hatuna,, uchunguzi ufanywe na majambazi waliomshambulia lisu wakamatwe🤷🏼‍♂️
Mifano hiyo haina uhalisia na hailingani.

I can’t imagine Rais wa Marekani aamue kuamrisha assassination ya whistleblower ndani ya US ili kuficha ufisadi wake kirahisi rahisi tu. Btw Rais wa Marekani hana powers za kifalme. Rais wa Tanzania anaweza kufanya hivyo kwa mtu yeyote bila kujali chochote. Ana powers za kimungu kabisa.

Utamaduni wa assassination ya wakosoaji wa dola na whistle blowers tunao. Tundu Lissu hakushambuliwa na majambazi bali na mawakala wa dola. Ndio sababu hakuna nia ya uchunguzi wala kukamata.
 
..Polisi wangekuwa na nia ya kumhoji wangefanya hivyo siku Lissu amekwenda kwa Rpc Dodoma.

..Au wangemchukua maelezo baada ya uchaguzi mkuu siku waliyomkamata akiwa nje ya ubalozi wa Ujerumani.

Kwamba yy ni maalumu kiasi gani?
Mpaka wamfate na kunyenyekea?

Alienda Kwa RPC dodoma kufata gari yake

Ulitaka rpc amfunge kamba kumhoji?
 
Kwamba yy ni maalumu kiasi gani?
Mpaka wamfate na kunyenyekea?

Alienda Kwa RPC dodoma kufata gari yake

Ulitaka rpc amfunge kamba kumhoji?

..Lissu sio maalum na ndio maana alijipeleka mwenyewe ofisini kwa RPC wa Dodoma.

..kinachoshangaza ni Polisi kutokutumia nafasi hiyo kumhoji na kumchukua maelezo.

..pia baada ya uchaguzi mkuu, Polisi walimkamata Lissu nje ya ubalozi wa EU na kwenda naye Central police station. Hawakumhoji wala kumchukua maelezo kuhusu shambulizi dhidi yake.

..Ukiona Polisi wa Tanzania hawachunguzi tukio kubwa la uhalifu ujue kuna kitu wanajaribu kuficha.
 
..Lissu sio maalum na ndio maana alijipeleka mwenyewe ofisini kwa RPC wa Dodoma.

..kinachoshangaza ni Polisi kutokutumia nafasi hiyo kumhoji na kumchukua maelezo.

..pia baada ya uchaguzi mkuu, Polisi walimkamata Lissu nje ya ubalozi wa EU na kwenda naye Central police station. Hawakumhoji wala kumchukua maelezo kuhusu shambulizi dhidi yake.

..Ukiona Polisi wa Tanzania hawachunguzi tukio kubwa la uhalifu ujue kuna kitu wanajaribu kuficha.

Ha ha ha ha aisee Tunabishana hata taarifa sahihi Una

Ndio shida ya chadema


After uchaguzi lisu si alikuwa anakaa kwenye ubalozi? Alikamatwa lini?
 
Ha ha ha ha aisee Tunabishana hata taarifa sahihi Una

Ndio shida ya chadema


After uchaguzi lisu si alikuwa anakaa kwenye ubalozi? Alikamatwa lini?

..polisi walimteka / walimkamata Lissu nje ya ubalozi wa EU.

..kwa bahati nzuri maofisa wa ubalozi huo walishuhudia tukio hilo.

..kulingana na maelezo ya Lissu Polisi walitumia magari yenye namba bandia za Kenya walipofanya tukio hilo.

..baada ya kumteka / kumkamata walimpeleka Lissu kituo cha kati cha polisi ambako walimhoji.

..maofisa wa ubalozi wa EU na Ujerumani walimfuatilia Lissu mpaka kituo cha kati cha polisi kuona nini kitatokea.

..Lissu anadai kitendo hicho cha maofisa ubalozi ndicho kilichomuokoa na kupelekea yeye kutolewa na kuanza maisha kama mkimbizi ktk ubalozi wa Ujerumani.
 
Nikilikumbuka hili tukio mpaka mwili unasisimka. Sikutegemea siasa ingeweza kutufikisha hatua kama ile!
 
Mkuu,

Walikimbia nchi kwa sababu ya Magufuli; mwaka wa pili sasa tangu afariki ila hawajarudi.

Walipiga kelele Magufuli ni dikteta kwa kuwa aliwazuia kufanya mikitano ya kisiasa nje ya maeneo waliyoshinda; mwaka wa pili sasa tangu afariki, mikutano ya kisiasa haijaruhusiwa na hatusikii kelele za serikali ya kidikteta, n.k.

Hii nchi hatuna chama cha upinzani cha kizalendo, tuna magenge ya wapigaji tu. Ni mara 1,000 tuendelee kutawaliwa na CCM.
Wewe na nani?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Wanajua jinsi Tundu Lisu alivyopigwa risasi na nani hata yeye Tundu Lisu anajua jinsi alivyojitoa kafara na alivyopata ukilema wa maisha, yote hii sababu ya power, na ndiyo maana wanajitoa akili yote hii kuutetea uongo, uongo ni dhambi na mgumu sana kuiishi nao kwani ni lazima uendelee kudanganya mwishoe ukweli utajitenga tu.

Haya sasa hivi wana power yote, vyombo vyote vya Ulinzi na usalama wanavi-command, kwa nini hawaanzishi uchunguzi yakinifu wa lililotokea kwani hakuna jambo ambalo lingemchafua na kumuondolea Magufuli umaarufu kwa wananchi kama hilo sasa kwanini wanazunguka huku na kule kwa nini wasiseme waliopmpiga Tundu Lisu risasi kwa ushaidi live na kuchukuwa hatua?

Uongo ni dhambi na ni mgumu kuutetea, …
Ndo maana nikitaka kumpinga Mzee Makamba ninasita. Ubaya utalipwa iwe Kwa Muda mrefu au mfupi.
 
Lisu anajua walimtwanga ndio maana hata baada ya kifo Cha jpm na kulipwa pesa za kuja bongo kuanzia maisha hawezi kuja

USSR
Mbona alisema wazi kuwa aliyemtwanga ni Kisanduku, kwa usimamizi wa Bashite, kwa maagizo ya JPM. Na ni ukweli ulio dhahiri kwa kila mwenye akili.

Lisu hawezi kurehea sasa wakati hakuna mpango wowote wa dhamira njema ulioandaliwa kwaajili ya kujikimu.
 
Mbona alisema wazi kuwa aliyemtwanga ni Kisanduku, kwa usimamizi wa Bashite, kwa maagizo ya JPM. Na ni ukweli ulio dhahiri kwa kila mwenye akili.

Lisu hawezi kurehea sasa wakati hakuna mpango wowote wa dhamira njema ulioandaliwa kwaajili ya kujikimu.

Mbona kwenye uchaguzi alirejea na kugombea? Alikuwa na uhakika wa usalama wake kwa kiasi gani?
 
Yan kweli serikali na manguvu yake yote itake kumuua lisu na washindwe? Ww inakuingia akili?

Si wangepiga Bomu kwenye gari lake au nyumba yake?

Lisu huyu alikuwa anakaa Royol pub pale usiku ndio serikali imtake ishindwe kumpata?

Gari yake inaoshwa CBE pale si wangeweka hata Bomu?

Mnadanganywa kijinga kabisa
Kwa io zile walizompiga walitaka kumjeruhi na wala sio kumuua si ndio

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Hakika aliewaita mataga hakukosea,et mie nadhan !!!unaleta dhana ktk uhalisia????
Kupiga kelele inje ya mahakama na huko ugaibuni hakutomsaidia, Mimi nilidhani akienda kufungua kesi ya madai Kwa nini mahakama haishugulikii upelelezi wa shambulio lake Mimi niombe nyinyi mliokaribu naye, mshaurini atoke uko aliko aje afuatilie kesi yake hapa nyumbani kwake tanzania
 
Kwa io zile walizompiga walitaka kumjeruhi na wala sio kumuua si ndio

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Hapo sasa ndio ujue sio serikali ni waahalifu kama waalifu wengine

Ingekuwa ni serikali, hata haspital wangezima umeme akafia huko huko kwenye operation

Au ndege iliyompeleka Nairobi ingenyimwa kibali cha kutua dodoma
 
Back
Top Bottom