Uongo mgumu kuutetea, Tundu Lissu, CHADEMA na CCM wanahaha!

Uongo mgumu kuutetea, Tundu Lissu, CHADEMA na CCM wanahaha!

Msaliti wa taifa.

Tutashitakiwa MIGA
miga mlishashitakiwa ndio maana mapunga wenzako wanahaha kuokoa ndege iliyoshikiliwa uholanzi, by the way msaliti ni wewe ba mamakk nyumbani kwenu pamoja na mapunga wenzako huko ccm majiz ya kura yanayoamini kifo ni kwa watu wabaya kama akili za mzee wenu yile punguwan makamba.
 
Lisu anajua walimtwanga ndio maana hata baada ya kifo Cha jpm na kulipwa pesa za kuja bongo kuanzia maisha hawezi kuja

USSR
mapunga ya ccm mlishindwa kupangua hona mkakimbilia bunduki mwisho wa siku mmebaki kuhiji chato
 
Wanajua jinsi Tundu Lisu alivyopigwa risasi na nani hata yeye Tundu Lisu anajua jinsi alivyojitoa kafara na alivyopata ukilema wa maisha, yote hii sababu ya power, na ndiyo maana wanajitoa akili yote hii kuutetea uongo, uongo ni dhambi na mgumu sana kuiishi nao kwani ni lazima uendelee kudanganya mwishoe ukweli utajitenga tu.

Haya sasa hivi wana power yote, vyombo vyote vya Ulinzi na usalama wanavi-command, kwa nini hawaanzishi uchunguzi yakinifu wa lililotokea kwani hakuna jambo ambalo lingemchafua na kumuondolea Magufuli umaarufu kwa wananchi kama hilo sasa kwanini wanazunguka huku na kule kwa nini wasiseme waliopmpiga Tundu Lisu risasi kwa ushaidi live na kuchukuwa hatua?

Uongo ni dhambi na ni mgumu kuutetea, …

Serikali haijichunguzi ndugu. Punguza siasa kwenye roho za watu. Usifanye dhaihaka kwenye mabaya ya watu. Halafu usilazimishe ndoa ya CHADEMA na CCM .
 
Mkuu,

Walikimbia nchi kwa sababu ya Magufuli; mwaka wa pili sasa tangu afariki ila hawajarudi.

Walipiga kelele Magufuli ni dikteta kwa kuwa aliwazuia kufanya mikitano ya kisiasa nje ya maeneo waliyoshinda; mwaka wa pili sasa tangu afariki, mikutano ya kisiasa haijaruhusiwa na hatusikii kelele za serikali ya kidikteta, n.k.

Hii nchi hatuna chama cha upinzani cha kizalendo, tuna magenge ya wapigaji tu. Ni mara 1,000 tuendelee kutawaliwa na CCM.
magufuli kafa wapuuzi kama wewe bado mpo wengi tu. anaweza akarudi mkamminia risasi tena. kama mliweza kumuita mtu mmoja gaidi mtashindwa kumua mtu?
YUPO WAPI ANZORY GWANDA? nani alimuua Alphonso Mawazo?
 
Kwa sababu ni lissu ndio maana unaongea hivyo. Sawa. Ungelijua ukweli ungetubu.
 
Tundu Lisu is a walking/living miracle. Kupona baada ya kupigwa risasi zote zile, hakika ni muujiza wa Mwenyezi Mungu.

Mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa. Lakini ninaumia na kusikitika sana pale baadhi ya watu wanaojitoa ufahamu kwa kujaribu kuihusisha Chadema na jaribio la mauaji ya Lisu. Kuweni makini, Mtajiletea laana kwenu na vizazi vyenu. Ni heri kama huna la kusema ukanyamaza tu.
Ataishi milele ndiyo hadi dereva amefichwa
 
Lisu anajua walimtwanga ndio maana hata baada ya kifo Cha jpm na kulipwa pesa za kuja bongo kuanzia maisha hawezi kuja

USSR

Kosa ni la Lissu au serikali?. Jeshi la polisi halijawakamata waliotaka kumuuwa Leo itasemaje arudi. Hayakupata ndio maana unasema hivyo.
 
,
Tundu mwenyewe ajatoa ushirikiano, alishaitwa Sana kwenda kuandika maelezo ajaenda

Sasa unatakaje?

Nenda kamwandikie ww basi

Atoe ushirikiano gani?. Sheria inasemaje kuhusu kitendo Cha jinai kinapotokea?. Polisi wangefanya kazi yao waache visingizio.
 
kesi ya Bilionea Msuya ilihukumiwa akiwa ameshauwawa. yeye alitoa ushirikiano gani wakati tayari ameuwawa?
mlisoma wapi huko mnakofundishwa ujinga nyie watu?
Huyo aliuawa lakini jamaa yenu yupoo. Aliekufa atahusikaje tenaa. Ila jamaa yenu Yuko hai, mwambie I akafungue kesi basi.
 
Mkuu,

Walikimbia nchi kwa sababu ya Magufuli; mwaka wa pili sasa tangu afariki ila hawajarudi.

Walipiga kelele Magufuli ni dikteta kwa kuwa aliwazuia kufanya mikitano ya kisiasa nje ya maeneo waliyoshinda; mwaka wa pili sasa tangu afariki, mikutano ya kisiasa haijaruhusiwa na hatusikii kelele za serikali ya kidikteta, n.k.

Hii nchi hatuna chama cha upinzani cha kizalendo, tuna magenge ya wapigaji tu. Ni mara 1,000 tuendelee kutawaliwa na CCM.

Bahati nzuri Magufuli alikuwa CCM na mama Samiah Ni ccm wote lao moja. CCM haibadiliki ni ile ile.
 
Back
Top Bottom