Uongo mgumu kuutetea, Tundu Lissu, CHADEMA na CCM wanahaha!

Uongo mgumu kuutetea, Tundu Lissu, CHADEMA na CCM wanahaha!

Atoe ushirikiano gani?. Sheria inasemaje kuhusu kitendo Cha jinai kinapotokea?. Polisi wangefanya kazi yao waache visingizio.

Kazi Yao wamefanya, bado kazi ya lisu

Kwani ww ukibiwa nyumbani kwako bila ww kwenda kusema ilikuwaje do you think police watafanya nn?


Mbona mambo mengine ni ya kawaida tu
 
Mhanga angekufa kesi ingeisha. Juzi watuhumiwa 11 wamehukumiwa kunyongwa kwenye kesi ya Lotter mzungu. Huyo Lotter alikuwepo kutoa ushirikiano? Au kisa mzungu na Lissu mwafrika?
Hajui kitu huyu kwanza ndo mwali hapa
Matusii hayataweza kuficha ukanjanja wa jamaa yenu.
sasa lisu akiwa kanjanja wewe utakuwa nani ndugu
 
Kudo!

Mimi huwa najiuliza sana,hivi enzi zile kina Nyerere wakitafuta UHURU wa nchi hii.

Na kama wangekuwepo watu wanasiasa kariba ya Tundu Lissu!

Ingewezekana UHURU kupatikana kweli?
Walikuwepo akina Makwaia,, mangi meli, etc ambao wali collaborate na wazungu dhidi ya TANU
 
Kudo!

Mimi huwa najiuliza sana,hivi enzi zile kina Nyerere wakitafuta UHURU wa nchi hii.

Na kama wangekuwepo watu wanasiasa kariba ya Tundu Lissu!

Ingewezekana UHURU kupatikana kweli?
Yangekuwa ya Dr. Congo.
 
Kama wameacha kuchunguza hao polisi, Kwa Nini mhanga asipeleke malalamiko yake kwakuwa Yuko hai?

Ni sheria gani inayomkataza polisi kufanya upelelezi pale kosa la jinai linapotokea Tena kwenye majengo ya mawaziri wa serikali.

Polisi hawa hawa kila siku Wana kesi za CHADEMA mahakamani, iweje Leo iwe ngumu kufungua kesi ya Lissu?.
 
Kudo!

Mimi huwa najiuliza sana,hivi enzi zile kina Nyerere wakitafuta UHURU wa nchi hii.

Na kama wangekuwepo watu wanasiasa kariba ya Tundu Lissu!

Ingewezekana UHURU kupatikana kweli?
Tundu lisu alikua mtumwa ,alitumika ktk mission fulani
 
Enhe, Magufuli ndio anawazuia kufanya mikutano hata sasa?
sheria mbovu ya vyama vya siasa ilitungwa wakati gani? unafikiri hawa ma RPC na OCDs waliopo wameumbwa upya au walikuwepo enzi za utawala wa zalimu magufuli?
mikutano itakuwepo. cha msingi zalimu hayupo tena
 
Inside mission gani?. Si ndio ungekuwa mwisho wa CHADEMA. Mbowe kaajiri JWTZ wastaafu kapewa kesi ya ugaidi, ndio wafanye inside job. Mnachekelea ya Lissu , ila kauli ya maakamba inawaliza. Kweli unafiki umejaa Tanzania.
Mbowe anajuana na Samia kwenye hiyo kesi ya ugaidi.. Ila naamini kilichomtokea Lissu ndo kilichomtokea Wangwe na architecture ni mmoja na yumo ndani ya chadema
 
Hivi nani ambaye hatokufa hapa dunianii

Kila nafsi itaonja mauti, ila dhihaka hizi kwa Lissu ndio zinatoa mwanya kwa wengine kufurahia Magufuli kufariki. Issue inaanzia hapo, Magufuli hakutoa tamko la kufanyika upelelezi, baadala yake akaleta jopo la wanasheria wa serikali karibia ishirini kuja kusimamia kesi ya kumtoa Lissu kwenye ubunge.
 
Kudo!

Mimi huwa najiuliza sana,hivi enzi zile kina Nyerere wakitafuta UHURU wa nchi hii.

Na kama wangekuwepo watu wanasiasa kariba ya Tundu Lissu!

Ingewezekana UHURU kupatikana kweli?
Kwani Nyerere alikuwa mnafiki, chawa na mwizi kama hawa ninaowashuhudia ?!.
 
Mbowe anajuana na Samia kwenye hiyo kesi ya ugaidi.. Ila naamini kilichomtokea Lissu ndo kilichomtokea Wangwe na architecture ni mmoja na yumo ndani ya chadema
alipokufa wangwe mlisema kwasababu alikuwa anataka uwenyekiti. sasa lisu alipigwa risasi na chadema kwasababu gani maana hakuna alichokuwa anagombania.
CDM kitakuwa chama cha ajabu sana duniani kama kinatengeneza wanachama wake potentia halafu kinawaua?
Ben Sanane naye mnatwambia tumuulize Mbowe? yani raia anapotea dola ipo halafu wapuuzi wanasema aulizwe mtu binafsi, hii inatokea wapi kwingine kama siyo Tanzania pekee?
 
Back
Top Bottom