hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Atoe ushirikiano gani?. Sheria inasemaje kuhusu kitendo Cha jinai kinapotokea?. Polisi wangefanya kazi yao waache visingizio.
Kazi Yao wamefanya, bado kazi ya lisu
Kwani ww ukibiwa nyumbani kwako bila ww kwenda kusema ilikuwaje do you think police watafanya nn?
Mbona mambo mengine ni ya kawaida tu