Uongo mgumu kuutetea, Tundu Lissu, CHADEMA na CCM wanahaha!

Uongo mgumu kuutetea, Tundu Lissu, CHADEMA na CCM wanahaha!

Sasa kama wamepuuuzia, Kwa Nini mhanga asilalamike kwenye vyombo vya Dola ili shambulio lake lifanyiwe uchunguziii??

Dah! Aisee hivi unajua maana ya upelelezi?. Tundu Lissu alilitaarifu jeshi polisi kwamba kuna gari linawafuatilia. Tena nakumbuka hiyo habari ililetwa hapa Jamii Forum watu wakamzodoa na kumcheka, na hata jeshi la polisi halikufa ya chochote au kumpa ulinzi. Leo inakuwaje Hilo jeshi liwe upande wake?.

Yani alipeleka taarifa Kuna Nissan Patrol huwa inamfatilia kwa nyuma,polisi wakakaa kimya, Leo ndio tukio limetokea akapeleke malalamiko?. Polisi ndio wakulauimiwa kwenye hili wangempa upinzi yote yasingetokea.
 
sheria mbovu ya vyama vya siasa ilitungwa wakati gani? unafikiri hawa ma RPC na OCDs waliopo wameumbwa upya au walikuwepo enzi za utawala wa zalimu magufuli?
mikutano itakuwepo. cha msingi zalimu hayupo tena
Ilitungwa awamu ya nne, Magufuli anahusikaje?
 
Mkuu,

Walikimbia nchi kwa sababu ya Magufuli; mwaka wa pili sasa tangu afariki ila hawajarudi.

Walipiga kelele Magufuli ni dikteta kwa kuwa aliwazuia kufanya mikitano ya kisiasa nje ya maeneo waliyoshinda; mwaka wa pili sasa tangu afariki, mikutano ya kisiasa haijaruhusiwa na hatusikii kelele za serikali ya kidikteta, n.k.

Hii nchi hatuna chama cha upinzani cha kizalendo, tuna magenge ya wapigaji tu. Ni mara 1,000 tuendelee kutawaliwa na CCM.
Ha ha Ccm mnafurahisha sana

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Kazi Yao wamefanya, bado kazi ya lisu

Kwani ww ukibiwa nyumbani kwako bila ww kwenda kusema ilikuwaje do you think police watafanya nn?


Mbona mambo mengine ni ya kawaida tu

Hawajafanya kazi yeyote. Kazi ya kwanza ilikuwa kukamata watuhumiwa wote wanaoshukiwa. Mbona kwenye kesi ya Lotter waliweza?.

Lissu alipigwa risasi kwenye eneo la mawaziri wa serikali. Sasa ulitaka akae kwenye comma miezi sita atoke apeleke taarifa?. Kumbuka Lissu alipeleka taarifa kwa jeshi la polisi kwamba kuna Nissan Patrol inamfuatilia, polisi wakakaa kimya, leo ameshambuliwa polisi Wana aminikaje Tena?. Umeshindwa kutoa ulinzi. Na umeshindwa kupeleleza kazi ya polisi ni Nini?
 
Mkuu,

Walikimbia nchi kwa sababu ya Magufuli; mwaka wa pili sasa tangu afariki ila hawajarudi.

Walipiga kelele Magufuli ni dikteta kwa kuwa aliwazuia kufanya mikitano ya kisiasa nje ya maeneo waliyoshinda; mwaka wa pili sasa tangu afariki, mikutano ya kisiasa haijaruhusiwa na hatusikii kelele za serikali ya kidikteta, n.k.

Hii nchi hatuna chama cha upinzani cha kizalendo, tuna magenge ya wapigaji tu. Ni mara 1,000 tuendelee kutawaliwa na CCM.
Magufuli hakuchukua bunduki akaenda Dodoma kumpiga Tundu Lisu risasi.
Walioshiriki kwa njia mbalimbali, waliofanya kitendo kwa uhalisia bado wapo.
 
Kwa hivyo unaitukana serikali ya Magufuli kwamba miss
Tundu lisu alikua mtumwa ,alitumika ktk mission fulani

Kupona kwa Lissu kumewachanganya wabaya wake. Kila mtu anakuja na lake ilimradi ajifurahishe. Mission kwenye eneo la Mawaziri?. Mbona unaitukana serikali. Kwamba eneo wanaloishi mawaziri amabako Kuna upinzi, watu walifanya mission bila kukamatwa na mpaka leo wapo free wanachekelea. Kweli nchi ya hovyo.
 
Mbowe anajuana na Samia kwenye hiyo kesi ya ugaidi.. Ila naamini kilichomtokea Lissu ndo kilichomtokea Wangwe na architecture ni mmoja na yumo ndani ya chadema

Wanajuana vipi? Kesi si ililetwa mahalamani na ushahidi uktolewa Ni wapi ugaidi ulifanyika? Nani alijeruriwa kwenye ule ugaidi?. Tuache uongo.

Kwa hivyo CHADEMA wenye kesi lukuki zisizokuwa na kichwa Wala miguu mahakamani Leo wafanye tukio la kiuhalifu wewe ujue ila usalama na CCM wasijue. Mbona hiyo kesi ingeoneshwa live ili CHADEMA ifutike moja kwa moja.

Tatizo wanachi hatuhurumiani tumekubali kugawanywa kisiasa. Lissu alishambuliwa tunaleta ngojera ndio maana wabaya wanapata nafasi.
 
Hawajafanya kazi yeyote. Kazi ya kwanza ilikuwa kukamata watuhumiwa wote wanaoshukiwa. Mbona kwenye kesi ya Lotter waliweza?.

Lissu alipigwa risasi kwenye eneo la mawaziri wa serikali. Sasa ulitaka akae kwenye comma miezi sita atoke apeleke taarifa?. Kumbuka Lissu alipeleka taarifa kwa jeshi la polisi kwamba kuna Nissan Patrol inamfuatilia, polisi wakakaa kimya, leo ameshambuliwa polisi Wana aminikaje Tena?. Umeshindwa kutoa ulinzi. Na umeshindwa kupeleleza kazi ya polisi ni Nini?

Na hii ndio shida ya vijana wa chadema, ujuaji mwingi na mnachukua story ya one side ili Tu kutengeneza mazingira kuonekana mlionewa

Mbona mlikataa mbowe na mnyika wasihojiwe ishu ya lisu ? Kwani wao hawawez kuwa washukiwa namba moja?

Kwa akili yako ww unaamini serikali ingetaka kumuulisu wangeshindwa?

Wangedondosha hata ndege iliyomtoa dodoma kwenda Nairobi

Kwani lisu kabla ya kwenda Nairobi alitibiwa kwenye office za chadema?

Si wangemuua humo humo theater?
 
alipokufa wangwe mlisema kwasababu alikuwa anataka uwenyekiti. sasa lisu alipigwa risasi na chadema kwasababu gani maana hakuna alichokuwa anagombania.
CDM kitakuwa chama cha ajabu sana duniani kama kinatengeneza wanachama wake potentia halafu kinawaua?
Ben Sanane naye mnatwambia tumuulize Mbowe? yani raia anapotea dola ipo halafu wapuuzi wanasema aulizwe mtu binafsi, hii inatokea wapi kwingine kama siyo Tanzania pekee?

Kwakweli watanzania watu wa ajabu Sana. Wanareason kwa kuangalia uccm sio Tanzania.
 
Mkuu naona unajitoa ufahamu km ubongo umepata mushkeli

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app

Yan kweli serikali na manguvu yake yote itake kumuua lisu na washindwe? Ww inakuingia akili?

Si wangepiga Bomu kwenye gari lake au nyumba yake?

Lisu huyu alikuwa anakaa Royol pub pale usiku ndio serikali imtake ishindwe kumpata?

Gari yake inaoshwa CBE pale si wangeweka hata Bomu?

Mnadanganywa kijinga kabisa
 
Mkuu,

Walikimbia nchi kwa sababu ya Magufuli; mwaka wa pili sasa tangu afariki ila hawajarudi.

Walipiga kelele Magufuli ni dikteta kwa kuwa aliwazuia kufanya mikitano ya kisiasa nje ya maeneo waliyoshinda; mwaka wa pili sasa tangu afariki, mikutano ya kisiasa haijaruhusiwa na hatusikii kelele za serikali ya kidikteta, n.k.

Hii nchi hatuna chama cha upinzani cha kizalendo, tuna magenge ya wapigaji tu. Ni mara 1,000 tuendelee kutawaliwa na CCM.
Mgombea binafsi ndio suluhisbo kwa mazingira ya sasa lakini watanzania hatulidai bilo kwa nguvu. Hata kama katiba mpya isipowezekana kwa sababu ya muda bado kurekebisha sheria ili kuruhusu mgombea binafsi na Tume ya uchaguzi iwe na wafanyakazi wake kuanzia katani wilayani na taifa inawezekana, pia wagombea kuruhusiwa kuhesabuna kujumlisha kura zao na kupewa ushahidi wa karatasi za matokeo ya kura vituoni inawezakana. Tupambane kuyapata haya hata kana katiba mpya itakuwa baada ya uchaguzi.

Na kwa mazingira ya sasa ambapo popularity ya CCM iko low sana mgombea binafsi nchi nzima watashinda kirahisi.
 
Na hii ndio shida ya vijana wa chadema, ujuaji mwingi na mnachukua story ya one side ili Tu kutengeneza mazingira kuonekana mlionewa

Mbona mlikataa mbowe na mnyika wasihojiwe ishu ya lisu ? Kwani wao hawawez kuwa washukiwa namba moja?

Kwa akili yako ww unaamini serikali ingetaka kumuulisu wangeshindwa?

Wangedondosha hata ndege iliyomtoa dodoma kwenda Nairobi

Kwani lisu kabla ya kwenda Nairobi alitibiwa kwenye office za chadema?

Si wangemuua humo humo theater?

Shida ipo kwako sio kwangu. Mimi simuongelei Mbowe au Mnyika . Jeshi la polisi likamate wote waliohusika haijalishi ni Nani au Nani.

Wewe umeshindwa kumuua mtu kwa risasi zote hizo ndio uje umuue theatre au ushushe ndege?. Uwezo wa kushusha ndege wanao?. CHADEMA ilipitia mengi Mungu ndio anajua.

Sijui unatetea Nini?. Lissu kapigwa risasi jeshi la polisi lifanye upelelzi liwakamate wahusika. Kama waliweza kukamata washukiwa wote wa kesi ya Lotter ndio watashindwa ya Lissu?.

Unabisha yote kwasababu ni CHADEMA yamewakuta , Karma ipo tu. Unayomfanyia mwenzako kisa mpinzani nawe utafanyiwa.
 
Na hii ndio shida ya vijana wa chadema, ujuaji mwingi na mnachukua story ya one side ili Tu kutengeneza mazingira kuonekana mlionewa

Mbona mlikataa mbowe na mnyika wasihojiwe ishu ya lisu ? Kwani wao hawawez kuwa washukiwa namba moja?

Kwa akili yako ww unaamini serikali ingetaka kumuulisu wangeshindwa?

Wangedondosha hata ndege iliyomtoa dodoma kwenda Nairobi

Kwani lisu kabla ya kwenda Nairobi alitibiwa kwenye office za chadema?

Si wangemuua humo humo theater?

Sijui unabisha Nini?. Unatetea polisi kutokufanya upelelezi?. Kisa CHADEMA?. Haya bwana yote yana mwisho.
 
Yan kweli serikali na manguvu yake yote itake kumuua lisu na washindwe? Ww inakuingia akili?

Si wangepiga Bomu kwenye gari lake au nyumba yake?

Lisu huyu alikuwa anakaa Royol pub pale usiku ndio serikali imtake ishindwe kumpata?

Gari yake inaoshwa CBE pale si wangeweka hata Bomu?

Mnadanganywa kijinga kabisa


Serikali ipi? Hii iliyoshindwa kushughulikia mgao wa umeme au hii inayo kopa kila siku nje ya nchi?. Unaongelea serikali iliyoshindwa kujua Kama ndege itabebwa huko uholanzi?

Unaongea as if serikali inaongozwa na malaika kumbe watu wakaida . Kama seriklai ilihusika wahusika wadakwe wafunguliwe kesi ya jinai, Kama Ruto alivyofanya Kenya, kuwakamata wale wanausalama wa kikosi maalum waliokuwa wanatesa watu.
 
Back
Top Bottom