Hardbody
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 4,139
- 4,640
Sawa.
SawaUna hubiri
Hakuna aliye niacha mzima
Hakuna pepo
Hakuna mwenyeziMungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaUna hubiri
Hakuna aliye niacha mzima
Hakuna pepo
Hakuna mwenyeziMungu
Hivi umeona mtu yoyote ana quote story za mababu wa kale...hatuko huko .. tunataka empirical evidence ya dini kuwa true...kama we unaamini dunia imeumbwa 6000 years ago ndani ya 6 days na couple uchi na nyoka anayeongea katika Bustani yenye magical trees na all the animals bac endelea na Imani yako...Ila kwenye hoja leta hoja zenye mashiko sio story za kumuhadithia mtoto alaleWewe unahisi kile Mungu alipulizia kwenye udongo aliofinyanga kumuumba Adam ktk maandiko ilikua ni pumzi ya uzima kutoka respiratory za nani?
Mbele ya Mungu binadamu ni dhaifu na Mungu anaweza kufanya chochote kikapelekea kifo chako ...yaani asili tu unaweza kuingiwa na sisimizi puani tu ikawa ni sababu ya kifo chako.Kama tuna Akili ya kupambana
hapa hapa duniani, kwa nini tunashindwa kutumia Akili hiyo kuzuia majanga ya asili ya hapa hapa duniani?
Huoni akili hiyo unayo dai tumepewa na huyo Mungu ya kupambana na mitihani ya kidunia
(majanga ya asili yakiwemo) ina UDHAIFU mkubwa sana, hapa hapa duniani?
Kama majanga ya asili yaliyopo
hapa hapa duniani yapo nje ya uwezo wetu,
Na wewe ulisema na unadai, Mungu huyo alitupa "Akili" ya kupambana na mitihani ya kidunia ni UONGO.
Na kama alitupa hiyo Akili , Basi Akili hiyo ni DHAIFU sana.
Oi ..na wewe mama Ako kakutishia moto niniH
Hakika #Utaangamia Vibaya Sana Kijana ila me nakuombea Unusurike Usifikie huko Unakotaka kwenda maana unaelekea sehemu tunaita #The Point of No return... Do don't Over disrespect your Creator to the point of no return. Guess what the good news is that you still have a chance to repent brother so you better turn back.!
Hivi kuwa na kitu na kuwa na uwezo wa kukitumia kitu hicho ni sawa??Kama tuna Akili ya kupambana
hapa hapa duniani, kwa nini tunashindwa kutumia Akili hiyo kuzuia majanga ya asili ya hapa hapa duniani?
🤣Amkubali Mungu gani asa brahma au zeusBinafsi yangu naona siku Utakapopatwa na #Shurba ndipo Utakaposadiki Utukufu wa Mwenyezi Mungu na Kutambua Uwepo wake, Siwezi Kulaumu wala Kushangaa maana Maisha ya Mwanadamu Duniani ni Fumbo au Mfano wa Giza (Ndiyo maana kuthibitisha hilo hatujui kinachojiri hata lisaa limoja inayofuata) kifupi hatujui kesho yetu. Mwenyezi Mungu ndio anajua kwanini amekupitisha katika hali hii ya Utambuzi na Pengine yeye pia anafahamu ni Lini Atakupatia Ufahamu wa Kumtambua ama Pia Kutomtambua Wote hatujui lakini what I know ni Kwamba Mwenyezi Mungu anazungumza katika kitabu kitakatifu cha Quran kwamba "Hakika ni Kwamba Mwanadamu hawezi kuadhibiwa mpaka pale ambapo atakuwa Amefikishiwa Ujumbe na Kuukataa". So ndugu yangu Infropreneur you never know probably this is the right time for you to get informed and turn back from Losting Forever. May God bless you.....!
Thibitisha kwanza mmiliki wa hivyo ulivyovitaja kuwa yupo. Hujathibitisha umeleta story za Mtume ambaye alikuwa ni mtu wa kawaida tu.Thibitisha ya kuwa hakuna moto, pepo, bikiria 72 na utuambie umejuaje ya kuwa hivyo havipo ?
Usikimbie swali.
Mtoto mchanga anapewa mtihani ganiWatapewa mitihani wa kifaulu wanaingizwa peponi na wakifeli wanaingizwa motoni.
Mi sijasema nataka equality...mbona me sio tajiri ila Nina maisha mazuri tu...Ila kunawatu wanateswa, wanatumikishwa, wanatekwa, wanauzwa, hao ndo nazungumzia.Hapa sio dini maana ni mfumo wa maisha ila tunaongelea Mungu huyu ambaye anatoa riziki kwa wote ,hata yule anadhulumu watu bado atapata riziki.
Kuna hekima kubwa na jinsi dunia inavyoenda na mfumo wa duniani kuwa na matabak ya kiuchumi ,jinsia, elimu ,nguvu na mengine.
Haya yote yapo yana makusudio yake na wala sio kwmba pamekosewa ..
Inawezekana ikawa sio fair ila inafanyiwa hivi ili dunia kubalance ...
Duniani kuna equity ila ulikta equality lazima pawe na matatizo , mfano ukiweka equality kweny ndoa basi hap matatizo.
Equity ipoje hata kama wewe utakuwa labda una uchumi mkubwa basi utapata matatizo accordingly yaani utapata matatizo makubwa na utapewa mitihani labda kusaidia jamii na mandatory yaani mali zako ila unatakiwa kusaidia watu...Kwa maskini anapata mitihani midogo ya kimaisha naye atakuwa kweny level fulani atajiona kapanda au kashuka ,atakuwa na furaha na huzuni ila ataridhika na maisha yake .
Mtihani wa maskini inaweza kuwa mdogo hata kushindwa kulipa ada ya shlling laki moja ,ila yupi tajri anapambana kumlipia mwanae ada ya million 10.
Hapana hujafikiri vizuri, nmekuuliza anaweza kuumba Mungu mwingine mkubwa kuzidi yeye. Jibu ndio au hapanaHakuna kikubwa na chenye uwezo zaidi yake.
Unaulizia swali la kipuuzi sana, linaonyesha unafikiria kitoto sana.
Mtihani unaweza kuwa kwa wazazi wake!!Mtoto mchanga anapewa mtihani gani
Ulislamu ni Quran, hakuna uislam bila Quran. Si ndio?Adamu alikuwa Muislamu. Unataka nikujibu vipi swali lako ?
Okay don't u think na wewe kila kitu ukisema god did it utashindwa kutafuta real answers to everyday problems na utakuwa umejiridhisha na jibu rahisiSasa Kutokujua kwako huoni kama tayari unafanya concept iendelee kuwa Complex sababu watu wataendelea #Ku-Sperculate kutaka kujua where did it came from?. Na pia una encourage knowledge limitation maana watu wataridhika tu kwamba tumelikuta jua na lipo hivi basi tu watake easy bila kujiuliza maswali mengine muhimu kuhusu vitu hivi.
Kumbuka hata Elimu hii ya Solar system na Planets ilikuja baada ya Wanasayansi kuanza kujiuliza maswali mbali mbali ndipo wakafikia hadi hatua ya kufanya research na hapo ndio tukapata Ufahamu tulionao leo hii.
Christopher Columbas mwaka 1492 Aliposail hadi kwenda kudiscover the American Continent ilikuwa ni result ya #kupekenyua vyanzo na Kufahamu Utambuzi wa Mazingira yaliyowazunguka.
Sasa Wewe Simply tu Unasema Sijui hafu Umerizika tu na jibu hilo bila kuweka wazo mbadala means unaconclude kwamba ni Ignorant na kwa msingi huo Upande wako Una onekana haujui chochote!
Kwan Quran imeteremshwa lini, ndilo swaliOna ulivyo kilaza, hivi unasomwa ninacho kiandika ?
Qur'an ni kitabu alichopewa Mtume ambaye alikuwa anaongea Kiarabu.
Hao mitume wengine walipewa ujumbe wao kwa lugha zao.
Ongeza umakini kijana.
Aaaaw...so much love 🥺Adhabu ya Allah inapo kuja huwa haichagui, inawakumbuka wote, na hapa Kuna sababu kadha wa kadha.
Ama kwa mtoto anae kufa katika tukio hilo, yeye anakuwa muda wake wa kufa umefika, na yeye atakuja kupewa mtihani siku ya Kiama, akifaulu analipwa pepo na alifeli anaingizwa motoni.
Tumeanza mbali umejibiwa verses kibao za Quran kuhusu kukosea geography ya primary kabisa...unakimbia kimbia...so it's pointless kubishana na mke wa MuhammadMfano ulio uweka una makosa.
Sasa kitabu Cha Muarabu kinasema uongo ? Kwanini hamukosoi hicho kitabu mnaishia kurula ruka ? Inaonekana hata kukisoma hamjawahi kukisoma, halafu mnakuja hapa kutaka mjadala ? Mna akili kweli vijana ?
Nakosaje hoja wakati unakimbia hoja zangu na maswali yangu ?
Yahh wewe si chochote ila ni shahawa za baba yako na hizo shahawa baba yako alitunukiwa na Mungu bure[emoji3064]Kwa hiyo tunatunukiwa shahawa duu...sijui Mimi nitatunukiwa lini maana mi sijawahi fatwa na Mungu anipe shahawa...au nyie wadau vipi huko
🤣🤣🤣🤣sawa muarabu KokoNacheka sana, naona huna Cha kuandika tena ?
Haya yote yanayotokea alishayapanga miaka elfu 50 kabla ya kuiumba hii Dunia, kwahiyo ni mipango yake tu, lianze hili lofate lile mwisho iwe hivi.
Anatumia kitabu ? Kivipi ? Kitabu ni maneno yake kwa ajili ya kuwaongoza waja wake. Tuliza akili uandike vya maana.
🤣Kutojua rais wa Nicaragua ni nani hakumfanyi rais wa hio nchi kuwa MunguSasa kwanini unapinga kama Ulimwengu umeumbwa na unakiri kabisa hujui umetoka wapi ? Hivi una akili kijana ?
🤣ushahidi ni Mimi Nina shahawa na sijapewa na mtu nimezikuza mwenyewe naturally...Yahh wewe si chochote ila ni shahawa za baba yako na hizo shahawa baba yako alitunukiwa na Mungu bure
Kama unao ushahidi kuwa shahawa za baba yako zilizokuleta wewe hapa duniani alizitengeneza baba yako Kwa ujuzi wake weka hapo tuuone