Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Haijalishi, huenda Morocco wakawepo wengi ila wakawa wanafanya uovu au maovu kuzidi Tanzania. Hujaona huko juu niliandika kuhusu Uislamu sahihi ?!
🤣🤣🤣🤣Hauwezi kumeasure hii kitu utakuwa unajikosha tu...kuapply na assumptions zako..uovu una measure kwa lipi asa... unajuaje nchi moja imezidi nyingine...🤣Acha kujiabisha mkuu
 
H
Kwanza, kwa nini unadhani ulimwengu uliumbwa?

Kwa nini umeweza kuamini Mungu usiyemjua Hana muumbaji, Lakini unataka ulimwengu uwe na muumbaji?

Dunia haina chanzo,

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo, Basi hata Mungu na yeye lazima awe na chanzo. Mungu huyo Hawezi kutokea tu from nothing.

Kanuni ni kwamba, 👇

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo, Basi hata
"Chanzo cha chanzo" na chenyewe lazima kiwe na chanzo chake na
"Chanzo cha, chanzo chake" lazima kiwe na chanzo.

Ili muundo ule ule wa
"ULAZIMA KUWEPO CHANZO" uonekane na ufuatwe kwa vitu vyote, Kusiwepo kitu chochote kitakacho kwenda kinyume na ulazima huu wa
"kuwepo chanzo" kwa kujitokeza chenyewe tu pasipo chanzo.

Nadhani una nielewa.

Hivyo SI LAZIMA kwamba, Dunia lazima iwe na Chanzo.

Ila kama "ulazima" huo lazima uwepo kwamba
"lazima vitu vyote vilivyomo viwe na chanzo" Basi hata Mungu hawezi kwenda kinyume na ulazima huo, Na yeye lazima awe na chanzo.



Ulimwengu hauja anza, upo tu na hauna mwanzo wala mwisho.

Kama kila kitu lazima kiwe na mwanzo, Basi na wewe unapaswa kuonesha mwanzo wa Mungu.

Ili muundo ule ule wa
"ULAZIMA KUWEPO CHANZO" ufuatwe.

Kama unaweza kuamini Mungu usiyemjua Hana chanzo, Basi hata Ulimwengu si lazima uwe na chanzo.

Nadhani hapa logic imekamilika.
Me naamini Kama Hauko YES basi Uko NO kwahiyo naamini kama hauamini the Presence of God & Religions basi Utakuwa Believer wa Science bila Shaka. Na we all Know kwamba Science ina base ktk the question of how, religion ina base katika the question of why. sasakwakuwa science ina jikita kwenye 'How' ndio Utufafanulie sasa how did the Universe came Up as it opposed to Religious claim kwamba 'The Universe came Up from God'.
Tuwekane hapo sawa ili mabishano yetu yawe na #Mantiki sasa
 
Mi sijasema nataka equality...mbona me sio tajiri ila Nina maisha mazuri tu...Ila kunawatu wanateswa, wanatumikishwa, wanatekwa, wanauzwa, hao ndo nazungumzia.
Sawa wwe umepata neema ila tambua duniani hatuwezi kuwa sawa kwa namna yeyote kwa vile hakuna equality.



Jaalia sote tuna pesa nan atakuja kuvibua vyoo, hao nyuki na wanyama wengine wana mgao wa majukumu wapo wanazaliwa kuwa walinzi..

Mjomba maisha hayawezi kuwa sawa kila kitu kina neema yake , Ndio watu wa hali ya chini wengi wanajipa matumaini kwamba utajiri ni mtihani mara chanzo cha magonjwa😂😂
 
Infropreneur na Smotor hebu tulijadli suala hili la kuwepo ama kutokuwepo kwa MUNGU kimantiki.

Mleta mada Mayu na nyie ni lazima tukubaliane kwamba hoja ya Mungu kwamba yupo ama hayupo ni lazima ianzie kwenye hoja ya kuumbwa kwa ulimwengu.

Wapinga Mungu husema kwamba dunia imeibuka tu toka kusikojulikana mamilioni kadhaa ya miaka iliyopita.

Lakini kabla hatujaenda mbali sana jee nyie akili zenu zinawatuma kwamba ulimwengu ulianzaje na ni kwa nini nyie mmetokeza kuwa binadamu na siyo Ng'ombe!!
Najua hujanitag Ila naomba unijibu Mungu katoka wapi? Na kwa Nini ni Mungu na sio shetani
 
Sawa ulimwengu haujaumbwa na umetokeza wenyewe tu. Lakini nani ana hakika kama ulimwengu umejitokeza tu hauna Mwanzo Wala mwisho??
Sijasema kwamba
"ulimwengu uli jitokeza wenyewe"
Kauli yako hii tayari ina zua maswali mengine kwamba ulijitokeza kutoka wapi? Na huko uliko jitokeza kulitoka wapi?

Nilisema na Nasema hivi, Ulimwengu upo tu, Hauna mwanzo wala mwisho.

Ukianza kuweka ulazima wa chanzo cha kitu fulani, basi hata hicho chanzo cha hicho kitu, kitahitaji chanzo.

Na hapa kutakuwa na Vyanzo vingi visivyokuwa na mwisho
(Endless sources) to infinity hukooooo....
Mantiki ni kujibu swali na si kushambulia wanaoamini kwamba Kuna Mungu.
Ndio najibu maswali hapa, sishambulii mtu.

Iko hivi 👇

Binadamu wote Hatuwezi kujua, Tusicho kujua ( ndio principle hii)

Ukisema unajua kitu fulani, lazima ueleze kitu hicho umekijuaje, na utoe uthibitisho wa jinsi ulivyo kijua na si mawazo yako ya kufikirika tu.

Lazima ueleze kitu hicho ulicho kijua, kipo kwa namna gani. Kwamba
je kina onekana, kinashikika, kinasikika au kinahisika?

USISEME kwamba ulikijua kitu hicho kwa mawazo yako tu ya kufikirika pasipo kuonyesha namna gani ulikijua na utoe uthibitisho angalau wa kuonekana, kushikika, kusikika, au wa kuhisika.

ili kitu hicho kisiwe mawazo yako ya kufikirika tu.
Jee unaweza kusema ni kwa nini wewe ni binadamu na si Ng'ombe??
Mimi ni Binadamu na si ng'ombe kwa vile, 👇

Kitu lazima kiwe kwa namna moja tu.

Kitu kimoja Hakiwezi kuwa kwa namna mbili kwa wakati mmoja.

Kama ni ng'ombe ni ng'ombe tu, ila sio Ng'ombe binadamu.

Na kama ni binadamu ni binadamu tu, ila sio Binadamu ng'ombe.

Ningeweza kuwa ng'ombe pia, Ila nisingeweza kuwa Binadamu.

Ila mimi ni Binadamu, Na siwezi na Haiwezekani niwe ng'ombe.

Logic imekamilika....📌🔨
 
...kama mtu hataki kuamini kuna mungu... We muache... Mungu si mnasema anauwezo ko atamfanya amtambue kwa uwezo wake... Mbona tunalazimishana bana... Mimi nikimwambia mtu kuhusu mungu na akawa haelewek unamuacha... Na wewe kama mcha mungu kamwombee japo amjue mungu kupitia maombi yako... Me naamini mungu yupo lakn kuna vitu vinanitiaga mashaka... Huwa naulizia kwa waumini wananielewesha maisha yanasonga...
Mi Sina shida na belief in God kwa kweli...🤣shida ni hizi religions..ni man made na zinatumia Mungu Kama pazia la control na utapeli
 
Sawa ulimwengu haujaumbwa na umetokeza wenyewe tu. Lakini nani ana hakika kama ulimwengu umejitokeza tu hauna Mwanzo Wala mwisho??
Sijasema kwamba
"ulimwengu uli jitokeza wenyewe"
Kauli yako hii tayari ina zua maswali mengine kwamba ulijitokeza kutoka wapi? Na huko uliko jitokeza kulitoka wapi?

Nilisema na Nasema hivi, Ulimwengu upo tu, Hauna mwanzo wala mwisho.

Ukianza kuweka ulazima wa chanzo cha kitu fulani, basi hata hicho chanzo cha hicho kitu, kitahitaji chanzo.

Na hapa kutakuwa na Vyanzo vingi visivyokuwa na mwisho
(Endless sources) to infinity hukooooo....
Mantiki ni kujibu swali na si kushambulia wanaoamini kwamba Kuna Mungu.
Ndio najibu maswali hapa, sishambulii mtu.

Iko hivi 👇

Binadamu wote Hatuwezi kujua, Tusicho kujua ( ndio principle hii)

Ukisema unajua kitu fulani, lazima ueleze kitu hicho umekijuaje, na utoe uthibitisho wa jinsi ulivyo kijua na si mawazo yako ya kufikirika tu.

Lazima ueleze kitu hicho ulicho kijua, kipo kwa namna gani. Kwamba
je kina onekana, kinashikika, kinasikika au kinahisika?

USISEME kwamba ulikijua kitu hicho kwa mawazo yako tu ya kufikirika pasipo kuonyesha namna gani ulikijua na utoe uthibitisho angalau wa kuonekana, kushikika, kusikika, au wa kuhisika.

ili kitu hicho kisiwe mawazo yako ya kufikirika tu.
Jee unaweza kusema ni kwa nini wewe ni binadamu na si Ng'ombe??
Mimi ni Binadamu na si ng'ombe kwa vile, 👇

Kitu lazima kiwe kwa namna moja tu.

Kitu kimoja Hakiwezi kuwa kwa namna mbili kwa wakati mmoja.

Kama ni ng'ombe ni ng'ombe tu, ila sio Ng'ombe binadamu.

Na kama ni binadamu ni binadamu tu, ila sio Binadamu ng'ombe.

Ningeweza kuwa ng'ombe pia, Ila nisingeweza kuwa Binadamu.

Ila mimi ni Binadamu, Na siwezi na Haiwezekani niwe ng'ombe.

Logic imekamilika....📌🔨
 
Sawa wwe umepata neema ila tambua duniani hatuwezi kuwa sawa kwa namna yeyote kwa vile hakuna equality.



Jaalia sote tuna pesa nan atakuja kuvibua vyoo, hao nyuki na wanyama wengine wana mgao wa majukumu wapo wanazaliwa kuwa walinzi..

Mjomba maisha hayawezi kuwa sawa kila kitu kina neema yake , Ndio watu wa hali ya chini wengi wanajipa matumaini kwamba utajiri ni mtihani mara chanzo cha magonjwa😂😂
Hizo ni kazi ...🤣Mi naongelea mateso, utumwa, kunyanyaswa, vita, etc Kuna watu wanachinjwa na magaidi huko...a lot of things...hasa why God allows this ..bado Kuna natural disasters ma earthquakes Nini
 
Hizo ni kazi ...🤣Mi naongelea mateso, utumwa, kunyanyaswa, vita, etc Kuna watu wanachinjwa na magaidi huko...a lot of things...hasa why God allows this ..bado Kuna natural disasters ma earthquakes Nini
Ishu ya kumtesa mtu ni jambo tunaita dhambi hii inatokana na mtu kutumia fursa na uwezo wake vibaya dhidi ya wengine ....Kutesa hata kuua wengine sio jambo jema ila kama mtu zake zimefika atakufa kufa sio kila anayepanda kukuua anaweza moja kwa moja kukumaliza.
 
Ishu ya kumtesa mtu ni jambo tunaita dhambi hii inatokana na mtu kutumia fursa na uwezo wake vibaya dhidi ya wengine ....Kutesa hata kuua wengine sio jambo jema ila kama mtu zake zimefika atakufa kufa sio kila anayepanda kukuua anaweza moja kwa moja kukumaliza.
Ehe afu natural disasters
 
...dini zimeingiliwa na matapel akina papa na manabii waongo
 
Back
Top Bottom