Ulijifunza Nomino dhahania katika kiswahili?
Nomino dhahania ni maneno yanayo onyesha vitu visivyokuwa katika uhalisia wa kuonekana. Ila vipo katika hali ya kufikirika tu.
(dhana za kufikirika)
Maneno haya hutumika kuonyesha Hali za kibinadamu zisizo katika uhalisia wa kuonekana, kushikika au kusikika.
Na mifano ya maneno hayo, Nomino dhahania hizo ni kama vile:
Woga, wasiwasi, hofu, Akili, tamaa, kiburi, chuki, aibu, njaa, kiu n.k
Vyote hivi HAVIPO katika uhalisia ila ni dhana za kufikirika tu.
Hivyo "Hofu" haipo kwenye uhalisia ila ni dhana ya kufikirika tu.
Imagination just an illusion.