Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Wewe unahisi kile Mungu alipulizia kwenye udongo aliofinyanga kumuumba Adam ktk maandiko ilikua ni pumzi ya uzima kutoka respiratory za nani?
Hivi umeona mtu yoyote ana quote story za mababu wa kale...hatuko huko .. tunataka empirical evidence ya dini kuwa true...kama we unaamini dunia imeumbwa 6000 years ago ndani ya 6 days na couple uchi na nyoka anayeongea katika Bustani yenye magical trees na all the animals bac endelea na Imani yako...Ila kwenye hoja leta hoja zenye mashiko sio story za kumuhadithia mtoto alale
 
Mbele ya Mungu binadamu ni dhaifu na Mungu anaweza kufanya chochote kikapelekea kifo chako ...yaani asili tu unaweza kuingiwa na sisimizi puani tu ikawa ni sababu ya kifo chako.


Kumbuka pua zetu zipo on mda wowote 😂😂ila hao sisimizi hawaingii kila siku.
 
Oi ..na wewe mama Ako kakutishia moto nini
 
Kama tuna Akili ya kupambana
hapa hapa duniani, kwa nini tunashindwa kutumia Akili hiyo kuzuia majanga ya asili ya hapa hapa duniani?
Hivi kuwa na kitu na kuwa na uwezo wa kukitumia kitu hicho ni sawa??

Hivi Kila binadamu mwenye kinywa timilifu anao uwezo wa kuimba?

Kabla ya chanjo ya ndui au Polio jee wanadamu wa zama hizo walikuwa hawana akili? Mbona maelfu ya watu waliuawa kwa magonjwa hayo?

Wanaoamini katika Mungu Wanasema Kila jambo na wakati wake Kwa kusudi la Mungu.
 
🤣Amkubali Mungu gani asa brahma au zeus
 
Thibitisha ya kuwa hakuna moto, pepo, bikiria 72 na utuambie umejuaje ya kuwa hivyo havipo ?

Usikimbie swali.
Thibitisha kwanza mmiliki wa hivyo ulivyovitaja kuwa yupo. Hujathibitisha umeleta story za Mtume ambaye alikuwa ni mtu wa kawaida tu.
 
Mi sijasema nataka equality...mbona me sio tajiri ila Nina maisha mazuri tu...Ila kunawatu wanateswa, wanatumikishwa, wanatekwa, wanauzwa, hao ndo nazungumzia.
 
Hakuna kikubwa na chenye uwezo zaidi yake.

Unaulizia swali la kipuuzi sana, linaonyesha unafikiria kitoto sana.
Hapana hujafikiri vizuri, nmekuuliza anaweza kuumba Mungu mwingine mkubwa kuzidi yeye. Jibu ndio au hapana
 
Okay don't u think na wewe kila kitu ukisema god did it utashindwa kutafuta real answers to everyday problems na utakuwa umejiridhisha na jibu rahisi
 
Ona ulivyo kilaza, hivi unasomwa ninacho kiandika ?

Qur'an ni kitabu alichopewa Mtume ambaye alikuwa anaongea Kiarabu.

Hao mitume wengine walipewa ujumbe wao kwa lugha zao.

Ongeza umakini kijana.
Kwan Quran imeteremshwa lini, ndilo swali
 
Aaaaw...so much love 🥺
 
Tumeanza mbali umejibiwa verses kibao za Quran kuhusu kukosea geography ya primary kabisa...unakimbia kimbia...so it's pointless kubishana na mke wa Muhammad
 
[emoji3064]Kwa hiyo tunatunukiwa shahawa duu...sijui Mimi nitatunukiwa lini maana mi sijawahi fatwa na Mungu anipe shahawa...au nyie wadau vipi huko
Yahh wewe si chochote ila ni shahawa za baba yako na hizo shahawa baba yako alitunukiwa na Mungu bure

Kama unao ushahidi kuwa shahawa za baba yako zilizokuleta wewe hapa duniani alizitengeneza baba yako Kwa ujuzi wake weka hapo tuuone
 
🤣🤣🤣🤣sawa muarabu Koko
 
Yahh wewe si chochote ila ni shahawa za baba yako na hizo shahawa baba yako alitunukiwa na Mungu bure

Kama unao ushahidi kuwa shahawa za baba yako zilizokuleta wewe hapa duniani alizitengeneza baba yako Kwa ujuzi wake weka hapo tuuone
🤣ushahidi ni Mimi Nina shahawa na sijapewa na mtu nimezikuza mwenyewe naturally...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…