Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Akili hiyo, Mungu aliyompa Binadamu ina maana yeye Mungu Haijui mpaka aipime tena kwa binadamu?Anampima binadamu kwa vile kampa akili.! Ndio jibu nimekujibu
Labda maoni yako sema ulitaka binadamu akae tu, basi tungekuwa tunalala wala hakuna kutafuta riziki sisi ni wa kulala tu, hamna kuzaliana wala nini.
Je Mungu si mjuzi wa yote?Anampima binadamu kwa vile kampa akili.! Ndio jibu nimekujibu
Labda maoni yako sema ulitaka binadamu akae tu, basi tungekuwa tunalala wala hakuna kutafuta riziki sisi ni wa kulala tu, hamna kuzaliana wala nini.
Huyu jamaa kalishindwa hilo swaliAkili hiyo, Mungu aliyompa Binadamu ina maana yeye Mungu Haijui mpaka aipime tena kwa binadamu?
Yaani kwamba Mungu Anajipima kwamba Akili aliyo itengeneza mwenyewe na kumpa binadamu ikoje, kwamba yeye Haijui?
Hadi aipime tena, kwa kui angalia kwa binadamu ikoje?
Kwamba yeye Mungu anajipima tena?
Ni sawa mtu ajitekenye mwenyewe na kujicheka.
Bitter truth....hata kama yupo basi ni law za science na sio huyu Mungu mtu ambaye anaizunguka akili ya sapien kila sikuKwamba hakuna Mungu? Binadamu katokea tu si ndio unachotaka kumaanisha?
Shoot
Kwasababu kuna sheria za fizikia.Bitter truth....hata kama yupo basi ni law za science na sio huyu Mungu mtu ambaye anaizunguka akili ya sapien kila siku
Kuua watu ni upendo?Upendo ni wewe kakupa pumzi unapumua bure hata afya inayofanya unafanya kazi.
Kakupa macho unaangalia hapa ndio unatyping , unataka nn zaidi?
Binadamu anapimwa katika mengi ndio maana hapa duniani hata riziki lazima utafute... Binadamu anatumia akili kuziendea neema zilizopo dunia ndio maana hata mpango wa Mungu ni lazima binadamu afanye kazi .Akili hiyo, Mungu aliyompa Binadamu ina maana yeye Mungu Haijui mpaka aipime tena kwa binadamu?
Yaani kwamba Mungu Anajipima kwamba Akili aliyo itengeneza mwenyewe na kumpa binadamu ikoje, kwamba yeye Haijui?
Hadi aipime tena, kwa kui angalia kwa binadamu ikoje?
Kwamba yeye Mungu anajipima tena?
Ni sawa mtu ajitekenye mwenyewe na kujicheka.
Ndio mjuzi wa yote kuliko binadamu.Je Mungu si mjuzi wa yote?
Siku zao za kufa zimefika hakun mpango wa kuishi milele na haiwezekani.Kuua watu ni upendo?
Mkuu wewe ni mpinga kristo na Allah. Kwa uzi wako huu tu, mbinguni utapasikia redioni tu....hufiki ng'o!Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea
Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata
Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje
Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake
Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair
Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu
Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk
Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi
Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa
This is the biggest scam ever
Hujajibu swali,Binadamu anapimwa katika mengi ndio maana hapa duniani hata riziki lazima utafute... Binadamu anatumia akili kuziendea neema zilizopo dunia ndio maana hata mpango wa Mungu ni lazima binadamu afanye kazi .
Haya yote kama maendeleo na mabadiliko katika dunia kama technology ni binadamu katika kutumia akili yake kupambana na mazingira na sio wanyama wala .
Mfumo wa kukaaa tu bila ya kutumia akili na kufanya kazi sio mpango wa Mungu hata wanyama nao wanafanya kazi.
Kristo Hayupo.Mkuu wewe ni mpinga kristo na Allah. Kwa uzi wako huu tu, mbinguni utapasikia redioni tu....hufiki ng'o!
Nani akuamini kwa jibu jepesi kama hilo, Hata wewe mwenyewe hujiamini ndio maana umeanza na "Je"Je nikikwambia vyote hivi vilikuwepo tu na vitaendelea kuwepo havina mwanzo wala mwisho na havina mtengenezaji utaniamini?
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Mkuu wewe ni mpinga kristo na Allah. Kwa uzi wako huu tu, mbinguni utapasikia redioni tu....hufiki ng'o!
Lengo ni kuwatapeli kina nani ?Zimeanzishwa na matapeli na zinaendeshwa na matapeli
Wa kuendana nae kimtizamo!?Hivi swala la ndoa linakuaje kwa sisi non religious people?
Kwa hapa Tanzania utapata kweli wa kuendana nae?
Wajinga na wenye kurubunika kirahisiLengo ni kuwatapeli kina nani ?
Unaweza kupima kitu unachokijua?Ndio mjuzi wa yote kuliko binadamu.
Una uhakika unachokizungumza bwana mdogo ? Au ilimradi upinge tu....Kwa nlivyokusoma ni kwamba umeshadhamiria "KUKATAA" yani ni mtu ambae haupo tayari kujua undani wa jambo ambalo akili yako ilishasema halipo..Hali hiyo unayo ipitia wakati wa Meditation ni ILLUSION.
Haipo kwenye uhalisia.