Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Anampima binadamu kwa vile kampa akili.! Ndio jibu nimekujibu

Labda maoni yako sema ulitaka binadamu akae tu, basi tungekuwa tunalala wala hakuna kutafuta riziki sisi ni wa kulala tu, hamna kuzaliana wala nini.
Akili hiyo, Mungu aliyompa Binadamu ina maana yeye Mungu Haijui mpaka aipime tena kwa binadamu?

Yaani kwamba Mungu Anajipima kwamba Akili aliyo itengeneza mwenyewe na kumpa binadamu ikoje, kwamba yeye Haijui?

Hadi aipime tena, kwa kui angalia kwa binadamu ikoje?

Kwamba yeye Mungu anajipima tena?

Ni sawa mtu ajitekenye mwenyewe na kujicheka.
 
Anampima binadamu kwa vile kampa akili.! Ndio jibu nimekujibu

Labda maoni yako sema ulitaka binadamu akae tu, basi tungekuwa tunalala wala hakuna kutafuta riziki sisi ni wa kulala tu, hamna kuzaliana wala nini.
Je Mungu si mjuzi wa yote?
 
Akili hiyo, Mungu aliyompa Binadamu ina maana yeye Mungu Haijui mpaka aipime tena kwa binadamu?

Yaani kwamba Mungu Anajipima kwamba Akili aliyo itengeneza mwenyewe na kumpa binadamu ikoje, kwamba yeye Haijui?

Hadi aipime tena, kwa kui angalia kwa binadamu ikoje?

Kwamba yeye Mungu anajipima tena?

Ni sawa mtu ajitekenye mwenyewe na kujicheka.
Huyu jamaa kalishindwa hilo swali

Nadhani keshaona contradiction iliyopo hapo

labda kama anataka kulazimisha tu.
 
Akili hiyo, Mungu aliyompa Binadamu ina maana yeye Mungu Haijui mpaka aipime tena kwa binadamu?

Yaani kwamba Mungu Anajipima kwamba Akili aliyo itengeneza mwenyewe na kumpa binadamu ikoje, kwamba yeye Haijui?

Hadi aipime tena, kwa kui angalia kwa binadamu ikoje?

Kwamba yeye Mungu anajipima tena?

Ni sawa mtu ajitekenye mwenyewe na kujicheka.
Binadamu anapimwa katika mengi ndio maana hapa duniani hata riziki lazima utafute... Binadamu anatumia akili kuziendea neema zilizopo dunia ndio maana hata mpango wa Mungu ni lazima binadamu afanye kazi .

Haya yote kama maendeleo na mabadiliko katika dunia kama technology ni binadamu katika kutumia akili yake kupambana na mazingira na sio wanyama wala .

Mfumo wa kukaaa tu bila ya kutumia akili na kufanya kazi sio mpango wa Mungu hata wanyama nao wanafanya kazi.
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
Mkuu wewe ni mpinga kristo na Allah. Kwa uzi wako huu tu, mbinguni utapasikia redioni tu....hufiki ng'o!
 
Binadamu anapimwa katika mengi ndio maana hapa duniani hata riziki lazima utafute... Binadamu anatumia akili kuziendea neema zilizopo dunia ndio maana hata mpango wa Mungu ni lazima binadamu afanye kazi .

Haya yote kama maendeleo na mabadiliko katika dunia kama technology ni binadamu katika kutumia akili yake kupambana na mazingira na sio wanyama wala .

Mfumo wa kukaaa tu bila ya kutumia akili na kufanya kazi sio mpango wa Mungu hata wanyama nao wanafanya kazi.
Hujajibu swali,

Hujibu unacho ulizwa, unajibu usivyo ulizwa.

Naku uliza hivi 👇

Mungu huyo hajui Akili za wanadamu zilivyo hadi azipime?
 
Hivi swala la ndoa linakuaje kwa sisi non religious people?

Kwa hapa Tanzania utapata kweli wa kuendana nae?
Wa kuendana nae kimtizamo!?

Kuwapata wa kuendana nao wanapatikana vzuri tu

Wapo wengi tu ambao ndiyo unakuta wana athari ya kujua kwamba kuna Mungu lakini hawayaishi maisha ya kidini kabisa.

Yaani wao na dini ni mbali.

Mtu wa design hyo akikupenda wala hatokuwa na shida kwamaana hajali na hata ukifanya maamuzi yasiyosisitizwa na dini, wala hashangai kwamaana hata yeye hajaendekeza dini
Tanzania ni nchi maskini.

Na sehemu penye umaskini mkubwa ni uwanja wa nyumbani wa Mungu.

Can you bit him easly!?
 
Hali hiyo unayo ipitia wakati wa Meditation ni ILLUSION.

Haipo kwenye uhalisia.
Una uhakika unachokizungumza bwana mdogo ? Au ilimradi upinge tu....Kwa nlivyokusoma ni kwamba umeshadhamiria "KUKATAA" yani ni mtu ambae haupo tayari kujua undani wa jambo ambalo akili yako ilishasema halipo..
Hata hivyo rohoni sio uhalisia kwa maana sio jambo ambalo lipo in physical form so kwa hapo upo sahihi, lakini sio ILLUSION kama madai yako unavyosema...Practice then ulete mrejesho na sio hizi bra bra.
 
Back
Top Bottom