Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Rohoni ni Chaka kwa sababu it can be substituted with anything we unaweza mfeel Yesu mwingine Allah mwingine akafeel anaongea na Shiva asa unataka uniambie miungu yote hii ipo au ?
 
Nyie si ndo mmeambiana hivyo skia bana we unachosha huna hoja zaidi ya "my book said so" so hatuwezi kukaa kubishana na wewe mpaka uje na hoja
 
Amesema nani hayo ? Mwanadamu alipewa kazi ya kufikisha ujumbe kwa wanaadamu wenzake.

Sasa unaposema hivyo inaonyesha wazi humjui Mungu. Kuandika mwanadamu vitabu hii si hoja.
Huyo Mungu kwa Nini kila saa lazma amtafute mtu a whisper his message kwake afu ndo aambie watu wengine then we take it by faith yaani hakuweza kutuumba wote tunamjua ila kaamua tu kumchagua kima mmoja jangwani middle east ndo wote tusikilizie kwake...huu si uchizi. Na wewe unafata kabisa hizi story
 
Okay watu ambao walizaliwa na kufa bila kujua injili wanaenda wapi baada ya kufa?
 
Mungu ni mwenye huruma, hasira na upendo. Inategeme jinsi unavyomjia, ndivyo anavyojidhihirisha kwako.
 
Shida sio kutoa mfano, toa mfano hai unaoendana na jambo husika au unao karibiana. Tatizo kubwa mnalo shindwa nyinyi ni katika kutoa mifano na hii ni kutokana na uwezo wenu mdogo wa kufikiri.

Mfano nilisema fulani kama Simba, lazima katika huu mfano ukaribie ukweli sifa Moja aliyo kuwa nayo huyo muhusika inakaribiana na hicho kinachosifiwa kwacho. Sasa wewe unatoa tu mfano ilimradi umetoka huu utoto, na unapoteza muda sababu huo mfano haugusi hoja iliyopo.

Nacheka sana, hatulei wajinga na wavivu wa kufikiri, yaani hata kutoa mifano mnashindwa, utapatia vipi katika kujenga hoja ?

Nasubiri uthibitishe ya kuwa Mungu hayupo.
 


Hapa kwangu utanyoosha tu maelezo na mpaka utaandika kichina.

Swali la kwanza.
Maswali yako yote nimekujibu tena kwa ufasaha na kwa lugha nyepesi sana. Labda useme kwamba sijajibu kama ulivyotarajia au kama unavyo taka wewe. Sababu mnaakilo ndogo au hamna kabisa, sisi huwa tunajibu ukweli na uhalisia wa mambo.

Swali la kwanza liko wazi sababu mzazi amekusudia kumuua mwanae kwa adhabu ya kifo kwa njia ya kumuua, tunasema mzazi alikuwa na nia njema ya kuadhibu ila lengo (kama amekusudia kumuua) lake sio jema, au kama hakukusudia kumuua ila alitumia njia ya kumchoma moto kwa ajili ya kumuadhibu ikatokea mtoto akafa, basi hapo anakuwa na kosa moja la kutumia njia ambayo si sahihi kumuadhibu ila upendo uko pale pale, ndio maana akaamua kumuadhibu.

Swali la pili

Kitakuwa cha huruma.

Swali la tatu

Huenda kikawa na furaha au kikawahuzunisha, inategemea.
 
Nyie si ndo mmeambiana hivyo skia bana we unachosha huna hoja zaidi ya "my book said so" so hatuwezi kukaa kubishana na wewe mpaka uje na hoja
Huu utoto ndio ambao tunaukemea kila siku, kuleta habari za kusikia. Hivi huna akili hata ya kufatilia mambo ukajua ukweli ?

Ndio maana kwa uzwa uzwa wenu mnadai Mungu hayupo, yaani wajinga sana nyinyi vijana.

Tangu mwanzo naanza huu mjadala, nasema mnatupa kazi mara mbili, kwanza kukosoa mnayo ya nukuu pili kuwakosoa hoja zenu.

Tumeambiana hivyo wapi ? Huu utoto acheni. Leta nukuu iliyo sahihi tujadiliane.

Sasa nije na hoja mara ngapi, na hizi ambazo zipo zinawashinda mnaruka ruka tu.
 
Jibu kwanza swali nililo kuuliza. Ndio ujenge hoja.
 
Asiyeamini Mungu kwanini ahangaike kumtafuta alipo?

Tunaoamini tunafahamu kuwa yupo karibu yetu wakati wote.


Qur'an 2:186. Na waja wangu watakapo kuuliza khabari zangu, waambie kuwa Mimi nipo karibu. Naitikia maombi ya mwombaji anapo niomba. Basi na waniitikie Mimi, na waniamini Mimi, ili wapate kuongoka. 186
 
Kitu ninacho kusisitiza ni kuwa acheni kuongelea mambo msiyo yajua, matokeo yake ni haya uliyo yaandika sasa.
Na wewe Acha kupinga vitu usivyo vijua nje ya Quran.

Maana nje Quran huna unachojua.
 
Once boxer Muhammad Ali was asked as to why he believes in God on tv

He picked up the glass next to him and said “if I tell you this glass with juice within, formed by itself, you will say I am crazy and you want me to believe that this whole Universe formed by itself!!”
 
Why is possible to believe God formed by himself?

And it's impossible to believe that, This whole universe formed by itself?

How is it possible that, God came to existence from Nothing?
 
Hayo mawazo umeyatoa wapi.
1. "mzazi alikua na nia njema ya kuadhibu"
2. "Mzazi hakukusudia kumuua"

Nauliza kuhusu mzazi aliyekusudia kuua.
Si kuua tu bali kuua kwa moto.
Kuua (kwa moto) ndiyo adhabu aliyokusudia kuitoa. Nia yake ni kumuua. Lengo lake ni kumuua. Moto ni njia aliyotumia kumuua.
Kumchoma moto mpaka afe kwake ndiyo adhabu yenyewe.

Mtoto angeungua pasipo kufa, basi mzazi angeona hajatimiza kusudio lake.

Sijauliza kuhusu Mzazi aliyeamua kumchoma mtoto wake moto ikatokea akafa.
Nauliza mzazi aliyeamua kumuua mtoto wake kwa kumchoma moto.
Elewa neno kuua.


Pia, swali limeulizwa kama  kitendo cha mzazi kumuua mtoto wake kwa moto ni cha upendo.
Unaposema "upendo uko palepale" unakusudia upendo wa hicho kitendo?
Kwamba hicho kitendo(cha kuua kwa moto) ni cha upendo?

Sijauliza kama mzazi ana upendo kwa mtoto. Nimeuliza kama  kitendo cha kumuua kwa moto ni cha upendo.
Elewa neno kitendo.
Kitendo cha mzazi kumuua mtoto wake kwa kumchoma moto kama adhabu kitakua cha upendo?


Swali la pili

Kitakuwa cha huruma.

Unasema kitendo cha mzazi kumuua mtoto wake kwa kumchoma moto kama adhabu kitakua cha huruma.
Huruma ni nini?
Kwa uelewa wangu huruma ni hali ya mtu kumtakia mwenzake wema katika shida. Yaani, ni uwezo wa kushiriki hisia za wengine, hasa taabu, huzuni au maumivu.
Kama una maana nyingine ya huruma nisaidie.

Nikisema kitendo cha mzazi kumuua mtoto wake kwa kumchoma moto kama adhabu kitakua kitendo cha kushiriki hisia za mtoto wake kama taabu na maumivu yaani kumpa maumivu mtoto akiungua na moto mpaka afe ni kumtakia mtoto wake wema katika shida na maumivu nitakua sawa?

Wewe unaweza kumuua mtoto wako kwa kumchoma moto mpake afe pale anapokosea kwa kumhurumia??

Swali la tatu

Huenda kikawa na furaha au kikawahuzunisha, inategemea.
Inategemea nini?
 
Why is possible to believe God formed by himself?

And it's impossible to believe that, This whole universe formed by itself?

How is it possible that, God came to existence from Nothing?
That's like saying,..If a Baker baked a cake then who baked the Baker?

Does a Baker also needs to be baked,like a cake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…