Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Una uhakika unachokizungumza bwana mdogo ? Au ilimradi upinge tu....Kwa nlivyokusoma ni kwamba umeshadhamiria "KUKATAA" yani ni mtu ambae haupo tayari kujua undani wa jambo ambalo akili yako ilishasema halipo..
Hata hivyo rohoni sio uhalisia kwa maana sio jambo ambalo lipo in physical form so kwa hapo upo sahihi, lakini sio ILLUSION kama madai yako unavyosema...Practice then ulete mrejesho na sio hizi bra bra.
Rohoni ni Chaka kwa sababu it can be substituted with anything we unaweza mfeel Yesu mwingine Allah mwingine akafeel anaongea na Shiva asa unataka uniambie miungu yote hii ipo au ?
 
Njoo uthibitishe wapi imesema Muhammad ni nabii feki ?

Kingine, hakuna kitabu kinachoitwa "Bible" kinachotoka kwa Allah.

Vitabu vya Allah ni :

1. Zaburi
2. Taurati
3. Injili
4. Qur'an

Kwahiyo ili tujadili hilo, njoo uonyeshe ukweli wa Biblia kwanza, kuanzia kwa waandishi wake mpaka leo hii.
Nyie si ndo mmeambiana hivyo skia bana we unachosha huna hoja zaidi ya "my book said so" so hatuwezi kukaa kubishana na wewe mpaka uje na hoja
 
Amesema nani hayo ? Mwanadamu alipewa kazi ya kufikisha ujumbe kwa wanaadamu wenzake.

Sasa unaposema hivyo inaonyesha wazi humjui Mungu. Kuandika mwanadamu vitabu hii si hoja.
Huyo Mungu kwa Nini kila saa lazma amtafute mtu a whisper his message kwake afu ndo aambie watu wengine then we take it by faith yaani hakuweza kutuumba wote tunamjua ila kaamua tu kumchagua kima mmoja jangwani middle east ndo wote tusikilizie kwake...huu si uchizi. Na wewe unafata kabisa hizi story
 
Sorry broo but unadanganya umma.
Maneno yako kwamba "Hao Waliotuletea hizi dini" ni uongo, ukristo ulikuwepo africa kabla hata ya ukoloni.
Ethiopian Bible is the older than the king James version, nearly Kama 800 years older than King James version na wakoloni walipofika africa walikuta kuna watu wanamjua yesu na wanazijua amri za mungu.
Kuna facts nyingi tuu but I think hata nikizitaja zote hapa bado hutoniamini.
Utajiuliza swali sasa "Nani alikuwa anahubiri africa kuhusu ukristo kabla ya wakoloni?" Kama ww ni mkristo soma biblia vizur, Kama ni muislamu sijui nisemaje sasa maana hata nikisema uende kusoma biblia wote tunajua hutoenda kusoma😅
Wakoloni hawakutuletea dini africa ila walisaidia kuisambaza zaidi maeneo ambako injili haikufika.
Okay watu ambao walizaliwa na kufa bila kujua injili wanaenda wapi baada ya kufa?
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
Mungu ni mwenye huruma, hasira na upendo. Inategeme jinsi unavyomjia, ndivyo anavyojidhihirisha kwako.
 
Huelewi maana ya mfano,

Huelewi kwamba nkitoa mfano pia ni sehemu ya kujenga hoja kwa picha iliyo rahisi.

Huna ulijualo, communication skills tu zero.

Hujui kujibu maswali, unaulizwa hiki unajibu vingine

Unarekebishwa unalazimisha mambo.

Haujui hata umuhimu wa mantiki

Umefungwa akili na Uislamu

Yaani umezidiwa na mtu asiyejua kusoma na kuandika.

Kujadiliana na wewe ni bure kabisa
Shida sio kutoa mfano, toa mfano hai unaoendana na jambo husika au unao karibiana. Tatizo kubwa mnalo shindwa nyinyi ni katika kutoa mifano na hii ni kutokana na uwezo wenu mdogo wa kufikiri.

Mfano nilisema fulani kama Simba, lazima katika huu mfano ukaribie ukweli sifa Moja aliyo kuwa nayo huyo muhusika inakaribiana na hicho kinachosifiwa kwacho. Sasa wewe unatoa tu mfano ilimradi umetoka huu utoto, na unapoteza muda sababu huo mfano haugusi hoja iliyopo.

Nacheka sana, hatulei wajinga na wavivu wa kufikiri, yaani hata kutoa mifano mnashindwa, utapatia vipi katika kujenga hoja ?

Nasubiri uthibitishe ya kuwa Mungu hayupo.
 
Nimeuliza wapi kama mzazi atakua amefanya kosa au la?? Hilo ni jibu la swali gani kati ya maswali matatu niliyouliza?

Naomba majibu ya maswali yangu tu. Hayo unayo yasema sijauliza popote.

Nimeuliza kuhusu mzazi anaye muua mtoto wake kwa moto kama adhabu. Yaani adhabu anyoitoa ni ya kumuua kwa moto.
Yaani ameamua kutumia njia hiyo (ya kuua).

Ukisema "kama alikusudia kumuonya na sio kumuua" unaleta mawazo yako ambayo mimi sijayauliza. Mimi nimeuliza kuhusu kuua na si kuonya.
Unaweza kuonya kwa kuua?

Mzazi kumuua mtoto wake kama adhabu ni kitendo cha upendo?


Nakuuliza kama kitendo cha mzazi kumuua mtoto wake kama adhabu kitakua cha furaha kwa ndugu, marafiki na jamii.

Wewe unajibu.
Swala la ndugu au rafiki kuwa na furaha au huzuni si swala la msingi pasipo hata kujaribu kujibu!

Niliyekuuliza nimeona ni swala la msingi ndiyo maana nikata majibu yake. Nisingeona msingi wa swali nisinge uliza.

Hakuna sehemu ulipo jibu swali langu hata moja
1. Kitendo cha mzazi kumuua mtoto wake kwa kumchoma moto kama adhabu kitakua cha upendo?

2. Je, kitakua cha huruma au kitakua cha chuki?

3. Je, kitakua cha furaha kwa ndugu, marafiki na jamii?


Nijibu tuendelee na mjadala.


Hapa kwangu utanyoosha tu maelezo na mpaka utaandika kichina.

Swali la kwanza.
Maswali yako yote nimekujibu tena kwa ufasaha na kwa lugha nyepesi sana. Labda useme kwamba sijajibu kama ulivyotarajia au kama unavyo taka wewe. Sababu mnaakilo ndogo au hamna kabisa, sisi huwa tunajibu ukweli na uhalisia wa mambo.

Swali la kwanza liko wazi sababu mzazi amekusudia kumuua mwanae kwa adhabu ya kifo kwa njia ya kumuua, tunasema mzazi alikuwa na nia njema ya kuadhibu ila lengo (kama amekusudia kumuua) lake sio jema, au kama hakukusudia kumuua ila alitumia njia ya kumchoma moto kwa ajili ya kumuadhibu ikatokea mtoto akafa, basi hapo anakuwa na kosa moja la kutumia njia ambayo si sahihi kumuadhibu ila upendo uko pale pale, ndio maana akaamua kumuadhibu.

Swali la pili

Kitakuwa cha huruma.

Swali la tatu

Huenda kikawa na furaha au kikawahuzunisha, inategemea.
 
Nyie si ndo mmeambiana hivyo skia bana we unachosha huna hoja zaidi ya "my book said so" so hatuwezi kukaa kubishana na wewe mpaka uje na hoja
Huu utoto ndio ambao tunaukemea kila siku, kuleta habari za kusikia. Hivi huna akili hata ya kufatilia mambo ukajua ukweli ?

Ndio maana kwa uzwa uzwa wenu mnadai Mungu hayupo, yaani wajinga sana nyinyi vijana.

Tangu mwanzo naanza huu mjadala, nasema mnatupa kazi mara mbili, kwanza kukosoa mnayo ya nukuu pili kuwakosoa hoja zenu.

Tumeambiana hivyo wapi ? Huu utoto acheni. Leta nukuu iliyo sahihi tujadiliane.

Sasa nije na hoja mara ngapi, na hizi ambazo zipo zinawashinda mnaruka ruka tu.
 
Huyo Mungu kwa Nini kila saa lazma amtafute mtu a whisper his message kwake afu ndo aambie watu wengine then we take it by faith yaani hakuweza kutuumba wote tunamjua ila kaamua tu kumchagua kima mmoja jangwani middle east ndo wote tusikilizie kwake...huu si uchizi. Na wewe unafata kabisa hizi story
Jibu kwanza swali nililo kuuliza. Ndio ujenge hoja.
 
Asiyeamini Mungu kwanini ahangaike kumtafuta alipo?

Tunaoamini tunafahamu kuwa yupo karibu yetu wakati wote.


Qur'an 2:186. Na waja wangu watakapo kuuliza khabari zangu, waambie kuwa Mimi nipo karibu. Naitikia maombi ya mwombaji anapo niomba. Basi na waniitikie Mimi, na waniamini Mimi, ili wapate kuongoka. 186
 
Kitu ninacho kusisitiza ni kuwa acheni kuongelea mambo msiyo yajua, matokeo yake ni haya uliyo yaandika sasa.
Na wewe Acha kupinga vitu usivyo vijua nje ya Quran.

Maana nje Quran huna unachojua.
 
Once boxer Muhammad Ali was asked as to why he believes in God on tv

He picked up the glass next to him and said “if I tell you this glass with juice within, formed by itself, you will say I am crazy and you want me to believe that this whole Universe formed by itself!!”
 
Once boxer Muhammad Ali was asked as to why he believes in God on tv

He picked up the glass next to him and said “if I tell you this glass with juice within, formed by itself, you will say I am crazy and you want me to believe that this whole Universe formed by itself!!”
Why is possible to believe God formed by himself?

And it's impossible to believe that, This whole universe formed by itself?

How is it possible that, God came to existence from Nothing?
 
Swali la kwanza liko wazi sababu mzazi amekusudia kumuua mwanae kwa adhabu ya kifo kwa njia ya kumuua, tunasema mzazi alikuwa na nia njema ya kuadhibu ila lengo (kama amekusudia kumuua) lake sio jema, au kama hakukusudia kumuua ila alitumia njia ya kumchoma moto kwa ajili ya kumuadhibu ikatokea mtoto akafa, basi hapo anakuwa na kosa moja la kutumia njia ambayo si sahihi kumuadhibu ila upendo uko pale pale, ndio maana akaamua kumuadhibu.
Hayo mawazo umeyatoa wapi.
1. "mzazi alikua na nia njema ya kuadhibu"
2. "Mzazi hakukusudia kumuua"

Nauliza kuhusu mzazi aliyekusudia kuua.
Si kuua tu bali kuua kwa moto.
Kuua (kwa moto) ndiyo adhabu aliyokusudia kuitoa. Nia yake ni kumuua. Lengo lake ni kumuua. Moto ni njia aliyotumia kumuua.
Kumchoma moto mpaka afe kwake ndiyo adhabu yenyewe.

Mtoto angeungua pasipo kufa, basi mzazi angeona hajatimiza kusudio lake.

Sijauliza kuhusu Mzazi aliyeamua kumchoma mtoto wake moto ikatokea akafa.
Nauliza mzazi aliyeamua kumuua mtoto wake kwa kumchoma moto.
Elewa neno kuua.


Pia, swali limeulizwa kama  kitendo cha mzazi kumuua mtoto wake kwa moto ni cha upendo.
Unaposema "upendo uko palepale" unakusudia upendo wa hicho kitendo?
Kwamba hicho kitendo(cha kuua kwa moto) ni cha upendo?

Sijauliza kama mzazi ana upendo kwa mtoto. Nimeuliza kama  kitendo cha kumuua kwa moto ni cha upendo.
Elewa neno kitendo.
Kitendo cha mzazi kumuua mtoto wake kwa kumchoma moto kama adhabu kitakua cha upendo?


Swali la pili

Kitakuwa cha huruma.

Unasema kitendo cha mzazi kumuua mtoto wake kwa kumchoma moto kama adhabu kitakua cha huruma.
Huruma ni nini?
Kwa uelewa wangu huruma ni hali ya mtu kumtakia mwenzake wema katika shida. Yaani, ni uwezo wa kushiriki hisia za wengine, hasa taabu, huzuni au maumivu.
Kama una maana nyingine ya huruma nisaidie.

Nikisema kitendo cha mzazi kumuua mtoto wake kwa kumchoma moto kama adhabu kitakua kitendo cha kushiriki hisia za mtoto wake kama taabu na maumivu yaani kumpa maumivu mtoto akiungua na moto mpaka afe ni kumtakia mtoto wake wema katika shida na maumivu nitakua sawa?

Wewe unaweza kumuua mtoto wako kwa kumchoma moto mpake afe pale anapokosea kwa kumhurumia??

Swali la tatu

Huenda kikawa na furaha au kikawahuzunisha, inategemea.
Inategemea nini?
 
Why is possible to believe God formed by himself?

And it's impossible to believe that, This whole universe formed by itself?

How is it possible that, God came to existence from Nothing?
That's like saying,..If a Baker baked a cake then who baked the Baker?

Does a Baker also needs to be baked,like a cake?
 
Back
Top Bottom