Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Hiyo hakika Muhammad kaipinga

mtoto mdogo wa kiislam alikufa Muhammad alienda kwenye msiba , Aisha alamwambia Muhammad huyu mtoto mchanga ataenda mbinguni maana ni muislamu na hajawahi kufanya dhambi , Muhammad akamwambia inaweza kuwa tofauti na akaenda motoni kwani Allah anapanga wa motoni na WA peponi kabla hawajazaliwa
  • A'isha, said Allah's Messenger, there is happiness for this child who is a bird from the birds of Paradise for it committed no sin nor has he reached the age when one can commit sin. He said: 'A'isha, it may be otherwise, because Allah created for Paradise those who are fit for it while they were yet in their father's loins and created for Hell those who are to go to Hell. He created them for Hell while they were yet in their father's loins. Sahih Muslim 2662c
Ngoja nifanye refrence ya hio hadithi kuihakiki isije ikawa imechakachuliwa
 
Kimantiki Kwa fikra zako unataka kusema ulimwengu una umri Gani?
Mkuu,

Nilikwambia hivi 👇

Hatuwezi kujua Tusicho kijua.

Huu ulimwengu upo tu, Hauna umri, hauna mwanzo wala mwisho

Theory ya Einstein relativity inasema kwamba 👇
"The rate at which time passes depends upon your frame of reference"

Yani vitu unavyo vijua wewe, ni vile tu ambavyo unavijua kwa wakati huu na ambavyo ushawahi kuviona kwenye maisha yako na ambavyo utaviona mpaka kufa kwako.

Nje ya hapo, Huwezi kuelezea kitu kingine chochote kwa sababu huvijui.

Mfano watu walio ishi miaka ya 1200 huko nyuma, Hawakuweza kujua kwamba ipo siku Kutakuja kuwepo vitu kama simu, kamera za kisasa, magari ya kisasa,ndege, meli n.k

Kwa sababu "frame of reference" yao ilikuwa ni kwa wakati ule tu, walio ishi.

Hawakuweza kujua kwamba mwaka 2023 kutakuwepo simu, kamera za kisasa, ndege za kuruka, meli, na teknolojia nyingine nyingi.

Kwa sababu mwaka 2023 ni nje ya "frame of their reference" ya mwaka 1200.

Hawakuweza kujua, wasicho kijua.

Kwa wakati ule lakini.
Wewe unaweza kusema tu ya umri wako.jee kabla yako hakukuwa na watu ambao wanaweza kuchukuliwa kama rejea Kwa mambo yaliyotokea katika zama zao?

Sisi hapa sa hivi hatuwezi kujua mwaka 7025 utakuwaje, Kwa vile kwa muda huo "frame of reference" yake Hatuna.

"Frame of reference" tulizonazo muda huu binadamu wote, Ni Kuanzia mwaka huu 2023 mpaka mwaka wako ulio zaliwa wewe na kila mtu mwaka wake wa kuzaliwa yeye.

Matukio yote yana elezewa na kila mtu katika "frame of reference"
hiyo tu.

Huwezi kuelezea mwaka 7000 huko utakavyo kuwa kwa uhalisia na uthibitisho, ila utakuwa unafanya "makadirio" tu, kwa vile ni nje ya "frame of your reference"

HAKUNA binadamu yeyote anaye weza kuelezea kabla ya kuzaliwa kwake kuli kuwepo nini, Pasipo KUHADITHIWA , KUSIMULIWA na KUAMBIWA na WATUNGULIZI wake kilicho kuwepo kwa wakati huo ambao yeye Hakuwepo.

kwa vile mtu huyo alikuwa nje ya
"frame of his or her reference"

Ndio maana lazima mtu huyo atumie "frame of reference" za watangulizi wake" kujua na kufahamu yaliyo kuwa nje ya kujua kwake.
Jee idadi ya watu ulimwenguni miaka 3,000 iliyopita ilikuwa sawa na Sasa na nini kinafanya watu waongezeke na dunia kuonekana kuchakaa Kwa kadri miaka inavyopita?
 
Mkuu,

Kisicho kuwepo Haki hitaji uthibitisho wa kutokuwepo kwake kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kusikika au kushikika.

Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo either ya kuonekana, kusikika au kushikika.

Sasa Mungu hayupo kwa namna yeyote ile, Haonekani, Hashikiki wala Hasikii.

Ni dhana ya kufikirika tu, imaginations just an illusion.
Namba saba haionekani haishikiki na haishikiki, je namba saba haipo?
 
Wewe unataka ulimwengu usio na mabaya uumbwe na Mungu usiyeamini kuwepo kwake??
Naona huelewi hata tunaongelea nini ndo maana unauliza swali lisilo na mantiki.

Swali ambalo halina maana yeyote.

Hoja ni kwamba wewe unadau kuna Mungu ambae ni muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote kitu ambacho sio kweli.

Sio kweli kwasababu katika ulimwengu huu kuna mabaya

Uwepo wa mabaya kunaleta contradiction katika sifa zake kuu.

Sasa wewe nmekuuliza kwanini kaumba ulimwengu huu wenye kuruhusu mabaya?

Unaelewa hata immanent critique ni kitu gani?
 
Namba saba haionekani haishikiki na haishikiki, je namba saba haipo?
Ndio haipo katika uhalisia wa kuonekana, kushikika, au kusikika.

Ipo katika dhana za kimahesabu ambayo mahesabu hayo ni mafikirio tu ya namba.

Namba saba hiyo ili iweze kuwepo kimahesabu lazima kuwepo vitu saba vya kuonekana, kushikika au kusikika.

Nje ya hapo, namba saba hiyo haipo kabisa kwenye uhalisia.

Kwani wewe, unaweza vipi kuthibitisha kwamba 1+1 = 2 pasipo kuwepo vitu vya kuonekana, kushikika au kusikika vilivyo jumlishika na vina jumlishika ukaona vimekuwa viwili.

Kama vitu hivyo havipo hiyo hesabu ya 1+1=2 inabaki mawazo ya kufikirika tu yasiyo kuwepo.

Imagination just an illusion.

Ili Saba iwepo, LAZIMA kuwepo vitu Saba vya kuonekana, kushikika, au kusikika ili Saba hiyo itambulike ipo.

Nje ya hapo namba saba Haipo, ni Imagination just an illusion.
 
😂😂Unaweza kumlenga mpqkq akakimbiq na usimpate... Angalia bastola na nafasi wapo karibu sio labda kumpiga mpaka akafa ni kiasi cha kumpata haijampata yaani hata kutoka risasa.

Nina hakika hiyo risasi ingetoka asingekuwa mzima tena kama alivyopigwa AKA kule south Africa.
Hapo ni ukosefu wa shabaha tu, sio kwamba eti ni Mungu.
 
1 Wakorintho 1:25
[25]Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu,
Kwamba Mungu huyo ni mpumbavu?

Na ana Upumbavu?

Mbona tena maandiko yake yana mtukana?

Au aliye andika hii wakorintho1:25

Alilewa🤣🤣

Upumbavu unawezaje kuwa na Hekima?

Aseee!!! Aliye andika hii
wakorintho1: 25 ,
Alitumia cha Arusha, alivuta ganja nini?🤣🤣
na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.
Kwamba Mungu huyo ni mdhaifu?

Aliye andika hii wakorintho 1:25
Mbona ame mshusha HADHI hivyo Mungu kwa kusema ana udhaifu?
Because the foolishness of God is wiser than men; and the weakness of God is stronger than men.
Who wrote this Corinthians chapter?

Yani ame mshusha HADHI kabisa Mungu.

Sasa je, Kwa maandiko haya unadhani Biblia yako iko sahihi na ni kitabu cha Mungu kweli?

Nadhani Mungu huyo angekuwepo, Asinge kubali kushushwa hadhi kiasi hiki kwa kuambiwa ana Upumbavu kisha anyamaze tu.

Mungu huyo, Hayupo.

Haya ni maandiko ya kibinadamu yenye contradictions za kibinadamu nyingi sana.

Mungu huyo hawezi kuandikwa ana Upumbavu kisha anyamaze tu.

Ni uthibitisho tosha Hayupo.
 
Sasa Kutokujua kwako huoni kama tayari unafanya concept iendelee kuwa Complex sababu watu wataendelea #Ku-Sperculate kutaka kujua where did it came from?. Na pia una encourage knowledge limitation maana watu wataridhika tu kwamba tumelikuta jua na lipo hivi basi tu watake easy bila kujiuliza maswali mengine muhimu kuhusu vitu hivi.
Kumbuka hata Elimu hii ya Solar system na Planets ilikuja baada ya Wanasayansi kuanza kujiuliza maswali mbali mbali ndipo wakafikia hadi hatua ya kufanya research na hapo ndio tukapata Ufahamu tulionao leo hii.
Christopher Columbas mwaka 1492 Aliposail hadi kwenda kudiscover the American Continent ilikuwa ni result ya #kupekenyua vyanzo na Kufahamu Utambuzi wa Mazingira yaliyowazunguka.
Sasa Wewe Simply tu Unasema Sijui hafu Umerizika tu na jibu hilo bila kuweka wazo mbadala means unaconclude kwamba ni Ignorant na kwa msingi huo Upande wako Una onekana haujui chochote!
Kwahyo wewe ni bora utengeneze jibu la uongo ili ukidhi haja zako!?

Hapo nimebold juu umetengeneza logical non sequitur

Mimi kutokujua kwangu hakuhalalishi kivyovyote kuwa jibu la Mungu ni jibu sahihi

Hoja ni wewe unapodai kuna Mungu huyo ambae ndo ameweka jua.

Thibitisha kama kuna Mungu bhasi, hiki ndicho ninachokiomba mimi.
 
Kama Mungu hayupo, dunia na viumbe hai vyake viliumbwa na nani?
Kwanini unadhani kuna nani aliyeumba na haujauliza nini kiliumba?

Huoni swali lako linalenga kupatiwa jibu ambalo wewe unalitaka!?

Na kwanini unadhani kuwa dunia na vyote uviulizavyo wewe vimeumbwa na sio kwamba vilikuwepo tu na havina mwanzo?

Kama Mungu yupo, yeye aliumbwa na nani!?
 
Angalii umbali jomba[emoji23][emoji23]kaweka katika kichwa kabisa ni risasi ndio haijatoka.
Sasa kumbe ni risasi haijatoka, ingetoka si angekufa kabisa.

Hapo si kwamba Mungu kapanga asife, ni kwa vile tu hiyo risasi haija toka.

Pengine bastola hiyo, ina matatizo kidogo ya kiufundi.
 
Nikujibu mara ngapi sasa...

Jibu nitakuwa narudia kama kawaida👉kwa vile binadamu ana akili na anaweza kutatua mitihani hiyo maana Mungu yeye ndio kampa akili so anajua uwezo wa binadam.
Haujaelewa bado

Nielewe hapa natumia msamiati mwingine labda utanielewa

Usipoelewa hapa bhasi uelewa wako ntaanza kuutilia shaka.

Majibu unayotoa hayarelate kabisa na ninachokuuliza mimi.

Dhumuni la Mungu huyo kutest watu wakati anajua matokeo ni nini!?

Wewe unaweza kupata haja ya kuonja chumvi kwenye mboga wakati unajua kabisa kuwa imeshakolea utakavyo?
 
Kwanini unadhani kuna nani aliyeumba na haujauliza nini kiliumba?

Huoni swali lako linalenga kupatiwa jibu ambalo wewe unalitaka!?

Na kwanini unadhani kuwa dunia na vyote uviulizavyo wewe vimeumbwa na sio kwamba vilikuwepo tu na havina mwanzo?

Kama Mungu yupo, yeye aliumbwa na nani!?
Hawa watu wanacho shindwa kuelewa ni kwamba [emoji116]

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo, Basi hata huyo Mungu lazima awe na chanzo, Na chanzo chake Mungu kiwe na chanzo chake.

Ili muundo ule ule ufuatwe, pasiwepo kitu kilicho jitokeza bila chanzo, Maana kitaleta "Contradiction" Kwenye muundo mzima.

Vinginevyo Mungu huyo Hayupo, Na si kitu kilichopo.

Kwa sababu kisichokuwepo, Haki hitaji uthibitisho wa kutokuwepo kwake. Kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kuelezeka.

Sijui kwa nini wanaweza kuamini Mungu wasiyemjua Hana chanzo, ila wana lazimisha na kuamini dunia ina chanzo.
 
Haujaelewa bado

Nielewe hapa natumia msamiati mwingine labda utanielewa

Usipoelewa hapa bhasi uelewa wako ntaanza kuutilia shaka.

Majibu unayotoa hayarelate kabisa na ninachokuuliza mimi.

Dhumuni la Mungu huyo kutest watu wakati anajua matokeo ni nini!?

Wewe unaweza kupata haja ya kuonja chumvi kwenye mboga wakati unajua kabisa kuwa imeshakolea utakavyo?
Matokeo nayatokana na uwezo wa mtu kushindwa kupambana na mitihani ,yaani maisha magumu mwingine anashindwa kupambana mpaka akajinyonga.
 
Naona huelewi hata tunaongelea nini ndo maana unauliza swali lisilo na mantiki
Shida kubwa ni watu Wa aina yenu kuwaza kuwa kanuni mlizojaza (za watu wengine) vichwani mwenu, ndizo kanuni timilifu pekee za kudadavua mambo/vitu vyenye mtanziko
Hoja ni kwamba wewe unadau kuna Mungu ambae ni muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote kitu ambacho sio kweli.
Tafuta Mahali nimeweka haya maneno uliyoandika hapa.
Sio kweli kwa sababu katika ulimwengu huu kuna mabaya
Unaatumia kigezo gani kusema hili jambo ni baya. Umejuaje kama hilo jambo ni baya?
Uwepo wa mabaya kunaleta contradiction katika sifa zake kuu.
Hizo sifa Kuu za Mungu unazikubali? Kama huzikubali unasemaje kuwa ni sifa zake?
Sasa wewe nmekuuliza kwanini kaumba ulimwengu huu wenye kuruhusu mabaya?
Hapa unataka nikujibu kwa kutumia Imani ya waamini Mungu ama ya wasioimini Mungu?
Unaelewa hata immanent critique ni kitu gani?
hizi ni mifumo tu ya kupambanua mambo ambayo hufika wakati hudhibitika kuwa Ina walakini.

wewe binafsi unachambuaje mambo nje ya falsafa za watu wengine?
 
Hawa watu wanacho shindwa kuelewa ni kwamba.
Huu ni mtizamo wako tu na si Sheria ya ulimwengu. Usipowaelewa wengine na wewe usishangae wao kutokukuelewa wewe.
Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo, Basi hata huyo Mungu lazima awe na chanzo, Na chanzo chake Mungu kiwe na chanzo chake.


Vinginevyo Mungu huyo Hayupo, Na si kitu kilichopo.
Hii Sheria ya kwamba Kila chenye chanzo ni Lazima kiwe na chanzo kingine unaziona kama ni kanuni timilifu?

Tuseme chanzo cha kokoto ni Mwamba. Jee chanzo cha mwamba ni nini?
 
@Infropreneur na @Smotor hebu tulijadli suala hili la kuwepo ama kutokuwepo kwa MUNGU kimantiki.

Mleta mada @Mayu na nyie ni lazima tukubaliane kwamba hoja ya Mungu kwamba yupo ama hayupo ni lazima ianzie kwenye hoja ya kuumbwa kwa ulimwengu
Kama huamini kuwa kuna Mungu basi amini pia kuwa hakuna shetani. Na kama hakuna Mungu Wala shetani basi hakuna uwezo wa kupima mema ama mabaya.
Logical non sequitur

Mbona hakuna Mungu wala shetani ila bado tunaweza kupima mema na mabaya!?
Maana jambo linakuwa jema ama baya kwa kigezo gani? Mtu akizini, akiiba, akisema uongo, akiua au akisingizia mtu, haliwezi kuwa jambo jema ama baya Kwa kuwa hakuna chanzo cha kuonesha jambo husika kama ni jema ama baya
Logical non sequitur

Wewe umeathirika na mapokeo ya dini.

Unataka kusema kuwa ubaya ni lazima awepo shetani!?

Habari ya lipi jema lipi baya ni tafsiri ya ubongo tu.

Kigezo cha kujua hayo ni kupima mambo ambayo ukifanyiwa wewe utafurahi ama utachukia.

Kama huamini kuwa kuna Mungu, basi usiuchukie ushoga!!!
Logical non sequitur

Ninaweza nikawa siamini na nkauchukia ama nisiuchukie ushoga.

Issue ni tafsiri ya ubongo.!!
Wapinga Mungu husema kwamba dunia imeibuka tu toka kusikojulikana mamilioni kadhaa ya miaka iliyopita.
Unauhakika na madai haya!?
Lakini kabla hatujaenda mbali sana jee nyie akili zenu zinawatuma kwamba ulimwengu ulianzaje na ni kwa nini nyie mmetokeza kuwa binadamu na siyo Ng'ombe!!
Kwasababu ulimwengu unatanuka kila siku, inaonesha kabisa kuwa Ulimwengu ulianza katika nukta ndogo na ulikuwa na kiwango kikubwa cha nishati kilichojaa katika eneo dogo sana ndio ukaanza kutanuka.

ulimwengu wetu ulianza kutoka hali ya joto na mnururisho mwingi sana miaka bilioni kama 13.8 iliyopita.

Kisha, ghafla ulimwengu ulianza kupanuka kwa kasi kubwa.Hii ilisababisha joto na nishati kuanza kupoa na kuruhusu atomi na molekuli kuunda na kutokea. Baada ya mamilioni ya miaka, ulimwengu ulianza kuwa na muundo unaofanana na ulivyo leo, na nyota, sayari, na vitu vingine vyote vilivyopo katika ulimwengu wetu vilianza kutengenezeka

kugunduliwa kwa mnururisho wa cosmic microwave background (CMB) na uwezo wa kuona ulimwengu ukiongezeka kwa kasi kwa kutumia darubini za anga ni ushahidi wa madai haya.

Viumbe vimetokea vyenyewe,
reaction mbalimbali za kikemia zilisababisha viumbe kutokea

Vitu kama RNA, DNA vilitangulia.

Miller experiment ilikuwa jaribio la kujaribu kuelewa jinsi molekuli za kikaboni zinaweza kuundwa katika hali ya zamani ya dunia, inayofanana na ile iliyokuwepo kabla ya kuwepo kwa uhai. Experiment hii ililenga kujenga hali ya "dunia ya zamani" katika maabara na kuchunguza ikiwa hali hiyo inaweza kutoa molekuli za kikaboni, ambazo ni muhimu kwa uhai.

Miller alianzisha mfumo wa maabara uliokuwa na viungo vya kemikali muhimu katika ulimwengu wa zamani, kama vile methane (CH4), ammonia (NH3), maji (H2O), na hidrojeni (H2). Kisha alitumia umeme kuigiza umeme wa radi katika anga la zamani ya dunia.

Baada ya siku kadhaa za majaribio, Miller aligundua kuwa mfumo wake ulikuwa umetengeneza asidi amino, ambazo ni vitengo muhimu vya kujenga protini, molekuli muhimu kwa uhai. Hii ilikuwa ni moja ya ushahidi wa awali wa jinsi molekuli za kikaboni zinaweza kuundwa kutoka kwa viungo vya kikemia katika mazingira yanayofanana na yale ya zamani ya dunia.

Sisi ni binadamu na sio ng'ombe Because of Natural selection.

Unaweza kuthibitisha Mungu wako yupo?
 
Miaka 50.000 kabla ya kuumbwa mbingu na ardhi? dunia ina miaka zaidi ya billioni 13, nani aliandika au binadamu gani anajua historia ya zaidi ya miaka billioni 13, endeleeni kula matango pori mliyoletewa na mabeberu na wafanyabiashara za utumwa
Nataka ututhibitishie ya kuwa Dunia ina miaka bilioni 13.

Kingine utuambie ili upatie katika miaka inabidi uzingatia mambo gani ? Usiniletee habari za vipimo vya "Carbon 14" mara ooh nini, hizi ni Calibration tu ambazo hazitoi majibu sahihi.

Mimi nimekwambia aliyeumba Dunia ndio Amesema hayo.
 
Uwepo wangu mimi, unathibitisha vipi uwepo wa huyo Allah?

Mbona mimi simjui?

Ardhi ina thibitisha vipi uwepo wa huyo Allah?

Inasibitisha uwepo wake sababu amekuumba wewe, wazazi na wengine wote kadhalika.

Naam, Ardhi imeumbwa na yeye Allah.

Sasa kama humjui mbona unasema hayupo ? Kijana una matatizo ya akili.
 
Back
Top Bottom