Hakuna cha miluzi mingi wala nini!Chige na ripoti yake..mama na wafugaji wake...Marope na maintenance zake...Katelephone na umeme wake wa kumwagaa....aargh,hii miluzi mbona mingi?!..nchi ngumu hii jamani!😩😤
Jamaa hawataki kuelewa hata ukiwapa ushahidi.Kazi ipoWanasoma basi hawa wajane wa mwendazake.
Wao wanachojua enzi za magu umeme haujawahi kukatika wala kuwa na mgao.
Kwa sababu magu alikuwa kiongozi 'kweri kweri'
Hapa tunawakea ushaihidi kwamba hata wakati wa magu mambo yalikuwa kama ya sasa wanaanza kubadili gia angani.
Da Kazi ipo, umepita Ruvu huu pale uone hali ilivyoYaani waseme tu matengenezo yanahitaji miezi 3, baada ya hapo shwari.
Na vipi kuhusu mashine za Dawasa nazo hazijafanyiwa matengenezo?
Jibu swali langu kwanzaHivi unaweza kutuambia hapa ni mradi upi mpya ulioingiza umeme kwenye grid ya taifa from 2016 to 2021?!
Hizo spea zinachukua mda gani kufika nchini?Zimetajwa at least 3 factors ambazo zinachangia kuchelewa kufanyika kwa matengenezo:-
1. Spare Parts
2. Wataalamu,
3. Kupigwa STOP kutokana na kutokuwa na hifadhi ya kutosha ya umeme kwenye gridi ya taifa!!
So, suala la muda gani inaweza kukamilisha matengenezo itagemeana na hizo factors!! Unaweza kusema "fine, zima mitambo hata kama itasababisha mgao, kisha jikiteni kwenye kazi moja tu: MATENGENEZO"
Well and good lakini je, kuna spare parts za kutosha! Je, yale matengenezo yanayohitaji some specialization, tunao hao mafundi walio-specialize au itabidi tu-contract?
Hapa umeniacha... unazungumzia mkataba upi?
Mosi, hizo 1606 MW ni TOTAL POWER Generated... uliopo kwenye grid ya taifa na ulio off-grid!!!
Kwa maenezo ambayo hayatumii umeme wa grid ya taifa, wao watakosa umeme kwa sababu nyingine tu lakini sio sababu inayohusu wale wanaotumia umeme wa grid!!
Pili, hizo aprox za kutumika units 1200 ni za almost 3 years ago, wakati kila siku wateja wapya wanaingia kwenye system wakati kiwango cha umeme kipo pale pale!!
Uzalishaji angeongeza kwa kutumia niniHizo spea zinachukua mda gani kufika nchini?
Je tanesco hawana spea kwa jili ya dharula?
Spea za maintanance zinasubili kuagizwa kwenye shirika la umma linalotegemewa na nchi nzima wakati wakurekebisha?
Kwanini waziri wakati anaingia madalakani hakuona umuhimu wa kuongeza uzalishaji kwa hiyo kinyerezi 3 mpaka umeme ulete shida ndo aje kusema wanahakikisha watajenga lakini akaona aingie mkataba wa kuwalipa wahindi ambao watakuja kuweka mifumo ya uendeshaji kwa kitu ambacho sio stable?
Baada ya maelezo yako marefu, je wanatuhakikishia kuwa kwa vile sasa wanaweza kufanya matengenezo inavyotakiwa Tanzania haitakuwa na tatizo la upungufu wa nishati ya umeme? Je, matengenezo ya muda na kiasi gani yataondoa tatizo la mgao?
Muhimu ni kuwa wakati wa Magufuli na Kalemani hakukuwa na mgao wa umeme!
Kama ambavyo wadau mbalimbali wamekuwa wakisema mara kadhaa, Mkakati wa Taifa kuhusu uzalishaji wa umeme ulikuwa:-
View attachment 2015968
Yaani, malengo hadi kufikia June 2020, tulitakiwa tuwe tumezalisha 4,915 MW. Hiyo ni Performance Audit Report iliyotolewa na CAG March 2019.
Hata hivyo, ripoti ya wizara inasema hadi kufikia mwishoni mwa 2019, tulikuwa tunazalisha ONLY 1,565.72 MW... ni takribani 33% TU ya malengo!!
View attachment 2015977
Kutofikiwa huko kwa malengo kulitokana na kuhamishia nguvu ZOTE kwenye Bwawa la Nyerere, na hata zile Kinyerezi III na Kinyerezi IV, zikatekelezwa!!!
Of course, labda waliamini kwamba 1,602.32 zingetosha kutufikisha hadi kuanza kutumia Bwawa la Nyerere!! Sasa sijui walizingatia kila siku kuna wateja wapya wa umeme, na kwamba kuna kuharibika kwa mitambo... only God knows!!!
Tuje kwenye Ubungo II ambayo tunaambiwa ni mbovu, huku wengine wakihoji ikiwa ubovu umeanza baada ya JPM kufariki!!! Au ni janja janja tu ya kutaka kuhujumu Mradi wa Bwawa la Nyerere!!!
Je, maintance ilikuwa inafanyika?! Jibu lipo kwenye ripoti kwamba:-
View attachment 2015999
Utaona hapo, Mashine #1 na #2 zilipitisha zaidi ya saa 10,000 tangu siku zilipotakiwa kufanyiwa maintanance!! Yaani Machine #1 iliendelea kuburuzwa kwa mwaka 1 na miezi tangu ilipotakiwa kufanyiwa ukarabati, huku Mashine #2 ikiburuzwa kwa zaidi ya miezi 18 bila kufanyiwa maintanance tangi siku ilipotakiwa kufanyika!!
Je, ikiwa hiyo ni ripoti iliyoandikwa kutoka kwenye takwimu za 2018, je maintance ilifanyika? Na kama ilifanyika, ilifanyika lini?
TANESCO wenyewe, hawa hapa chini:-
View attachment 2016022
Kumbe, hata baada ya miaka 3 baadae, bado Ubungo II ilikuwa haisomeki!!!
Sasa ikiwa tatizo lililopo miaka na miaka, ni mjinga tu ndie anaweza kuamini kwamba hivi sasa Ubungo II ipo operational, lakini sie wapiga deal za kuuza majenereta tunafahamu mambo bado si shwari!!!
Ina maana shida ni kukosekana kwa vifaa peke yake ndo maana haya mambo ya maintanance yanachelewa namna hii?!
Again, CAG's Performance Audit Report iliyotolewa March 2019 inasema:-
Kumbe, jamaa ilikuwa wakitaka kufanya maintanance, wanapigwa STOP, na matoke yake mitambo ikawa inaburuzwa tu hivyo hivyo!!!
View attachment 2016037
Wadau walipozungumzia hilo suala, wakaitwa majina yote ya ovyo ili mradi tu....!!
Ndipo tunarudi pale pale, mbona hilo tatizo la upungufu wa umeme halikuwepo wakati wa JPM!!!
Swali ambalo nimekuwa nikiwauliza wanaotoa hiyo hoja ni kwamba nyie wenzetu mlikuwa mnaishi Tanzania ipi ambayo haikuwa na matatizo ya umeme!!
Anyway, inawezekana wenzetu ni watoto wa kishua mnaoishi kwenye viunga vya Ikulu... lakini sie tulio huku Ushenzini, hususani kwenye miji na vitongoji vikongwe vyenye uchakavu wa miundombinu, kwetu tatizo liliendelea kuwepo muda wote!!
But on top of that, ripoti hapo inaonesha, TANESCO walikuwa wanapigwa STOP kufanya maintenance pale Ubungo II kwa sababu hatukuwa na hifadhi ya kutosha ya umeme kwenye Grid ya Taifa.
Hofu ikawa kwamba, kutokana na kutokuwa na hifadhi ya kutosha, kama mitambo ingezimwa kwa ajili ya maintenance, basi huenda tungelazimika kuingia kwenye mgao!!
Sasa kama tulikuwa tunaogopa kuzima Ubungo II ambayo umeme unaotoka pale is ONLY 105MW, nini kinaweza kutokea kukiwa na upungufu wa maji ambapo, total power generated from hydro, ni 574MW?!
View attachment 2016047
Kama unakataa nchi haipo kwenye ukame, basi tatizo hili la sasa ni la kutegenezwa na mafisadi na wapinzani wa Bwawa la Nyerere, huku sie vibaraka wao tukikesha kuwapanga watu!
Akili za kuambiwa, changanya na zako!
Lakini itoshe tu kusema kwamba, ushabikiwa kijinga unaliangamiza taifa!!!
Chief usiwasikilize hawa,hizi ni propaganda tu za kuwasha mitambo ya emergency ya akina Symbion na IPTL ili upigaji wa raslimali za taifa uendelee,time will tell
Huyu mwanzisha mada sijui alifanywa nini na JPM!
Kwa ufupi, hatukuwa na tatizo la umeme la kiwango hiki na hili wewe mtu mmoja huwezi kutufundisha! Wananchi wanajua!
Kama issue ni mitambo kutofanyiwa maintenance toeni schedule tuone toka mmeanza kufanya maintenance tuone improvements otherwise ni porojo.
Upungufu wa maji umesababishwa na nini? Mbona for 5 good yrs ilishafutika? Au JPM alifichaje yaani?
Hakuna na sijaona sababu ya wewe kuukataa ukweli ila kilichopo na ninachokiona kwako ni maradhi which entered into the minds of the majority of people has also entered your mind.Muhimu ni kuwa wakati wa Magufuli na Kalemani hakukuwa na mgao wa umeme!
Wewe unadhani kutetea huko ni uzalendo? Au utakwenda mbinguni?Wekeni data zote kuhalalisha upigaji,lakini Magufuli kawa prove wrong within a short time,najua mna nguvu kubwa ya propaganda,mtafanikiwa kwa muda tu ,si daima
Nimekusoma mwanzo mwisho huku nikizoom data ulizoweka kusindikiza facts zako.Kama ambavyo wadau mbalimbali wamekuwa wakisema mara kadhaa, Mkakati wa Taifa kuhusu uzalishaji wa umeme ulikuwa:-
View attachment 2015968
Yaani, malengo hadi kufikia June 2020, tulitakiwa tuwe tumezalisha 4,915 MW. Hiyo ni Performance Audit Report iliyotolewa na CAG March 2019.
Hata hivyo, ripoti ya wizara inasema hadi kufikia mwishoni mwa 2019, tulikuwa tunazalisha ONLY 1,565.72 MW... ni takribani 33% TU ya malengo!
View attachment 2015977
Kutofikiwa huko kwa malengo kulitokana na kuhamishia nguvu ZOTE kwenye Bwawa la Nyerere, na hata zile Kinyerezi III na Kinyerezi IV, zikatekelezwa!!!
Of course, labda waliamini kwamba 1,602.32 zingetosha kutufikisha hadi kuanza kutumia Bwawa la Nyerere!! Sasa sijui walizingatia kila siku kuna wateja wapya wa umeme, na kwamba kuna kuharibika kwa mitambo... only God knows!!!
Tuje kwenye Ubungo II ambayo tunaambiwa ni mbovu, huku wengine wakihoji ikiwa ubovu umeanza baada ya JPM kufariki!!! Au ni janja janja tu ya kutaka kuhujumu Mradi wa Bwawa la Nyerere!!!
Je, maintance ilikuwa inafanyika?! Jibu lipo kwenye ripoti kwamba:-
View attachment 2015999
Utaona hapo, Mashine #1 na #2 zilipitisha zaidi ya saa 10,000 tangu siku zilipotakiwa kufanyiwa maintanance!! Yaani Machine #1 iliendelea kuburuzwa kwa mwaka 1 na miezi tangu ilipotakiwa kufanyiwa ukarabati, huku Mashine #2 ikiburuzwa kwa zaidi ya miezi 18 bila kufanyiwa maintanance tangi siku ilipotakiwa kufanyika!!
Je, ikiwa hiyo ni ripoti iliyoandikwa kutoka kwenye takwimu za 2018, je maintance ilifanyika? Na kama ilifanyika, ilifanyika lini?
TANESCO wenyewe, hawa hapa chini:-
View attachment 2016022
Kumbe, hata baada ya miaka 3 baadae, bado Ubungo II ilikuwa haisomeki!!!
Sasa ikiwa tatizo lililopo miaka na miaka, ni mjinga tu ndie anaweza kuamini kwamba hivi sasa Ubungo II ipo operational, lakini sie wapiga deal za kuuza majenereta tunafahamu mambo bado si shwari!!!
Ina maana shida ni kukosekana kwa vifaa peke yake ndo maana haya mambo ya maintanance yanachelewa namna hii?!
Again, CAG's Performance Audit Report iliyotolewa March 2019 inasema:-
Kumbe, jamaa ilikuwa wakitaka kufanya maintanance, wanapigwa STOP, na matoke yake mitambo ikawa inaburuzwa tu hivyo hivyo!!!
View attachment 2016037
Wadau walipozungumzia hilo suala, wakaitwa majina yote ya ovyo ili mradi tu....!!
Ndipo tunarudi pale pale, mbona hilo tatizo la upungufu wa umeme halikuwepo wakati wa JPM!!!
Swali ambalo nimekuwa nikiwauliza wanaotoa hiyo hoja ni kwamba nyie wenzetu mlikuwa mnaishi Tanzania ipi ambayo haikuwa na matatizo ya umeme!!
Anyway, inawezekana wenzetu ni watoto wa kishua mnaoishi kwenye viunga vya Ikulu... lakini sie tulio huku Ushenzini, hususani kwenye miji na vitongoji vikongwe vyenye uchakavu wa miundombinu, kwetu tatizo liliendelea kuwepo muda wote!!
But on top of that, ripoti hapo inaonesha, TANESCO walikuwa wanapigwa STOP kufanya maintenance pale Ubungo II kwa sababu hatukuwa na hifadhi ya kutosha ya umeme kwenye Grid ya Taifa.
Hofu ikawa kwamba, kutokana na kutokuwa na hifadhi ya kutosha, kama mitambo ingezimwa kwa ajili ya maintenance, basi huenda tungelazimika kuingia kwenye mgao!!
Sasa kama tulikuwa tunaogopa kuzima Ubungo II ambayo umeme unaotoka pale is ONLY 105MW, nini kinaweza kutokea kukiwa na upungufu wa maji ambapo, total power generated from hydro, ni 574MW?!
View attachment 2016047
Kama unakataa nchi haipo kwenye ukame, basi tatizo hili la sasa ni la kutegenezwa na mafisadi na wapinzani wa Bwawa la Nyerere, huku sie vibaraka wao tukikesha kuwapanga watu!
Akili za kuambiwa, changanya na zako!
Lakini itoshe tu kusema kwamba, ushabikiwa kijinga unaliangamiza taifa!!!
Kweli mkuu!Wanasoma basi hawa wajane wa mwendazake.
Wao wanachojua enzi za magu umeme haujawahi kukatika wala kuwa na mgao.
Kwa sababu magu alikuwa kiongozi 'kweri kweri'
Hapa tunawakea ushaihidi kwamba hata wakati wa magu mambo yalikuwa kama ya sasa wanaanza kubadili gia angani.
Ndugu, jikite kwenye data hapo juu, achana na politics!Mkuu umeme sio punje ya mahindi kwamba utaificha mfukoni watu wasione.
Kipindi kilichopita kulikuwa na tatizo kama hili? Sio kweli kabisa, maana humu hakuna ambacho tulikiacha kuhusu mwendazake.
Inawezekana umeme ulikua ukikatika Ila sio Kama Sasa.
Ila pia na nyie watu wa serikali mnatuchanganya sana, wiki iliyopita tu Msemaji mkuu wa serikali alisema tunazalisha umeme hadi wa ziada, Sasa wewe tena unaleta habari za kwamba sijui uzalishaji ulisitishwa.
View attachment 2016053
Baada ya maelezo yako marefu, je wanatuhakikishia kuwa kwa vile sasa wanaweza kufanya matengenezo inavyotakiwa Tanzania haitakuwa na tatizo la upungufu wa nishati ya umeme? Je, matengenezo ya muda na kiasi gani yataondoa tatizo la mgao?