Uongo na Ukweli Kuhusu TANESCO Kuzuiwa Kufanya Maintenance

Uongo na Ukweli Kuhusu TANESCO Kuzuiwa Kufanya Maintenance

Wewe unadhani kutetea huko ni uzalendo? Au utakwenda mbinguni?

Haujajibu bali umepiga kelele. Kama data zake ni za kupika weka zako za ukweli.
Data zinatusaidia Nini wakati tuliona umeme ukiwaka na Sasa hauwaki Tena? Tuliona maji na Sasa hayapo Tena? Tuliona mvua na Sasa majini mmezuia Hadi mvua? Tunahitaji data au tunahitaji huduma za jamii?
Mfumuko wa Bei nao ulkuwepo kiasi hiki? Mnatetea uharo tu utadhani mnalipwa huku mnateseka na ndugu zenu na hakuna suluhu, badala mhoji hiyo serikali ya CCM ndio inaleta ulaghai ninyi mnatetea watu wenu majini nyie Hadi mvua imegoma kutokana na mikataba yenu ya kuzimu hamna hata haya
 
Kwahiyo umeme uliokuwa unawaka ulikuwa wa kichawi?
Endeleeni na mikakati yenu ovu Ila watanzania wanaelewa sana tu na mtalipia kikombe Cha ubadhirifu wenu
Tulia wewe mjane.

Hii shida ya umeme inayolalamikiwa hapa ni enzi za nani?
Screenshot_2021-11-19-11-47-22.png

Nnachokushauri tafuta mume mwengine.

Mme wako magu hawezi fufuka tena.

He is no more.
 
Kama ambavyo wadau mbalimbali wamekuwa wakisema mara kadhaa, Mkakati wa Taifa kuhusu uzalishaji wa umeme ulikuwa:-

View attachment 2015968
Yaani, malengo hadi kufikia June 2020, tulitakiwa tuwe tumezalisha 4,915 MW. Hiyo ni Performance Audit Report iliyotolewa na CAG March 2019.

Hata hivyo, ripoti ya wizara inasema hadi kufikia mwishoni mwa 2019, tulikuwa tunazalisha ONLY 1,565.72 MW... ni takribani 33% TU ya malengo!

View attachment 2015977
Kutofikiwa huko kwa malengo kulitokana na kuhamishia nguvu ZOTE kwenye Bwawa la Nyerere, na hata zile Kinyerezi III na Kinyerezi IV, zikatekelezwa!!!

Of course, labda waliamini kwamba 1,602.32 zingetosha kutufikisha hadi kuanza kutumia Bwawa la Nyerere!! Sasa sijui walizingatia kila siku kuna wateja wapya wa umeme, na kwamba kuna kuharibika kwa mitambo... only God knows!!!

Tuje kwenye Ubungo II ambayo tunaambiwa ni mbovu, huku wengine wakihoji ikiwa ubovu umeanza baada ya JPM kufariki!!! Au ni janja janja tu ya kutaka kuhujumu Mradi wa Bwawa la Nyerere!!!

Je, maintance ilikuwa inafanyika?! Jibu lipo kwenye ripoti kwamba:-
View attachment 2015999
Utaona hapo, Mashine #1 na #2 zilipitisha zaidi ya saa 10,000 tangu siku zilipotakiwa kufanyiwa maintanance!! Yaani Machine #1 iliendelea kuburuzwa kwa mwaka 1 na miezi tangu ilipotakiwa kufanyiwa ukarabati, huku Mashine #2 ikiburuzwa kwa zaidi ya miezi 18 bila kufanyiwa maintanance tangi siku ilipotakiwa kufanyika!!

Je, ikiwa hiyo ni ripoti iliyoandikwa kutoka kwenye takwimu za 2018, je maintance ilifanyika? Na kama ilifanyika, ilifanyika lini?

TANESCO wenyewe, hawa hapa chini:-
View attachment 2016022

Kumbe, hata baada ya miaka 3 baadae, bado Ubungo II ilikuwa haisomeki!!!

Sasa ikiwa tatizo lililopo miaka na miaka, ni mjinga tu ndie anaweza kuamini kwamba hivi sasa Ubungo II ipo operational, lakini sie wapiga deal za kuuza majenereta tunafahamu mambo bado si shwari!!!

Ina maana shida ni kukosekana kwa vifaa peke yake ndo maana haya mambo ya maintanance yanachelewa namna hii?!

Again, CAG's Performance Audit Report iliyotolewa March 2019 inasema:-

Kumbe, jamaa ilikuwa wakitaka kufanya maintanance, wanapigwa STOP, na matoke yake mitambo ikawa inaburuzwa tu hivyo hivyo!!!

View attachment 2016037

Wadau walipozungumzia hilo suala, wakaitwa majina yote ya ovyo ili mradi tu....!!

Ndipo tunarudi pale pale, mbona hilo tatizo la upungufu wa umeme halikuwepo wakati wa JPM!!!

Swali ambalo nimekuwa nikiwauliza wanaotoa hiyo hoja ni kwamba nyie wenzetu mlikuwa mnaishi Tanzania ipi ambayo haikuwa na matatizo ya umeme!!

Anyway, inawezekana wenzetu ni watoto wa kishua mnaoishi kwenye viunga vya Ikulu... lakini sie tulio huku Ushenzini, hususani kwenye miji na vitongoji vikongwe vyenye uchakavu wa miundombinu, kwetu tatizo liliendelea kuwepo muda wote!!

But on top of that, ripoti hapo inaonesha, TANESCO walikuwa wanapigwa STOP kufanya maintenance pale Ubungo II kwa sababu hatukuwa na hifadhi ya kutosha ya umeme kwenye Grid ya Taifa.

Hofu ikawa kwamba, kutokana na kutokuwa na hifadhi ya kutosha, kama mitambo ingezimwa kwa ajili ya maintenance, basi huenda tungelazimika kuingia kwenye mgao!!

Sasa kama tulikuwa tunaogopa kuzima Ubungo II ambayo umeme unaotoka pale is ONLY 105MW, nini kinaweza kutokea kukiwa na upungufu wa maji ambapo, total power generated from hydro, ni 574MW?!

View attachment 2016047

Kama unakataa nchi haipo kwenye ukame, basi tatizo hili la sasa ni la kutegenezwa na mafisadi na wapinzani wa Bwawa la Nyerere, huku sie vibaraka wao tukikesha kuwapanga watu!

Akili za kuambiwa, changanya na zako!

Lakini itoshe tu kusema kwamba, ushabikiwa kijinga unaliangamiza taifa!!!
Umesomeka mkuu 'Chige', tena kwa uangalifu mkubwa sana.

Kutokana na hizi hoja makini unazoziwasilisha humu, itakuwa ni mjinga tu atakayeweza kuzirukia na kuzijibu bila ya tafakuri makini.

Umejipambanua vyema sana na kueleza unaposimamia. Ni jambo jema, lakini usisahau pia kwamba kuna wengine wanaoona mambo katika mwanga tofauti na wako. Unayoyaweka hapa hayatoki kwenye msahafu, ni mambo yanayojadilika. Tutayajadili (niongeze, "kwa makini", kwa sababu naona unaweka umakini mkubwa kwa unayoyawasilisha.
 
Kuibinafsisha, HAPANA, huwezi kubinafsisha utlity company!

Unaweza kubinafsisha baadhi ya kazi za TANESCO, kama vile power generation... na hilo lipo kwa miaka kadhaa sasa!!

Ungesema kufanya Management Contract, ningekubaliana na wewe! Hata hivyo, unafanya Management Contract pale unapojiridhisha kwamba tatizo la TANESCO ni management!!

Kwamba post inasagia kunguni utawala uliopita, hilo sio lengo bali kuweka kumbukumbu sawa ili watu waache ushabiki na mahaba ya kisiasa kwenye serious issues! Watu tukiacha ushabiki wa kisiasa, hata wanasiasa wataanza kuwa responsible! Lakini haya mambo jambo hata kama ni la ovyo bado unalitetea kwa nguvu zote kisa tu kimefanywa na umpendae, hilo ni angamizo kwa taifa!!
Issue siyo kubifsisha ila ni kuruhusu makampuni mengine kuwekeza kwenye nishati au kusambaza umeme kwa PPP style.
 
Mama anaficha ukweli kuepuka kumwaibisha Hayati lakini ukweli ni kuwa Hayati ndio chanzo cha kila tatizo hapa Tanzania. Chanzo kikuu ni ccm
Iweje Magufuri pekeee awe ndo tatizo kwani kipindi cha kikwete umeme ulikua unakatika ovyo alivo kuja Magu swala hili likapungua leo kafa wanakuja na ngojera zile zile za kale huoni km kuna jambo...
 
Yaani waseme tu matengenezo yanahitaji miezi 3, baada ya hapo shwari.
Na vipi kuhusu mashine za Dawasa nazo hazijafanyiwa matengenezo?
Wasukuma ndo tunamaliza maji kwa mifugo yetu yaan lawama zote ni wasukuma mbona tutakoma ila kuna siku na unafiki wao humu watakuja kukiri tu kua Magufuri alikua na mapungufu yake lakini jamaa ni bonge la kiongozi
 
imetajwa at least 3 factors ambazo zinachangia kuchelewa kufanyika kwa matengenezo:-
1. Spare Parts
2. Wataalamu,
3. Kupigwa STOP kutokana na kutokuwa na hifadhi ya kutosha ya umeme kwenye gridi ya taifa!!

Kwahio km spare parts na wataalamu hatuna… wanazima umeme ili iweje wakati hamna kinachofanyika…

Kwa hio namba tatu sitakaa kuwaamini kamwe m sorry to say this…
 
Kama ambavyo wadau mbalimbali wamekuwa wakisema mara kadhaa, Mkakati wa Taifa kuhusu uzalishaji wa umeme ulikuwa:-

View attachment 2015968
Yaani, malengo hadi kufikia June 2020, tulitakiwa tuwe tumezalisha 4,915 MW. Hiyo ni Performance Audit Report iliyotolewa na CAG March 2019.

Hata hivyo, ripoti ya wizara inasema hadi kufikia mwishoni mwa 2019, tulikuwa tunazalisha ONLY 1,565.72 MW... ni takribani 33% TU ya malengo!

View attachment 2015977
Kutofikiwa huko kwa malengo kulitokana na kuhamishia nguvu ZOTE kwenye Bwawa la Nyerere, na hata zile Kinyerezi III na Kinyerezi IV, zikatekelezwa!!!

Of course, labda waliamini kwamba 1,602.32 zingetosha kutufikisha hadi kuanza kutumia Bwawa la Nyerere!! Sasa sijui walizingatia kila siku kuna wateja wapya wa umeme, na kwamba kuna kuharibika kwa mitambo... only God knows!!!

Tuje kwenye Ubungo II ambayo tunaambiwa ni mbovu, huku wengine wakihoji ikiwa ubovu umeanza baada ya JPM kufariki!!! Au ni janja janja tu ya kutaka kuhujumu Mradi wa Bwawa la Nyerere!!!

Je, maintance ilikuwa inafanyika?! Jibu lipo kwenye ripoti kwamba:-
View attachment 2015999
Utaona hapo, Mashine #1 na #2 zilipitisha zaidi ya saa 10,000 tangu siku zilipotakiwa kufanyiwa maintanance!! Yaani Machine #1 iliendelea kuburuzwa kwa mwaka 1 na miezi tangu ilipotakiwa kufanyiwa ukarabati, huku Mashine #2 ikiburuzwa kwa zaidi ya miezi 18 bila kufanyiwa maintanance tangi siku ilipotakiwa kufanyika!!

Je, ikiwa hiyo ni ripoti iliyoandikwa kutoka kwenye takwimu za 2018, je maintance ilifanyika? Na kama ilifanyika, ilifanyika lini?

TANESCO wenyewe, hawa hapa chini:-
View attachment 2016022

Kumbe, hata baada ya miaka 3 baadae, bado Ubungo II ilikuwa haisomeki!!!

Sasa ikiwa tatizo lililopo miaka na miaka, ni mjinga tu ndie anaweza kuamini kwamba hivi sasa Ubungo II ipo operational, lakini sie wapiga deal za kuuza majenereta tunafahamu mambo bado si shwari!!!

Ina maana shida ni kukosekana kwa vifaa peke yake ndo maana haya mambo ya maintanance yanachelewa namna hii?!

Again, CAG's Performance Audit Report iliyotolewa March 2019 inasema:-

Kumbe, jamaa ilikuwa wakitaka kufanya maintanance, wanapigwa STOP, na matoke yake mitambo ikawa inaburuzwa tu hivyo hivyo!!!

View attachment 2016037

Wadau walipozungumzia hilo suala, wakaitwa majina yote ya ovyo ili mradi tu....!!

Ndipo tunarudi pale pale, mbona hilo tatizo la upungufu wa umeme halikuwepo wakati wa JPM!!!

Swali ambalo nimekuwa nikiwauliza wanaotoa hiyo hoja ni kwamba nyie wenzetu mlikuwa mnaishi Tanzania ipi ambayo haikuwa na matatizo ya umeme!!

Anyway, inawezekana wenzetu ni watoto wa kishua mnaoishi kwenye viunga vya Ikulu... lakini sie tulio huku Ushenzini, hususani kwenye miji na vitongoji vikongwe vyenye uchakavu wa miundombinu, kwetu tatizo liliendelea kuwepo muda wote!!

But on top of that, ripoti hapo inaonesha, TANESCO walikuwa wanapigwa STOP kufanya maintenance pale Ubungo II kwa sababu hatukuwa na hifadhi ya kutosha ya umeme kwenye Grid ya Taifa.

Hofu ikawa kwamba, kutokana na kutokuwa na hifadhi ya kutosha, kama mitambo ingezimwa kwa ajili ya maintenance, basi huenda tungelazimika kuingia kwenye mgao!!

Sasa kama tulikuwa tunaogopa kuzima Ubungo II ambayo umeme unaotoka pale is ONLY 105MW, nini kinaweza kutokea kukiwa na upungufu wa maji ambapo, total power generated from hydro, ni 574MW?!

View attachment 2016047

Kama unakataa nchi haipo kwenye ukame, basi tatizo hili la sasa ni la kutegenezwa na mafisadi na wapinzani wa Bwawa la Nyerere, huku sie vibaraka wao tukikesha kuwapanga watu!

Akili za kuambiwa, changanya na zako!

Lakini itoshe tu kusema kwamba, ushabikiwa kijinga unaliangamiza taifa!!!
Asante sana kwa ufafanuzi wakitaalam. Umetumia kukusanya hv fact kutusaidia watz. Tatizo letu sisi ni siasa. Yaani inatuharibia sana kil kitu
 
Tuombe samahani Magufuri sio Mungu wa wasukuma ila tunamuheshimu sana kama mtanzania alie leta maendeleeo kwenye nchi yetu wala si kwa wasukuma tu.
Maendeleo gani kayaleta?

Mpaka leo watu hawana uhakika wa maji na umeme halafu unasema kaleta maendeleo!
 
Kama ambavyo wadau mbalimbali wamekuwa wakisema mara kadhaa, Mkakati wa Taifa kuhusu uzalishaji wa umeme ulikuwa:-

View attachment 2015968
Yaani, malengo hadi kufikia June 2020, tulitakiwa tuwe tumezalisha 4,915 MW. Hiyo ni Performance Audit Report iliyotolewa na CAG March 2019.

Hata hivyo, ripoti ya wizara inasema hadi kufikia mwishoni mwa 2019, tulikuwa tunazalisha ONLY 1,565.72 MW... ni takribani 33% TU ya malengo!

View attachment 2015977
Kutofikiwa huko kwa malengo kulitokana na kuhamishia nguvu ZOTE kwenye Bwawa la Nyerere, na hata zile Kinyerezi III na Kinyerezi IV, zikatekelezwa!!!

Of course, labda waliamini kwamba 1,602.32 zingetosha kutufikisha hadi kuanza kutumia Bwawa la Nyerere!! Sasa sijui walizingatia kila siku kuna wateja wapya wa umeme, na kwamba kuna kuharibika kwa mitambo... only God knows!!!

Tuje kwenye Ubungo II ambayo tunaambiwa ni mbovu, huku wengine wakihoji ikiwa ubovu umeanza baada ya JPM kufariki!!! Au ni janja janja tu ya kutaka kuhujumu Mradi wa Bwawa la Nyerere!!!

Je, maintance ilikuwa inafanyika?! Jibu lipo kwenye ripoti kwamba:-
View attachment 2015999
Utaona hapo, Mashine #1 na #2 zilipitisha zaidi ya saa 10,000 tangu siku zilipotakiwa kufanyiwa maintanance!! Yaani Machine #1 iliendelea kuburuzwa kwa mwaka 1 na miezi tangu ilipotakiwa kufanyiwa ukarabati, huku Mashine #2 ikiburuzwa kwa zaidi ya miezi 18 bila kufanyiwa maintanance tangi siku ilipotakiwa kufanyika!!

Je, ikiwa hiyo ni ripoti iliyoandikwa kutoka kwenye takwimu za 2018, je maintance ilifanyika? Na kama ilifanyika, ilifanyika lini?

TANESCO wenyewe, hawa hapa chini:-
View attachment 2016022

Kumbe, hata baada ya miaka 3 baadae, bado Ubungo II ilikuwa haisomeki!!!

Sasa ikiwa tatizo lililopo miaka na miaka, ni mjinga tu ndie anaweza kuamini kwamba hivi sasa Ubungo II ipo operational, lakini sie wapiga deal za kuuza majenereta tunafahamu mambo bado si shwari!!!

Ina maana shida ni kukosekana kwa vifaa peke yake ndo maana haya mambo ya maintanance yanachelewa namna hii?!

Again, CAG's Performance Audit Report iliyotolewa March 2019 inasema:-

Kumbe, jamaa ilikuwa wakitaka kufanya maintanance, wanapigwa STOP, na matoke yake mitambo ikawa inaburuzwa tu hivyo hivyo!!!

View attachment 2016037

Wadau walipozungumzia hilo suala, wakaitwa majina yote ya ovyo ili mradi tu....!!

Ndipo tunarudi pale pale, mbona hilo tatizo la upungufu wa umeme halikuwepo wakati wa JPM!!!

Swali ambalo nimekuwa nikiwauliza wanaotoa hiyo hoja ni kwamba nyie wenzetu mlikuwa mnaishi Tanzania ipi ambayo haikuwa na matatizo ya umeme!!

Anyway, inawezekana wenzetu ni watoto wa kishua mnaoishi kwenye viunga vya Ikulu... lakini sie tulio huku Ushenzini, hususani kwenye miji na vitongoji vikongwe vyenye uchakavu wa miundombinu, kwetu tatizo liliendelea kuwepo muda wote!!

But on top of that, ripoti hapo inaonesha, TANESCO walikuwa wanapigwa STOP kufanya maintenance pale Ubungo II kwa sababu hatukuwa na hifadhi ya kutosha ya umeme kwenye Grid ya Taifa.

Hofu ikawa kwamba, kutokana na kutokuwa na hifadhi ya kutosha, kama mitambo ingezimwa kwa ajili ya maintenance, basi huenda tungelazimika kuingia kwenye mgao!!

Sasa kama tulikuwa tunaogopa kuzima Ubungo II ambayo umeme unaotoka pale is ONLY 105MW, nini kinaweza kutokea kukiwa na upungufu wa maji ambapo, total power generated from hydro, ni 574MW?!

View attachment 2016047

Kama unakataa nchi haipo kwenye ukame, basi tatizo hili la sasa ni la kutegenezwa na mafisadi na wapinzani wa Bwawa la Nyerere, huku sie vibaraka wao tukikesha kuwapanga watu!

Akili za kuambiwa, changanya na zako!

Lakini itoshe tu kusema kwamba, ushabikiwa kijinga unaliangamiza taifa!!!
Safi kabisa, article nzuri mno! Nimekimbilia kuangalia lini ulijiunga nikakuta ni 2008, hii ndio ilikua JF sasa.
 
Kama ambavyo wadau mbalimbali wamekuwa wakisema mara kadhaa, Mkakati wa Taifa kuhusu uzalishaji wa umeme ulikuwa:-

View attachment 2015968
Yaani, malengo hadi kufikia June 2020, tulitakiwa tuwe tumezalisha 4,915 MW. Hiyo ni Performance Audit Report iliyotolewa na CAG March 2019.

Hata hivyo, ripoti ya wizara inasema hadi kufikia mwishoni mwa 2019, tulikuwa tunazalisha ONLY 1,565.72 MW... ni takribani 33% TU ya malengo!

View attachment 2015977
Kutofikiwa huko kwa malengo kulitokana na kuhamishia nguvu ZOTE kwenye Bwawa la Nyerere, na hata zile Kinyerezi III na Kinyerezi IV, zikatekelezwa!!!

Of course, labda waliamini kwamba 1,602.32 zingetosha kutufikisha hadi kuanza kutumia Bwawa la Nyerere!! Sasa sijui walizingatia kila siku kuna wateja wapya wa umeme, na kwamba kuna kuharibika kwa mitambo... only God knows!!!

Tuje kwenye Ubungo II ambayo tunaambiwa ni mbovu, huku wengine wakihoji ikiwa ubovu umeanza baada ya JPM kufariki!!! Au ni janja janja tu ya kutaka kuhujumu Mradi wa Bwawa la Nyerere!!!

Je, maintance ilikuwa inafanyika?! Jibu lipo kwenye ripoti kwamba:-
View attachment 2015999
Utaona hapo, Mashine #1 na #2 zilipitisha zaidi ya saa 10,000 tangu siku zilipotakiwa kufanyiwa maintanance!! Yaani Machine #1 iliendelea kuburuzwa kwa mwaka 1 na miezi tangu ilipotakiwa kufanyiwa ukarabati, huku Mashine #2 ikiburuzwa kwa zaidi ya miezi 18 bila kufanyiwa maintanance tangi siku ilipotakiwa kufanyika!!

Je, ikiwa hiyo ni ripoti iliyoandikwa kutoka kwenye takwimu za 2018, je maintance ilifanyika? Na kama ilifanyika, ilifanyika lini?

TANESCO wenyewe, hawa hapa chini:-
View attachment 2016022

Kumbe, hata baada ya miaka 3 baadae, bado Ubungo II ilikuwa haisomeki!!!

Sasa ikiwa tatizo lililopo miaka na miaka, ni mjinga tu ndie anaweza kuamini kwamba hivi sasa Ubungo II ipo operational, lakini sie wapiga deal za kuuza majenereta tunafahamu mambo bado si shwari!!!

Ina maana shida ni kukosekana kwa vifaa peke yake ndo maana haya mambo ya maintanance yanachelewa namna hii?!

Again, CAG's Performance Audit Report iliyotolewa March 2019 inasema:-

Kumbe, jamaa ilikuwa wakitaka kufanya maintanance, wanapigwa STOP, na matoke yake mitambo ikawa inaburuzwa tu hivyo hivyo!!!

View attachment 2016037

Wadau walipozungumzia hilo suala, wakaitwa majina yote ya ovyo ili mradi tu....!!

Ndipo tunarudi pale pale, mbona hilo tatizo la upungufu wa umeme halikuwepo wakati wa JPM!!!

Swali ambalo nimekuwa nikiwauliza wanaotoa hiyo hoja ni kwamba nyie wenzetu mlikuwa mnaishi Tanzania ipi ambayo haikuwa na matatizo ya umeme!!

Anyway, inawezekana wenzetu ni watoto wa kishua mnaoishi kwenye viunga vya Ikulu... lakini sie tulio huku Ushenzini, hususani kwenye miji na vitongoji vikongwe vyenye uchakavu wa miundombinu, kwetu tatizo liliendelea kuwepo muda wote!!

But on top of that, ripoti hapo inaonesha, TANESCO walikuwa wanapigwa STOP kufanya maintenance pale Ubungo II kwa sababu hatukuwa na hifadhi ya kutosha ya umeme kwenye Grid ya Taifa.

Hofu ikawa kwamba, kutokana na kutokuwa na hifadhi ya kutosha, kama mitambo ingezimwa kwa ajili ya maintenance, basi huenda tungelazimika kuingia kwenye mgao!!

Sasa kama tulikuwa tunaogopa kuzima Ubungo II ambayo umeme unaotoka pale is ONLY 105MW, nini kinaweza kutokea kukiwa na upungufu wa maji ambapo, total power generated from hydro, ni 574MW?!

View attachment 2016047

Kama unakataa nchi haipo kwenye ukame, basi tatizo hili la sasa ni la kutegenezwa na mafisadi na wapinzani wa Bwawa la Nyerere, huku sie vibaraka wao tukikesha kuwapanga watu!

Akili za kuambiwa, changanya na zako!

Lakini itoshe tu kusema kwamba, ushabikiwa kijinga unaliangamiza taifa!!!
Ukweli wenye kuumiza ndiyo huu sasa daah!.
 
Kwahio km spare parts na wataalamu hatuna… wanazima umeme ili iweje wakati hamna kinachofanyika…

Kwa hio namba tatu sitakaa kuwaamini kamwe m sorry to say this…
Ina maana hizo spare parts hazipo duniani kote, au wao ndo hawana?!

Yaani wangekuwa serious, spare sio issue kabisa! Kwa mfano unajua kabisa mashine inatakiwa kuanza kufanyiwa maintanence ikishapiga mzigo kwa saa 30K! Sasa hata kama spare parts zinapatikana katika nchini Zinjanthropus, kumbe unachotakiwa kufahamu delivery timu ni siku/miezi/miaka mingapi!

Kama delivery inaweza kufika after 3 years, then start preparations 3 years 6 months earlier!!

Kwenye suala la spare parts sio kwamba hazipo bali mfumo wao wa tenda na manunuzi ni mbovu! Na hata hilo suala la watalaamu, ni kama inavyofanyika kila mahali! Sio kwamba HAWANA WATALAAMU, bali hawana watalaamu wa baadhi ya specialized tasks!

Wao wanachofanya kazi za aina hiyo, ni kutafuta contractor!

Btw, kwanini hiyo #3 huamini?
 
Maendeleo gani kayaleta?

Mpaka leo watu hawana uhakika wa maji na umeme halafu unasema kaleta maendeleo!
Huna hata macho ....sema binadam hatuna shukrani maana nikiianza kukueleza miradi aliyoisimamia huyu mzee acheni tu apumzike kwa amani leo hii huku vijijini tunawasha umeme katutengenezea barabara na hosptali hiyo ni midogo tu mikubwa unaijua haina haja ya kukuelekeza unaweza kuihesabu huko uliko.
 
Kwa mfano, Machine #1, Hours Required For Maintenance is 30,000 Hours, and Actual Machine Running Hours is 40,356.

Maana yake ni kwamba, kitalaamu hiyo mashine ilitakiwa kufanya kazi kwa saa 30,000 na zikishagonga saa 30,000 hapo inatakiwa kufanyiwa maintanence.

Lakini wakati ilitakiwa kufanya kazi kwa saa 30,000 kisha kufanyiwa maintanence, hadi ripoti inatolewa mashine hiyo ilikuwa imefanya kazi kwa Saa 40,356.

Sasa, 40,356 - 30,000 = 10, 356. Yaani mashine iliendelea kuburuzwa hivyo hivyo kwa saa zingine 10,356 huku ikiwa bado haijafanyiwa maintenance. Ni kama umeambiwa ukimbie 30,000KM kisha upumzike na kupata chakula, lakini baada ya kumaliza zile 30,000KM unalazimishwa ukimbie 10,356KM nyingine, na hivyo kuwa umekimbia 40,356KM bila kupata chakula ulichoahidiwa!!
Yaani saa 10356 ni sawa na siku 431.5 ambayo ni sawa na mwaka 1 na miezi miwili mtambo ufanya kazi bila matengene.Inaumiza sana aisee.
 
Tunachojua hatukuwa na Giza Wala ukosefu wa maji Wala ukame, hivyo vyote vilikuogopa JPM na vimeanza baada ya kifo chake ...
Porojo zenu mliziandaa kabla hamjamzika, baada ya kusema hizo propaganda zenu mtatujuza lini mnakodisha mitambo ili mjilipe na familia zenu maana miaka zaidi ya mitano ya wananchi kufurahia umeme na maji iliwatesa sana.
[emoji88][emoji88][emoji88] Alikuwa anakupakata kijana,sasa tulia watu wafanye kitaaluma zaidi.
 
Huna hata macho ....sema binadam hatuna shukrani maana nikiianza kukueleza miradi aliyoisimamia huyu mzee acheni tu apumzike kwa amani leo hii huku vijijini tunawasha umeme katutengenezea barabara na hosptali hiyo ni midogo tu mikubwa unaijua haina haja ya kukuelekeza unaweza kuihesabu huko uliko.
Kweli kuna watu mmeamuwa kujitowa akili au ni vichaa kamili.

Mradi wa umeme vijijini REA ni project ya awamu ya 4 ya Jakaya Kikwete utekelezaji ukawa unafanyika kwa phases.

Kama siyo huyo kichaa shetani wenu mungu wa chato kuwakwjeri wafadhili leo hii kaya nyingi zaidi zingekuwa zimepata umeme, maana aliwatukana Wamarekani ambao ndio walikuwa watowe $milllion 700 kwenye fund ya MCC.

Kama Mungu angeweza kusikiliza maombi yetu huyu alikuwa ni wa kufufuliwa na kutandikwa mijeledi ya kutosha.

Na mlivyokuwa machizi mnajisahaurisha kwamba jina la tingatinga kalipata awamu ya 4 wakati Kikwete anasambaza rami za kuiunganisha nchi.
 
Back
Top Bottom