Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
bila samahani mkuu, fuatilia kwa karibu uchunguze kama tusingekutana na jamii nyingine (at point of contact). kwani aliyokuwa akiyasema Donald Trump kuwahusu waafrika ni ya uongo? alikuwa akisingizia?Samahani mkuu
hizo taarifa za Africa is a cursed race ulizitoa wapi na kwa kosa gani mkalaaniwa?
Yesu anaokoa