Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
mzabzab kujiita zee la gegedo 😂😂Wewe pia ni mwongo na mzushi kwa sababu unajiita Nyani Ngabu wakati wewe ni binadamu.
Ungejiita yekonia ningeamini kuwa wewe siyo mwongo.
Monetary doctor mzabzab Poor Brain Al-mukheef adriz.
Haachwi mtumzabzab kujiita zee la gegedo 😂😂
😂😂 Kaaazii kweli kweli......Haachwi mtu
Mbona we uliandika unakaa buguruni ambapo 2000 yako tu msosi wa siku nzima unapata na waweza baki na chenji.Jf kila mtu anakaa sehemu za kishua!
Hakuna anayekaa Tandale, Buguruni Malapa, Vingunguti n.k
Jf hakuna anayekaa nje ya mji, wote wako pembeni kidogo tu ya mji na hawapandi daladala wanaenda kazini kwa gari zao binafsi.
Yaani Kila mtu anadai kuwa amewahi Kula tunda kimasihara.😂😂 Kaaazii kweli kweli......
Uwongo wa humu too much
Huyo jamaa alikuwa anaenda kunywa chai Miami chakula cha mchana anakula Bosnia usiku analala Vancouver just imagine 😃Yupo unamjua @kidukulilo wewe
Uongo!Humu kila mwanaume anapiga pisi kali mpaka unashangaa hizi pisi mbovu mtaani zote ni bikira.!
Jf kila mwanamke ni independent woman, unabaki kujiuliza hawa wakina dada wadangaji na ombaomba wanaishi kwenye jamii ipi
Great appreciationKatika watu wakweli JF mmoja wapo ni Kalaga Baho Nongwa wakifuatiwa na wengineo.
Heko nyingi kwako brother🤜🏾🤛🏾
Wivuuuuuuuuu.!!! 😹😹😹Mimi sijui niko tofauti, mtu hata awe na nini aseme nini huwa hainisumbui kabisa. Ila nimeona kuna baadhi ya watu humu, inawasumbua na mbaya zaidi ni Fake ID.
Mtu akianza kusema gari, nyumba, biashara, kusafiri nje si ni vitu vya kawaida? Ila mtu akigusia kati ya hivyo na vingine, ataandamwa, tumeshajua una gari, una nyumba!!!
Tutafute pesa, tuache makasiriko, mtu hata kama anadanganya, ni anajidanganya mwenyewe, mwisho wa siku anabaki kwenye ulimwengu wa kuishi maisha mazuri kimtandaoni, kiuhalisia yuko vilevile.
Tuache watu wajifariji na kufurahia anachofanya, ili mradi hakugusi wewe moja kwa moja. Wivu ni ugonjwa tafuta dawa kama ukiona unaumia mafanikio ya mwingine.
Sana odo huwa ni wivu tu. Sasa mtu akisema yeye ni tajiri sisi wengine inatupunguzia nini? Maisha ya fake ID mtu yamuumize na ya uhalisia yamuumize anateseka kotekote ahahahahaaaWivuuuuuuuuu.!!! 😹😹😹
Hivi kweli kabisa mtu anateseka na Fake ID 🤣
Kuna member mmoja namkubali sana, yeye huwa anasema kabisa JF anaingia akiwa bar kwahiyo chochote anachoongea ni cha pombe pombe…!!
Hata wanaoumia humu kwa maisha ya mtu ambaye humfahamu uhalisia wake ni ujinga..!!
Mimi sijawahi aseeh nionewe hurumaYaani Kila mtu anadai kuwa amewahi Kula tunda kimasihara.
Ila jey ef inaondoa stress aise.Mimi sijawahi aseeh nionewe huruma
Kwakweli home boyIla jey ef inaondoa stress aise.
Mimi nakaa Buguruni mkuu, uswahilini haswa.Mbona we uliandika unakaa buguruni ambapo 2000 yako tu msosi wa siku nzima unapata na waweza baki na chenji.
Kwanini ulifunga mapema hivyo?