Uongo wa Serikali ya awamu ya 5 chini ya Dkt. John Pombe Magufuli utawatesa sana Marais watakaofuata na Samia akiwa miongoni

Uongo wa Serikali ya awamu ya 5 chini ya Dkt. John Pombe Magufuli utawatesa sana Marais watakaofuata na Samia akiwa miongoni

Mpaka leo bomba la mafuta waliokuwa wanaiba kesi haijulikani imeenda wapi, madawa yaliyokamatwa Lindi hayajulikani yameenda wapi
Kiwango cha kufikiri na kuchambua ukweli na uwongo ni duni sana kwa Watanzania walio wengi. Magufuli alijuwa UJINGA uliopo kwa Watanzania na akautumia kwa KUWADANGANYA.
Magufuli alikuwa anajuwa kiwango cha ujinga wa Watanzania walio wengi na ndiyo ukawa mtaji wake kwa propaganda za UWONGO. Wasomi na wajuzi wa mambo akawanyamazisha kwa sheria mbaya za mtandao, takwimu na sheria ya habari
 
Madaraja ,meli,SGR, vituo vya afya nazo Ni takwimu za kupika ? Roho yako mbaya Sana!! Kwamba tukutukuze we we mtoa post!!
Hivi tangu tupate uhuru hatukuwahi kujenga meli kabla magufuli hajawa rais? Hatukuwahi kujenga reli? Hatukuwahi kujenga vituo vya afya na miundombinu mingine? Jibu niwazi: Tulifanya mengi, Ila kulikuwa hakuna upikaji wa takwimu Kama awamu ya magufuli.
Honestly tuambizane ukweli:
Vile viwanda 4000 tulivyoaminishwa vimejengwa, baada ya yeye kufa vilienda wapi?
Ile faida ilyokuwa inazalishwa na Atcl iko wapi?
Ttcl na mashirika mengine Bado yanatoa mgao kwa serikali?
Tanzania imeshakuwa donor cantri? au tumeshaanza kupeleka mitumba ulaya?
Na mengine mengi.
 
Toa ushahidi tuamue wenyewe usitufanye mataahira. Umetoa madai yasiyo na ushahidi wala uthibitisho. Hayo unayosema umeyapata wapi? Je ni reliable sources? Au una lako. Sie ni watu wazima na akili zetu usituletee utoto na ujinga mwanangu
Kwa hiyo we unaona ni kweli vilijengwa viwanda 4000?
 
Tukubaliane Jambo moja la ukweli na uwazi Tanzania haijawai Pata Rais mpika takwimu na kujiaminisha Kama alivyokuwa hayati Magufuli!!

1. Tanzania tuliambiwa makusanyo ya TRA ni 2 Trillion per month ila Kwa uhalisia haikuwa hivyo tulivyoambiwa , hapa uhalisia ilikuwa Bilion 900 hadi 1.2 trillion bila kuweka kwenye hesabu uporomokaji wa thamani ya shilling . Hivyo hata marais wajao watateseka kutaka ama kuendelez uongo huu au wazikusanye kweli kwa kuwatesa wananchi na ma Tozo

2. Growth rate ya uchumi ni 7.2 wakati ukweli ni 4.7 ndo hali halisi ya ukuaji wa uchumi ilivyokuwa!!

3. Laizer Kaokota Tanzanate yenye uzito ambao si kawaida !! Kumbe zinatolewa store anapiga picha na kurejesha ili kuhadaa Kwamba Ukuta wa merelani ndo umeleta mafanikio hayo

4. Kwamba Wafanyakazi hewa walikuwa ni 20,000 wakati waliobainika kutokuwa kazini ni 7400 tu ila 137500 walikuwapo kazini ila majina yalikinzana kwenye vyeti ila kazi walifanya kawaida

5. Tembo wameongezeka mara tatu Tripped tokea ashike nchi Kumbe ni uongo tembo waNa interval kubwa ya kuzaa Kwa muda

6. Tanzania hakuna Corona

7. Air Tanzania inapata faida kumbe uongo

8. Mabeberu wana I tagert Tanzania tu kwakuwa tuna madini

9. Kila tajiri ni mwizi na wanapaswa kuishi Kama Mashetani

10. Kuna Mtanzania ameajiriwa na ametengeneza mrija wa kila dakika inaingia Milion 80 kwenye account yake!

11. Masamaki Ana nyumba 74 na viwanja 200 Dar es salaam.

12. Miradi tunajenga kwa Pesa za ndani Kumbe ni WB na waturuki dah

13. Tuna Viwanda 4000 mpaka sasa dah

huyu Mzee huyu R.I.P
Wameeashanza kuleta uzi wa kuilaumu samia
 
Yule MAREHEMU JIWE kwa uwongo wake hivi kwa zile fix za kutekeleza Ile miradi Katika kipindi Cha 2015-20250 je 2020-2025 Kweli kweli Watanzania tulihitaji li ilani la uchaguzi la ccm lenye kurasa 303 naomba ccm mje mtuelezee
 
Tukubaliane Jambo moja la ukweli na uwazi Tanzania haijawai Pata Rais mpika takwimu na kujiaminisha Kama alivyokuwa hayati Magufuli!!

1. Tanzania tuliambiwa makusanyo ya TRA ni 2 Trillion per month ila Kwa uhalisia haikuwa hivyo tulivyoambiwa , hapa uhalisia ilikuwa Bilion 900 hadi 1.2 trillion bila kuweka kwenye hesabu uporomokaji wa thamani ya shilling . Hivyo hata marais wajao watateseka kutaka ama kuendelez uongo huu au wazikusanye kweli kwa kuwatesa wananchi na ma Tozo

2. Growth rate ya uchumi ni 7.2 wakati ukweli ni 4.7 ndo hali halisi ya ukuaji wa uchumi ilivyokuwa!!

3. Laizer Kaokota Tanzanate yenye uzito ambao si kawaida !! Kumbe zinatolewa store anapiga picha na kurejesha ili kuhadaa Kwamba Ukuta wa merelani ndo umeleta mafanikio hayo

4. Kwamba Wafanyakazi hewa walikuwa ni 20,000 wakati waliobainika kutokuwa kazini ni 7400 tu ila 137500 walikuwapo kazini ila majina yalikinzana kwenye vyeti ila kazi walifanya kawaida

5. Tembo wameongezeka mara tatu Tripped tokea ashike nchi Kumbe ni uongo tembo waNa interval kubwa ya kuzaa Kwa muda

6. Tanzania hakuna Corona

7. Air Tanzania inapata faida kumbe uongo

8. Mabeberu wana I tagert Tanzania tu kwakuwa tuna madini

9. Kila tajiri ni mwizi na wanapaswa kuishi Kama Mashetani

10. Kuna Mtanzania ameajiriwa na ametengeneza mrija wa kila dakika inaingia Milion 80 kwenye account yake!

11. Masamaki Ana nyumba 74 na viwanja 200 Dar es salaam.

12. Miradi tunajenga kwa Pesa za ndani Kumbe ni WB na waturuki dah

13. Tuna Viwanda 4000 mpaka sasa dah

huyu Mzee huyu R.I.P
images (2).jpg
 
Kwanini unachallenge legacy? Nchi hii imechezewa sana na mafisadi. Au nasema uwongo ndugu zangu?

13. Tanzania ni donor country.
14. Ndani ya miaka mitano tu ya awali awamu ya 5 ilifanikiwa kujenga viwanda zaidi ya 800
Hakika
 
Tukubaliane Jambo moja la ukweli na uwazi Tanzania haijawai Pata Rais mpika takwimu na kujiaminisha Kama alivyokuwa hayati Magufuli!!

1. Tanzania tuliambiwa makusanyo ya TRA ni 2 Trillion per month ila Kwa uhalisia haikuwa hivyo tulivyoambiwa , hapa uhalisia ilikuwa Bilion 900 hadi 1.2 trillion bila kuweka kwenye hesabu uporomokaji wa thamani ya shilling . Hivyo hata marais wajao watateseka kutaka ama kuendelez uongo huu au wazikusanye kweli kwa kuwatesa wananchi na ma Tozo

2. Growth rate ya uchumi ni 7.2 wakati ukweli ni 4.7 ndo hali halisi ya ukuaji wa uchumi ilivyokuwa!!

3. Laizer Kaokota Tanzanate yenye uzito ambao si kawaida !! Kumbe zinatolewa store anapiga picha na kurejesha ili kuhadaa Kwamba Ukuta wa merelani ndo umeleta mafanikio hayo

4. Kwamba Wafanyakazi hewa walikuwa ni 20,000 wakati waliobainika kutokuwa kazini ni 7400 tu ila 137500 walikuwapo kazini ila majina yalikinzana kwenye vyeti ila kazi walifanya kawaida

5. Tembo wameongezeka mara tatu Tripped tokea ashike nchi Kumbe ni uongo tembo waNa interval kubwa ya kuzaa Kwa muda

6. Tanzania hakuna Corona

7. Air Tanzania inapata faida kumbe uongo

8. Mabeberu wana I tagert Tanzania tu kwakuwa tuna madini

9. Kila tajiri ni mwizi na wanapaswa kuishi Kama Mashetani

10. Kuna Mtanzania ameajiriwa na ametengeneza mrija wa kila dakika inaingia Milion 80 kwenye account yake!

11. Masamaki Ana nyumba 74 na viwanja 200 Dar es salaam.

12. Miradi tunajenga kwa Pesa za ndani Kumbe ni WB na waturuki dah

13. Tuna Viwanda 4000 mpaka sasa dah

huyu Mzee huyu R.I.P
14. Siku Ina masaa 48
 
Kiwango cha kufikiri na kuchambua ukweli na uwongo ni duni sana kwa Watanzania walio wengi. Magufuli alijuwa UJINGA uliopo kwa Watanzania na akautumia kwa KUWADANGANYA.
Magufuli alikuwa anajuwa kiwango cha ujinga wa Watanzania walio wengi na ndiyo ukawa mtaji wake kwa propaganda za UWONGO. Wasomi na wajuzi wa mambo akawanyamazisha kwa sheria mbaya za mtandao, takwimu na sheria ya habari
Jengeni nchi, hayupo sasa miaka miwili, umeme umewashinda, miradi imewashinda mpaka mnaiuza, kawaachia ndege, ukarabati wa viwanja vya ndege, bandari zote, madaraja makubwa, Mradi wa SGR, JKNHP, n.k bila tozo, nyinyi mnafeli wapi.?
 
Back
Top Bottom