stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Kwani sijakupa Jibu au umeziba masikio nikuzibueKwahiyo pesa ndio ilikua inawashika wasipige mpira maana si tuliambiwa wana uwezo na wanacheza Kwa mapenzi sio pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani sijakupa Jibu au umeziba masikio nikuzibueKwahiyo pesa ndio ilikua inawashika wasipige mpira maana si tuliambiwa wana uwezo na wanacheza Kwa mapenzi sio pesa
Acha uongo mzee vipaji haviishi duniani na mbungi inapigwa safi na burudani tunaiona usitake kudanganya watu zipo clip za zamani kibao na mpira ni WA kawaida tu kwahiyo unataka kusema Sasa hivi vipaji havizaliwi viliishia kuzaliwa miaka ya 90 uongo mwingine wa WAZEE huu hapaZamani mbungi ilikuwa inavutia kutazama si Tanzania tu, hata huko duniani, si mpira kwa ujumla bali wachezaji wenye kutegemea vipaji asili na si kutengenezwa "maabara za mpira"...
Lakini inapotajwa zamani si zamani mpira ukiwa unaanza bali kipindi ni miaka ya 70 mwishoni, 80 hadi 90 hapo...
Mfano kwa bongo kuna familia kama ya Manara ambayo wote walikipiga ughaibuni...
Umetolea mfano waAfcon ... ni kweli huko nyuma tulifuzu mara moja tu, mwaka 1980 .. ila Kwa faida ya unongo wako hebu jifunze mchakato wakufuzu enzi zile , ulingamishe na Sasa uweze kulinganisha na Sasa, ambalo kwenye ukisasa wenu mmefuzu mara 2 tu!Hivi nyie wazee huwa mnatuchukuliaje vijana utakuta mzee anasifia wachezaji wa zamani unaweza kusema hao wachezaji waliipa Tanzania ubingwa wa dunia yaani katika vitu vinanikera mizee kusifia magarasa ya zamani eti zamani kulikuwa na mpira sio Sasa.
Hiyo zamani yenyewe waulize hata kombe la takataka kama afcon washawahi kuvuka hata makundi jibu ooh kulikuwa hakuna pesa. Sasa pesa na uwanjani wanaume 22 wapi na wapi, wazee acheni uongo bhana hamna mpira wowote mlikuwa mnakimbizana tu kama mnafukuza nguruwe tafuteni uongo mwingine huu tumewastukia na hakuna laana mtayotupa sababu mnasema uongo.
Kwahiyo mataifa mengine nayo yalifuzu mara 1 kwenye huo mchakato acheni uongo wazeeUmetolea mfano waAfcon ... ni kweli huko nyuma tulifuzu mara moja tu, mwaka 1980 .. ila Kwa faida ya unongo wako hebu jifunze mchakato wakufuzu enzi zile , ulingamishe na Sasa uweze kulinganisha na Sasa, ambalo kwenye ukisasa wenu mmefuzu mara 2 tu!
Wazee acheni uongoSasa naenda kulaani mtu humu, mmevuka mipaka.
Huna adabu kwa Wazee wako Wewe utapigwa Kolojuani moja mpaka uombe radhiWazee hamna akili
Wazee waongo sanaHuna adabu kwa Wazee wako Wewe utapigwa Kolojuani moja mpaka uombe radhi
Acha uongo mzee vipaji haviishi duniani na mbungi inapigwa safi na burudani tunaiona usitake kudanganya watu zipo clip za zamani kibao na mpira ni WA kawaida tu kwahiyo unataka kusema Sasa hivi vipaji havizaliwi viliishia kuzaliwa miaka ya 90 uongo mwingine wa WAZEE huu hapa
Kwahiyo hizi video za mpira dakika 90 full ni fake aisee embu acha uongo au huo mpira mlikua mnachezea anganiTatizo ni kwamba umeishi enzi moja tu, hujaishi enzi mbili hivyo huwezi kufanya ulinganifu...
Wachezaji wa sasa wanapitia maabara zinazoitwa academy...
Ndio walivyo hao wazeeKuna mzee mmoja alitupig. mzee anadai kuna mchezaji kitambo alikua anaitwa Twaha Masiment alipiga shuti nguzo ya goli ikapinda!.
yule babu nikampinga akaniambia,'wewe kijana wa ww dotcom huna adabu'.
Hzo zlikuwa story was the onlyHivi nyie wazee huwa mnatuchukuliaje vijana utakuta mzee anasifia wachezaji wa zamani unaweza kusema hao wachezaji waliipa Tanzania ubingwa wa dunia yaani katika vitu vinanikera mizee kusifia magarasa ya zamani eti zamani kulikuwa na mpira sio Sasa.
Hiyo zamani yenyewe waulize hata kombe la takataka kama afcon washawahi kuvuka hata makundi jibu ooh kulikuwa hakuna pesa. Sasa pesa na uwanjani wanaume 22 wapi na wapi, wazee acheni uongo bhana hamna mpira wowote mlikuwa mnakimbizana tu kama mnafukuza nguruwe tafuteni uongo mwingine huu tumewastukia na hakuna laana mtayotupa sababu mnasema uongo.
Just story tu kwan alikulazmisha ukubali au ukatae?Hivi nyie wazee huwa mnatuchukuliaje vijana utakuta mzee anasifia wachezaji wa zamani unaweza kusema hao wachezaji waliipa Tanzania ubingwa wa dunia yaani katika vitu vinanikera mizee kusifia magarasa ya zamani eti zamani kulikuwa na mpira sio Sasa.
Hiyo zamani yenyewe waulize hata kombe la takataka kama afcon washawahi kuvuka hata makundi jibu ooh kulikuwa hakuna pesa. Sasa pesa na uwanjani wanaume 22 wapi na wapi, wazee acheni uongo bhana hamna mpira wowote mlikuwa mnakimbizana tu kama mnafukuza nguruwe tafuteni uongo mwingine huu tumewastukia na hakuna laana mtayotupa sababu mnasema uongo.
wengine wamo humu jf huwa wanatupiga mno,atukuwepo enzi izo wanatubuluza tu.Hzo zlikuwa story was the only
Just story tu kwan alikulazmisha ukubali au ukatae?
Kwahiyo hizi video za mpira dakika 90 full ni fake aisee embu acha uongo au huo mpira mlikua mnachezea angani
Video mechi za mpira wa zamaniVideo zipi hizo?
Maana naona unanukuu kitu sijaandika
Wana makombe mangapi hao uliowataja wakitumikia timu za tanzania Africa hii tu kwa mfanoWachezaji wa zamani wengi walikua na vipaji haswa kama Method Mogela,China,Gaga Nchi ilikua na watu sana wakina Innocent Haule au Selestine Sikinde Mbunga sema ndio hivyo washindani wetu walikua bora zaidi yetu..wapo wachezaji wa kizazi hiki wana viwango sawa na wale ila Mchezaji kama Dube enzi za kina Kizota Yanga hawezi kupata namba au Sanifu Lazaro Tingisha hiyo Simba ilikua na Viungo kama watano Marsha,George Lukas,Michael Paul naironi inabidi wengine wapewe namba saba ili kupata namba mchezaji kama Lunyamila utampata wapi sasa hivi ngoja niishie hapa maana bado wakina Mbui Yondani wa huko Reli ya Morogoro...
Video mechi za mpira wa zamani