Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Uwajibilaji, uzalendo na uadilifu ni vigezo muhimu kwenye Taifa huru linalotaka kuendelea. Ni nguzo muhimu Kwa chama Cha siasa kinachojali maslahi ya umma na njia pekee yakumfanya mwanadamu amheshimu Mungu na kuamini mamlaka inatoka kwake na siyo Kwa wanadamu.
Chama Cha mapinduzi kimekosa uadilifu Kwa sababu hakuna nafasi unayopewa Kwa uadilifu Bali nafasi unapewa kwa kufanikisha mikakati iliyounganishwa na matakwa ya Watu wachache na familia zao.
Uzalendo eondoka Kwa sababu thamani kubwa ya Uongozi ni fedha, Watu wanatafuta kuiba na kulimbikiza fedha kama ulinzi wa kisiasa kwao na familia zao
Uadilifu unaanza na kusema kweli ukifuatiwa na kusimamia haki. Wana CCM wanavyosema Leo sivyo watavyosema kesho. Fikra za Mwenyekiti ziwe mbovu au nzuri lazima zifauatwe Hadi atakapostaafu ndipo tuseme hapana alikosea na tuliona anakosea ila mkubwa afundishwi.
Kukosekana Kwa sifa hizo hapo juu kumepelekea Kila MTU kuwa na mapungufu na hivyo ukininyooshea kidole nakunyooshea kidole, ukinisema nawatuma kulusema na ukinifix nakufix. This is what is going on kwenye mfumo: na hapa ndipo makundi maovu yanaposamehewa na Watu wachache nakuruhusiwa kuendelea na uovu hata kama wananchi na wanachAma watakataa.
Hivyo tujiandae walewale watesi wetu kesho watakaa na mfalme meza kuu.
Chama Cha mapinduzi kimekosa uadilifu Kwa sababu hakuna nafasi unayopewa Kwa uadilifu Bali nafasi unapewa kwa kufanikisha mikakati iliyounganishwa na matakwa ya Watu wachache na familia zao.
Uzalendo eondoka Kwa sababu thamani kubwa ya Uongozi ni fedha, Watu wanatafuta kuiba na kulimbikiza fedha kama ulinzi wa kisiasa kwao na familia zao
Uadilifu unaanza na kusema kweli ukifuatiwa na kusimamia haki. Wana CCM wanavyosema Leo sivyo watavyosema kesho. Fikra za Mwenyekiti ziwe mbovu au nzuri lazima zifauatwe Hadi atakapostaafu ndipo tuseme hapana alikosea na tuliona anakosea ila mkubwa afundishwi.
Kukosekana Kwa sifa hizo hapo juu kumepelekea Kila MTU kuwa na mapungufu na hivyo ukininyooshea kidole nakunyooshea kidole, ukinisema nawatuma kulusema na ukinifix nakufix. This is what is going on kwenye mfumo: na hapa ndipo makundi maovu yanaposamehewa na Watu wachache nakuruhusiwa kuendelea na uovu hata kama wananchi na wanachAma watakataa.
Hivyo tujiandae walewale watesi wetu kesho watakaa na mfalme meza kuu.