MENERIKI II
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 642
- 1,294
Wewe Umeona alichoongea yule mpuuzi kipo sahihi?kwa hapa naona unavuka mipaka, unaanza kuleta ushenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Umeona alichoongea yule mpuuzi kipo sahihi?kwa hapa naona unavuka mipaka, unaanza kuleta ushenzi
ungetaja muislam mahiri asiyekuwepo hapo kaachwa, acha ushenzi kuingiza udini
unaanza kuleta chokochoko za udini, acha hii tabia mara mojaMipaka umeweka wewe? Nitukane basi kama mlivyomtukana Mbowe
Mwanzilishi wa udini umemuogopa umetafuta unaemueza unamshambuli.ungetaja muislam mahiri asiyekuwepo hapo kaachwa, acha ushenzi kuingiza udini
Jibu hoja. Kwanini viongozi wa kanda wote dini moja? Hili mbona unajificha kujibu? Tutamuuliza lissu kampeni zikianzaunaanza kuleta chokochoko za udini, acha hii tabia mara moja
🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂😂🤣😂🤣🤣😂😂😂🤣😂Kwanini kikao kisifanyike makao makuu? Badala ya kufanya Bagamoyo?
Ccm daimaKwanini kikao kisifanyike makao makuu? Badala ya kufanya Bagamoyo?
sasa kama hawajajitokeza wangechaguliwaje kwa wajihi wao? Kama unaona hawakupewa nafasi bado kuna vyama vingine vinawahitaji waende hukoJibu hoja. Taja mwenyekiti wa kanda 1 tu muislam. Ukiondoa kutoka zanzibar, kiongozi gani wa bara ni muislam? Hakuna waislam chadema?
Hawajitokeza kweli au mliwapiga chini?sasa kama hawajajitokeza wangechaguliwaje kwa wajihi wao? Kama unaona hawakupewa nafasi bado kuna vyama vingine vinawahitaji waende huko
Kutoka kuwa Muimba mapambio Lumumba kulipwa buku mbili za MB, na sasa kuhamia Chadema!Kikao kimegharamiwa na Boni Yai
Chadema siyo chama Cha Mashehe Ubwabwa mnaotembea na pilipili mfukoni 😂
Aliowachagua lissu jee? Hawana sifa waislam hapo?sasa kama hawajajitokeza wangechaguliwaje kwa wajihi wao? Kama unaona hawakupewa nafasi bado kuna vyama vingine vinawahitaji waende huko
sasa kama hawana ushawishi utawachaguaje? Mtu anaomba kuchaguliwa huku hana uwezo, hana haiba ya kisiasa, hana mvuto utamchaguaje kwa misingi ya dini ili tu kubalansi mambo?Hawajitokeza kweli au mliwapiga chini?
Akikujibu km ameolewa lini nitagUmeolewa?
Wewe kubikiriwa na Lissu kisha kukuacha inakutesa sana.Chadema chama cha wakiristo wala sembe?
Umeulizwa umeolewa au?Aliowachagua lissu jee? Hawana sifa waislam hapo?
Kwa hivyo waislam wa chadema wote hawana mvuto? Mvuto upi huo? Hawaingii kanisani?sasa kama hawana ushawishi utawachaguaje? Mtu anaomba kuchaguliwa huku hana uwezo, hana haiba ya kisiasa, hana mvuto utamchaguaje kwa misingi ya dini ili tu kubalansi mambo?
Kubarikiwa tena sijaelewa kubarikiwa vipi hapo?Wewe kubikiriwa na Lissu kisha kukuacha inakutesa sana.
Hahaaahaaaaa. Jibu hojaWewe kubikiriwa na Lissu kisha kukuacha inakutesa sana.
usilie sana bado kuna nafasi zipo, kuna ubunge na udiwani watapata tuHawajitokeza kweli au mliwapiga chini?