CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Chadema chama cha wakiristo wala sembe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema chama cha wakiristo wala sembe?
Ubunge kupitia chadema?usilie sana bado kuna nafasi zipo, kuna ubunge na udiwani watapata tu
Toka lini msenge kama wewe ukawa na hoja zaidi ya kujua kuingiliwa kinyume cha maumbile?Hahaaahaaaaa. Jibu hoja
Sasa hivi umehamia kwenye udini baada ya life banJibu hoja. Taja mwenyekiti wa kanda 1 tu muislam. Ukiondoa kutoka zanzibar, kiongozi gani wa bara ni muislam? Hakuna waislam chadema?
Udini maana yake nini? Swali langu lipo hivi?Sasa hivi umehamia kwenye udini baada ya life ban
Hizi propaganda za dini na siasa zilishafeli kitambo sana.hata CCM iliwahi kuitwa chama cha Wakristo,Hata CUF iliwahikuitwa chama cha Waislamu,hakuna uhusiano wowote kati ya CHADEMA na dini,kama hoja ni dini,Waislamu walikuwa wapi wakati wakristo wanachukua fomu CHADEMA ?Wakiristo hawana hitma, wakishazikwa ndio kwa heri tena. Ukiondoa kutoka zanzibar waliobaki viongozi wote wa bara chadema ni wakiristo
Hoja sio chama cha wakiristo. Swali lipo hivi.Hizi propaganda za dini na siasa zilishafeli kitambo sana.hata CCM iliwahi kuitwa chama cha Wakristo,Hata CUF iliwahikuitwa chama cha Waislamu,hakuna uhusiano wowote kati ya CHADEMA na dini,kama hoja ni dini,Waislamu walikuwa wapi wakati wakristo wanachukua fomu CHADEMA ?
Ukilala hautohamshwa
Hunaga akili kabisa.Jibu hoja. Taja mwenyekiti wa kanda 1 tu muislam. Ukiondoa kutoka zanzibar, kiongozi gani wa bara ni muislam? Hakuna waislam chadema?
eeUbunge kupitia chadema?
Kwa sababu CHADEMA siyo chama chenye mfungamano na dini,hivyo yeyote mwenye kutaka nafasi ya uongozi achukue fomu agombee,kwani Waislamu waliomba uongozi ndani ya CHADEMA wakanyimwa.Udini maana yake nini? Swali langu lipo hivi?
Kwanini wenyeviti wote wa chadema dini moja?
Kwani huko Zanzibar ni kiongozi yupi ni mkristo ?Hoja sio chama cha wakiristo. Swali lipo hivi.
Kwanini viongozi wa kanda wote wa dini moja? 100%
Nimekuelewa kwamba wamenyimwaKwa sababu CHADEMA siyo chama chenye mfungamano na dini,hivyo yeyote mwenye kutaka nafasi ya uongozi achukue fomu agombee,kwani Waislamu waliomba uongozi ndani ya CHADEMA wakanyimwa.
Oyaaa we chaliii chadema ilikupiga Mimba ukatoaa au...Kwanini kikao kisifanyike makao makuu? Badala ya kufanya Bagamoyo?
Pia chama kuwa na Viongozi wengi wa dini fulani,siyo sababu ya chama kuwa cha Kidini.Hoja sio chama cha wakiristo. Swali lipo hivi.
Kwanini viongozi wa kanda wote wa dini moja? 100%
Mod. Huyu amenitukana. Sheria zinasema apigwe ban la siku 3Toka lini msenge kama wewe ukawa na hoja zaidi ya kujua kuingiliwa kinyume cha maumbile?
Wamenyimwa na nani,walichukua fomu wakakataliwa ?Nimekuelewa kwamba wamenyimwa
Sijasema chadema cha wakiristo. Swali langu dogo tu. Kwanini wenyeviti wa kanda zote 100% ni dini moja?Pia chama kuwa na Viongozi wengi wa dini fulani,siyo sababu ya chama kuwa cha Kidini.
Hao viongozi waliteuliwa au walipigiwa kura ?
Wakati hao viongozi wanachukua fomu,Waislamu walikuwa wapi ?
Kwa mujibu wa unavyoijua CHADEMA,ni wapi wamesema kuwa wanachaguana kwa vigezo vya dini ?
Kama kigezo ni dini,kwanini hiyo hoja wanachadema wenyewe hawajawahi izungumza na kuleta ushahidi ?
Wamepigwa chiniWamenyimwa na nani,walichukua fomu wakakataliwa ?
Zuzumagic la CCM linavyoteswa na CHADEMAKwanini kikao kisifanyike makao makuu? Badala ya kufanya Bagamoyo?