Katiba ya chadema inatamka, kiongozi sio malaika ni wajibu kukosolewa. Kama Lissu ndani ya miaka anamshambulia mbowe mbona hujaja kuandika humu?Huna hoja, wewe ni mpuuzi tu ambaye masaa 24 unawaza kumshambulia Lissu tu, ulifanya hivyo wakati wa mchakato wa uchaguzi wa Chadema ukaangukia pua bado hujajifunza tu kuwa kazi uliyoifanya usiku kucha haikuwa na tija yoyote na bado unaendeleza upumbavu huo huo hii ni ishara kuwa una mtindio wa ubongo.
Miaka gani hiyo Lissu amemshambulia Mbowe? Labda uko ndotoni amka utajikojolea bure kitandani.Katiba ya chadema inatamka, kiongozi sio malaika ni wajibu kukosolewa. Kama Lissu ndani ya miaka anamshambulia mbowe mbona hujaja kuandika humu?
Kwani wewe muislamu uliwahi kugombea uongozi hapo chadema ukaambiwa waislamu hawatakiwi?Sugu
Devote ninja
Wenje
Bony yai
Wakili
Hawa wote wakiristo. Sio kwa bahati mbaya hii, hii imepangwa maalum kupambana na Samia
Wakiristo hawana hitma, wakishazikwa ndio kwa heri tena. Ukiondoa kutoka zanzibar waliobaki viongozi wote wa bara chadema ni wakiristo
Aisee! π€π€π€Kikao kimegharamiwa na Boni Yai
Chadema siyo chama Cha Mashehe Ubwabwa mnaotembea na pilipili mfukoni π
π·π·π·Chadema chama cha wakiristo wala sembe?
πππMipaka umeweka wewe? Nitukane basi kama mlivyomtukana Mbowe
Bro anza na mabovu ya Mama huko ndani kbl hujatoka kuona ya Baba huku nje!Kwanini kikao kisifanyike makao makuu? Badala ya kufanya Bagamoyo?