Uongozi ni akili si mabavu, hongera Rais Samia!

Uongozi ni akili si mabavu, hongera Rais Samia!

Yaani unamaanisha kufuta ada ya 70,000 na kuweka kodi siyo rasmi kwa kila raia nchini siyo - yaani tutamsajili bodaboda na tutamtaka kwa siku atupatie walau trip moja tu ya buku mbili kati ya trip 15 zake kwa siku tu kupitia TIN yake, vivyo hivyo mama ntilie naye atupatie nusu sahani ya wali yaani 1500 kati ya 10 anazouza kwa siku.

Kweli hii ni akili kubwa !!
Ni akili kubwa ndio unadhani akili kubwa ni kutolipa Kodi? 😆😆
 
Unaelewa maana ya budge plan ya kila mwaka? Wewe ni mweupe kichwani ndio maana unaropoka vitu usivyovojua eti inabadilisha kila mwaka kwa hiyo haina muelekeo 😄😄

Vyovyote utakavyoandika hakuna utakachobadili,unajihangaisha tuu..Rais ni Samia hadi 2030 keshafunika legacy.

Pili uliwahi kuona Nchi ipi ambayo imeendelea bila mikopo? Harafu hiyo 13T umeitoa wapi? Nionyeshe hapa kwenye summary ya Mapato na matumizi ya Serikali maana mikopo kuna 8.8T👇
Dah wewe unajua matusi tu.

Jumlisha hiyo B na A Utapata.
 
Hakuna kitu serikali imepatia kama kuamua kushusha makato ya 42% ya transactions za miamala ya simu. Kutoa makato ya juu ya 7,000/= mpaka kiwango cha juu kuwa 4,000/=

Hii akili ni ya Makamu Wa Rais, wala sio akili ya Waziri Wa Fedha Mwigulu Mchemba.
Nani aliweka hayo makato ndugu muheshimiwa?
 
Sijawahi ona akili ya kingese kama yako, nanukuu umesema zimekuletea tija kohoro wewe, ni kwanini watu wenye kipato cha chini ziwaumize kwenye tozo wakati vyanzo vya mapato vipo vingi tu, unafanyaje kuweka ugumu wa mzunguko wa pesa ndani ya jamii, madini yameleta manufaa gani hasa tangu sheria za uchimbaji zimepitishwa mjinga wewe
Harafu kama huna Takwimu usiwe unajadiliana na mimi kajadiliane na wapumbavu wenzio ndio muwe mna share foolish feelings maana seems huna akili timamu.Kungekuwa na ugumu wa maisha transactions zingeongezeka? Sekta ya mawasiliano ingekuwa kwa 9%?

Kwa kuwa huna akili ndio nakwambia sasa kwamba Serikali imeshusha hizo miamala sio kwa ajili ya kushusha gharama za maisha bali kuvutia watumiaji wazuri..

Nyie ndio mlikuwa mnadanganya ooh sijui miamala imeshuka na upuuzi kama huo,haya hapa miamala imeshuka?👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220521-215651.png
    Screenshot_20220521-215651.png
    122.4 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220521-213837.png
    Screenshot_20220521-213837.png
    129.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220614-122547.png
    Screenshot_20220614-122547.png
    35.4 KB · Views: 5
Bila shaka hii proposal ya kila mtanzania miaka 18 and above alipe kodi ni proposal iliyoanzia hapa JF. Mi binafsi nishawahi kuandika huko nyuma kwamba serikali kuondoa kodi ya kichwa huko nyuma haikuwa na maana ya kwamba mzigo huo wa kodi uwaelemee watu wachache sana -- yaani wafanyakazi na wafanyabiashara tena walioko maeneo yanayoonekana au wanaofanya biashara inayoonekana. Ni jambo jema sana kama hao jamaa wa serikalini wameliona na kuanza kulifanyia kazi.

Eneo jingine tutakaloishauri serikali ni hii dhana yao ya kuamini kwamba njia ya kuboost utalii ndani ya nchi yetu ni staili ya Royal Tour. Yaani kujizungusha huko nje kujitangaza kwa mamovie na madrama kibao kuhusu Tanzania. That style wont work maana hii nchi tayari inajulikana sana. Njia bora ya kuboost utalii ni kutengeneza mazingira ya miundo mbinu bora kwenye vivutio vya utalii -- tengeneza barabara bora za lami kuelekea kwenye mbuga za wanyama (mfano how can you expect mtalii arudi home kwao na good news kuhusu mbuga ya Ruaha baada kupitia barabara mbovu kabisa kuelekea huko mbugani), wekeza kwenye weledi wa tour guides, n.k., in short mfanye mtalii awe na positive experience ya kuitemebelea Tanzania kwa ujumla wake nje na ndani ya vivutio. Siyo tu kufikiri kwamba eti mtalii kinachomtoa Ulaya na kuja Tanzania ni kuangalia mawanyama wenu. Hao wanyama wanao kwenye mazoo yao tayari, na wengine mnaendelea kuwauzia. Ebo!
Sijamaliza kusoma mkuu nimeona niishie njiani[emoji119]
 
Harafu kama huna Takwimu usiwe unajadiliana na mimi kajadiliane na wapumbavu wenzio ndio muwe mna share foolish feelings maana seems huna akili timamu.Kungekuwa na ugumu wa maisha transactions zingeongezeka? Sekta ya mawasiliano ingekuwa kwa 9%?

Kwa kuwa huna akili ndio nakwambia sasa kwamba Serikali imeshusha hizo miamala sio kwa ajili ya kushusha gharama za maisha bali kuvutia watumiaji wazuri..

Nyie ndio mlikuwa mnadanganya ooh sijui miamala imeshuka na upuuzi kama huo,haya hapa miamala imeshuka?[emoji116]
Mbona hujagusia madini nguruwe we
 
Mbona hujagusia madini nguruwe we
Madini yamefanya nini sasa wewe fala? Hujasikia sheria za Kodi kwenye madini kushushwa Ili watu waache kutorosha madini na viwanda vya kusafisha madini hasa dhahabu vipate malighafi?

Shida Mnakurupukia mambo yaliyo nje ya uweao wenu wa akili.
 
Harafu kama huna Takwimu usiwe unajadiliana na mimi kajadiliane na wapumbavu wenzio ndio muwe mna share foolish feelings maana seems huna akili timamu.Kungekuwa na ugumu wa maisha transactions zingeongezeka? Sekta ya mawasiliano ingekuwa kwa 9%?

Kwa kuwa huna akili ndio nakwambia sasa kwamba Serikali imeshusha hizo miamala sio kwa ajili ya kushusha gharama za maisha bali kuvutia watumiaji wazuri..

Nyie ndio mlikuwa mnadanganya ooh sijui miamala imeshuka na upuuzi kama huo,haya hapa miamala imeshuka?[emoji116]
Sasa we kiazi mbona its obvious watu ulita wasitumie miamala wakati ndiyo means rahisi kuhudumia, vijijini kuna bank ngapi au taasisi ngapi za fedha watu waweze kupata huduma, so watu hawana means ndiyo maana kumeonekana kuna ongezeko la watumiaji simu na miamala, hivi nikuulize we kiazi mbona madini ni sehemu yenye kuleta mapato zaidi lakini haijawahi tusaidia, mbona hujaleta data za madini umebaki kuchukua cooked data za kwenye magazeti, Lete takwimu toka chanzo cha NBS
 
Madini yamefanya nini sasa wewe fala? Hujasikia sheria za Kodi kwenye madini kushushwa Ili watu waache kutorosha madini na viwanda vya kusafisha madini hasa dhahabu vipate malighafi?

Shida Mnakurupukia mambo yaliyo nje ya uweao wenu wa akili.
Kweli we sunk cost ua worthless creature, so kushisha kwa kodi kwenye madini italeta control ya kutorosha madini kweli?
 
Madini yamefanya nini sasa wewe fala? Hujasikia sheria za Kodi kwenye madini kushushwa Ili watu waache kutorosha madini na viwanda vya kusafisha madini hasa dhahabu vipate malighafi?

Shida Mnakurupukia mambo yaliyo nje ya uweao wenu wa akili.
Umeshajiuliza ni sababu gani madini yanatoroshwa?
 
Sasa we kiazi mbona its obvious watu ulita wasitumie miamala wakati ndiyo means rahisi kuhudumia, vijijini kuna bank ngapi au taasisi ngapi za fedha watu waweze kupata huduma, so watu hawana means ndiyo maana kumeonekana kuna ongezeko la watumiaji simu na miamala, hivi nikuulize we kiazi mbona madini ni sehemu yenye kuleta mapato zaidi lakini haijawahi tusaidia, mbona hujaleta data za madini umebaki kuchukua cooked data za kwenye magazeti, Lete takwimu toka chanzo cha NBS
Huna akili shida ndio Hiyo,si wewe kiazi mlisema tozo zitapunguza miamala watu watafunga biashara na banks kitakuwa na foleni? 😄😄..

Tena mkasema itaongeza inflation,mpaka unajiuliza inflation na miamala wapi na wapi? Ndio mumeaibika na kujiona mlivyo viazi,wewe jikite kwenye history ulikobobea kwenye uchumi tuachie sisi wenye fani..

Eti ndio means pekee kwani banks hazipo?
 
Huna akili shida ndio Hiyo,si wewe kiazi mlisema tozo zitapunguza miamala watu watafunga biashara na banks kitakuwa na foleni? [emoji1][emoji1]..

Tena mkasema itaongeza inflation,mpaka unajiuliza inflation na miamala wapi na wapi? Ndio mumeaibika na kujiona mlivyo viazi,wewe jikite kwenye history ulikobobea kwenye uchumi tuachie sisi wenye fani..

Eti ndio means pekee kwani banks hazipo?
Vijijini kuna bank ngapi, ni muwekezaji gani apeleke tawi la bank vijijini ambapo mzunguko mdogo, sema wewe ubishi ninjadi yako
 
Back
Top Bottom