Whitepanther
JF-Expert Member
- Sep 27, 2021
- 289
- 458
Kwahiyo mama yako mburula, muheshimu mama yakoUshaishiwa [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]..
Boga kama wewe utapendwa na mburula mwenzio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mama yako mburula, muheshimu mama yakoUshaishiwa [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]..
Boga kama wewe utapendwa na mburula mwenzio
Mburula mwenzio ndio atakupenda so unajua ndege wafananao? 😆😆Kwahiyo mama yako mburula, muheshimu mama yako
Hebu tuache utani wa kindesi,Mburula mwenzio ndio atakupenda so unajua ndege wafananao? [emoji38][emoji38]
Tumia akili kubwa na kama huna azima hata kwa panya.Madini yamefanya nini sasa wewe fala? Hujasikia sheria za Kodi kwenye madini kushushwa Ili watu waache kutorosha madini na viwanda vya kusafisha madini hasa dhahabu vipate malighafi?
Shida Mnakurupukia mambo yaliyo nje ya uweao wenu wa akili.
Umeingiziwa ukuni naona unatapatapaTumia akili kubwa na kama huna azima hata kwa panya.
Una matusi mpaka unakera.
Mdomo wako unanuka shombo.
Mrudie bwana na utubu urejee.
Huna chanzo kingine chochote cha uhakika zaidi ya TSN!!??Harafu kama huna Takwimu usiwe unajadiliana na mimi kajadiliane na wapumbavu wenzio ndio muwe mna share foolish feelings maana seems huna akili timamu.Kungekuwa na ugumu wa maisha transactions zingeongezeka? Sekta ya mawasiliano ingekuwa kwa 9%?
Kwa kuwa huna akili ndio nakwambia sasa kwamba Serikali imeshusha hizo miamala sio kwa ajili ya kushusha gharama za maisha bali kuvutia watumiaji wazuri..
Nyie ndio mlikuwa mnadanganya ooh sijui miamala imeshuka na upuuzi kama huo,haya hapa miamala imeshuka?[emoji116]
Weka chanzo chako chenye taarifa tofauti na hiyoHuna chanzo kingine chochote cha uhakika zaidi ya TSN!!??
Unaifahamu sheria ya takwimu kweli wewe!!??Weka chanzo chako chenye taarifa tofauti na hiyo
Linatengenzwa tatizo halafu hao hao wanatatua tatizo.Hakuna kitu serikali imepatia kama kuamua kushusha makato ya 42% ya transactions za miamala ya simu. Kutoa makato ya juu ya 7,000/= mpaka kiwango cha juu kuwa 4,000/=
Hii akili ni ya Makamu Wa Rais, wala sio akili ya Waziri Wa Fedha Mwigulu Mchemba.
Asante.TIN ni namba ya utambulisho wa mlipa Kodi,lengo ni kutambua watu wanaostahili kulipa Kodi yaani workforce..
Baada ya kutambua humo ndani otajulikana nani mwanafunzi na nani ni jobless na nani anashughuli ya kufanya Ili alipe Kodi..
Kiufupi ni kwamba wanataka watambue idadi ya wanaostahili kulipa Kodi ilimradi una Kazi ya kuingiza mapato yanayostahili kulipiwa Kodi..