Uongozi UDOM watetea PhD za Mawaziri, na Wabunge

J1 hii Mombasa, meli ilibainika kuwa na mzigo wenye mionzi ya nuclear ukiletwa Bongo.

JF tunajadili kesi ya ....; PhD za .....; Shule ya Uongozi,,, n.k.

Samahani, simaanishi kupanga nini cha kujadili. Namuomba MUNGU AIBARIKI TANZANIA
 
Hivi publications za PhD huwa zinahifadhiwa chuoni wa zinakuwa published kwenye international journals? zinahifadhi liblary kama za undergraduates
 
Hivi publications za PhD huwa zinahifadhiwa chuoni wa zinakuwa published kwenye international journals? zinahifadhi liblary kama za undergraduates
Nadhani zinahifadhiwa kwenye vyuo husika, sina hakika sana
 
Zinatakiwa ziwekwe kwenye mtandao, UDOM wana hiyo system lakini hizo za wanasiasa kamwe huto zikuta. Tatizo na waandishi wetu huwa hawana utamaduni wa kuwabana wanaowahoji na maswali ya msingi
Hili ndio jibu PhD lazima upublishi si chini ya publication mbili ili zipitiwe na wataalamu wengine kwenye Internation Journals. Hapa kwetu wanabebana tu ndio maana hata Prof. M. Mwandosya pia alihoji hili jambo
 
Wanaamini watanzania wote ni mbumbumbu,hatujua kufuatilia mambo.
Hivi inawezekanaje ukute machapisho wa wahitimu wengine ukose la waziri,yeye ni hakua mwanafunzi,why amehitimu?!

Kwa mifumo hii tusitegemee kuwa na Bunge lenye Meno,linaloweza kutafsiri na kutunga sheria zenye malengo ya kuistawisha nchi na wananchi.

Elimu ya bongo,tumepigwaa
 
Chuo kikubwa kama UDOM kukosekana kwa haya machapisho kwenye mtandao ni uzamani sana. Au profesa hajaona umuhimu wa hiki kitu, kwa hiyo mtu aliye mfano nje ya nchi akihitaji kupitia haya machapisho afunge safari mpaka Tanzania?
Profesa ameongea kisiasa.......Kwa ufupi ni kwamba no publications at all. Graduates wote kuanzia degree ya kwanza hadi ya tatu wanaondoka na leaving certificate.
 
Kwa mazingira kama,hayo, kuna uhalakini .... juu ya phD zao ....prof mwandosia hana logic za msimgi sana ila ....wanamjibu kizembe sana,
Then issue ya kusoma thesis ni pana sana kuna vichwa tunavijua vzuri.. kupata u-doctor..
Siyo isue.. nyepesi kiivyo..
Vile vile ili ku- clarify wangeweka Research zao public
 
Hamna kitu hapo.. tulikuwa tu lazima aweke hizo justifications..
Pumbafu zake huyo Pr
 
Zinatakiwa ziwekwe kwenye mtandao, UDOM wana hiyo system lakini hizo za wanasiasa kamwe huto zikuta. Tatizo na waandishi wetu huwa hawana utamaduni wa kuwabana wanaowahoji na maswali ya msingi
Kama kuna uwalakini wa namna hii sasa si ni vyema zote zisiwekwe?

Unaweza nisaidia Cannabis namna ya kuzipata au kuingia katika hiyo system tusome hata hizi zilizopo?
 
Wanataka uende direct chuoni Ili utekwe na wasio julikana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Udom ni chuo cha kisiasa.

Hata wakiwapa PhD wabunge wote ni sawa tu.

Mi naiheshimu PhD ya Mwigullu Nchemba kutoka Makerere tu hao wengine tupa kule!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiki chuo cha UDom kinazidi kujengewa image mbaya kadri miaka inavyosonga. Kuna interview fulani ya kazi rafiki angu alishinda, wenzake wote walifyekwa kisa tu wamesoma UDom, yeye kasoma kwingne.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chuo kikubwa kama UDOM kukosekana kwa haya machapisho kwenye mtandao ni uzamani sana. Au profesa hajaona umuhimu wa hiki kitu, kwa hiyo mtu aliye mfano nje ya nchi akihitaji kupitia haya machapisho afunge safari mpaka Tanzania?
Ndiyoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena amejipambanua wazi wazi ktk kutetea uongo huu mubashara, eti watu waende maktaba ya chuo, lol.
Aweke mtandaoni ili hata aliye kuwepo Cuba ajionee. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…