Uongozi wa Rais Samia wazidi kumulikwa kimataifa: Deutsche Welle

Uongozi wa Rais Samia wazidi kumulikwa kimataifa: Deutsche Welle

Unakuta Bi Mkubwa hata hana shida ila washauri wake sasa! Yaani badala ya kumshauri mambo yenye tija yeye anasoma mpaka hotuba ambazo zinamharibia kila sehemu
 
mambo ya uposhaji, mambo ya kuzua taharuki, na mambo mengine yoyote yenye lengo la kuhatarisha au kuvuruga umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania hayatavumiliwa hata sekunde moja, kuchuliwa hatua na serikali imara na sikivu sana ya CCM, chini ya kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan,

iko wazi, na kwakweli ifahamike zaidi duniani kote kwamba,

Tanzanian government has zero tolerance when it comes to the issue of peace and unit of it's citizens..

umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania, utalindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote, bila kujali wala kubabaika eti sijui nani huko anatafuta huruma DW🤣

kana kwamba wao hawana mambo yanayowahusu wananchi wao, eti wamuonee huruma mtu ambae ni kulalamika day and night. Na actually anatia Huruma atasaidiwa tu..

but ni useless and completely nonsense, kama unashida omba tu utasaidiwa usilalamike sana 🐒
Vyama vingi sio vita na hakuna Chama kinachodai vita au vulugu,hakipo ni hofu tuu ya SM!
 
Lately naona safari za nje zimepungua 😀.

Huyo si wa kukosa UNGA. Lakini badala yake akaenda sijui Ruvuma kule 🤣.

Rais wa taifa la South Afrika 4R zimemuweka huru, amekuwa na furaha maana masuala udikteta chama cha ANC wameamua kutoyabeba kwa namna yoyote ile:

23 September 2024
New York City

Mahojiano na rais Cyril Ramaphosa kuhusu jinsi 4R zilivyoiinua imani ya wananchi na wafanyabishara ndani ya nchi na wale wawekezaji kutoka nje


JINSI CYRIL RAMAPHOSA ANAVYOTUMIA 4R ZA UKWELI, KAMA ZANA YA KUVUTIA MAENDELEO


View: https://m.youtube.com/watch?v=4gF-YkcFMFQ
As part of his itinerary during his visit to New York for the United Nations General Assembly, President Cyril Ramaphosa has spent the day engaging with the American business community. Earlier, the president had encouraged American business people to explore and seize business opportunities in South Africa. He is about to address the American business forum at the New York Stock Exchange
Kwa kujivunia kutoka moyoni bila kuwa na ulaghai wa kutumia 4R kuwezesha chama chake pekee kuwa na wabunge 100% bunge la taifa na bunge la majimbo, Mheshimiwa Cyril Ramaphosa wa South Africa anajivunia jinsi ANC ilivyovuna 40 % ya kura huku chama kinachofuatia DA 21 % huku asilimia zilizobaki 39% zimegawana vyama vingine vidogo.

Kupitia 4R za ukweli nchi inaendelea kuwa na mihimili huru ya Bunge, Mahakama na vyombo vya habari.

Hali hiyo imewapa imani wawekezaji wa ndani wana imani kuwekeza zaidi ndani na pia hali hiyo inavutia wawekezaji zaidi kutoka nje.

Kutokana na kuwa na kuaminiana ndani, South Africa imekuwa mfano kwa mataifa dada jirani zilizo nchi za SADC na mbali zaidi.

4R za ukweli zisizo na hila ovu zimemuondolea rais wa South Africa kutokukosa usingizi na kuwaza kutumia majeshi ya usalama kama polisi na usalama wa taifa kuwatishia raia.

kutokana na mazingira mazuri yaliyoletwa na 4R kupitia serikali ya Umoja wa Kitaifa GNU, sana nchi ina nafasi ya kutumia viongozi wa vyama vingine vya kisiasa katika kulitumikia taifa ktk nafasi za kiuongozi na hivyo nchi kufaidika na kila raia aliye na upana wa maono bila kujali wametoka vyama vingine.

Tofauti na kama ingekuwa utawala wa kimabavu, kuzuia raia kufikia nafasi za kiuamuzi kupitia kura walizopata baada ya kuaminiwa na wapiga kura waliowacgagua katika uchaguzi ulio wazi, huru na wa haki kuanzia ngazi ya mchakato wa mikutano ya vyama vyao, kampeni hadi kutangazwa wameahinda.

Source: SABC News
 
Lissu kuongea wala siyo habari hiyo ni kawaida yake
 
Unakuta Bi Mkubwa hata hana shida ila washauri wake sasa! Yaani badala ya kumshauri mambo yenye tija yeye anasoma mpaka hotuba ambazo zinamharibia kila sehemu
Ukiwa mjinga unadhani ni nini kitatokea? Hii ni kawaida sana. Hata mtu akipata fedha ghafla hupata wapambe wengi ''wanaomshauri'' mambo ya kijinga ili tu wanufaike. Samia amelewa madaraka chakari na siku atajua watu wanamdharau ni siku atakapokuwa hana hicho cheo. Sijui ni kwa nini hakujifunza kutoka kwa Magufuli.
 
Ukiwa mjinga unadhani ni nini kitatokea? Hii ni kawaida sana. Hata mtu akipata fedha ghafla hupata wapambe wengi ''wanaomshauri'' mambo ya kijinga ili tu wanufaike. Samia amelewa madaraka chakari na siku atajua watu wanamdharau ni siku atakapokuwa hana hicho cheo. Sijui ni kwa nini hakujifunza kutoka kwa Magufuli.
Wanaomzunguka ndo wanamchoma Bi Mkubwa
 
mambo ya uposhaji, mambo ya kuzua taharuki, na mambo mengine yoyote yenye lengo la kuhatarisha au kuvuruga umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania hayatavumiliwa hata sekunde moja, kuchuliwa hatua na serikali imara na sikivu sana ya CCM, chini ya kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan,

iko wazi, na kwakweli ifahamike zaidi duniani kote kwamba,

Tanzanian government has zero tolerance when it comes to the issue of peace and unit of it's citizens..

umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania, utalindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote, bila kujali wala kubabaika eti sijui nani huko anatafuta huruma DW🤣

kana kwamba wao hawana mambo yanayowahusu wananchi wao, eti wamuonee huruma mtu ambae ni kulalamika day and night. Na actually anatia Huruma atasaidiwa tu..

but ni useless and completely nonsense, kama unashida omba tu utasaidiwa usilalamike sana 🐒
Mkuu usije kujaribu kuniteka mimi utakula ngumi nyingi halafu siogopi kufa na mkanda mweusi ninao 😁😁😁
 
Naona Tanzania inazidi kujizolea sifa mbaya kimataifa.

Sasa ni zamu ya DW.

Yasikilize/ yatazame mahojiano ya Tundu Lissu.

Serikali ya Tanzania imesitisha shughuli za mtandaoni za gazeti moja kuu. Hii ni baada ya kutoa matangazo ya kibiashara yaliyomhusisha rais na kurejelea utekaji nyara na mauaji ya wapinzani wa kisiasa. The Citizen, moja ya magazeti yenye ushawishi mkubwa kwa lugha ya Kiingereza, ilisema machapisho yake ya mtandaoni yamesitishwa kwa siku 30 na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Moja ya matangazo yaliyotolewa mtandaoni mapema wiki hii na The Citizen lilimuonyesha Rais Samia Suluhu Hassan akiangalia habari za wapinzani na waathirika wa ukandamizaji wa serikali.

Wakati huohuo, upinzani unaituhumu serikali kwa kukandamiza uhuru wa kutoa maoni. Mmoja wa viongozi wakuu, Tundu Lissu, anaishtaki serikali. Anasema Rais Samia Suluhu Hassan anarejea kwenye mienendo ya kiimla ya John Magufuli.

================

In Tanzania, the government has suspended the online operations of a leading newspaper. This, after it released advertising clips featuring the president and referencing recent abductions and killings of dissidents. The Citizen, one of the most influential English-language papers, said its online publications had been suspended for 30 days by the Tanzania Communications Regulatory Authority.

One of the clips released online earlier this week by The Citizen showed President Samia Suluhu Hassan watching news clips of dissidents and victims of state repression.

Meanwhile, the opposition is accusing the government of cracking down on criticism. One of the leading figures, Tundu Lissu, is suing the government. He says President Samia Suluhu Hassan is returning to the authoritarian practices of John Magufuli.
Mwafrika ni lazima apewe mipaka vinginevyo vichaa kama akina Lissu wanaweza leta shida kubwa
 
Japo Siipendi hii Serikal
Lakin hiyo Redio haijawahi kuwa na jema
 
Mkuu, nina imani umesoma hivyo tuongee kama watu wenye elimu tulokalia darasani na tuongee tukitumia uwezo wa kielimu.

Hapa nilipo mtu akifanyiwa unyama ulofanywa kwa mzee huyu polisi hutumia masaa 24 kuwapata wahusika, kulikamata basi na abiria wake kutafutwa au kuombwa watoe taarifa.

Eneo lilipofanyika tukio pangewekwa cordon kwa ajili ya kukusanya evidence.

Hiyo ni kazi ya jeshi la polisi kuhakikisha integrity yake ipo intact,

Kuhusu Tundu Lissu yeye pia ni public figure kama alivyo raisi Samia ingawa yeye yupo kwenye upinzani lakini bado ni public figure ambae anastahiki international forums and platforms. Hivyo DW ni international news organisation na ina hadhi kama zilivyo international news organisations zingine.

Kukoswakosawa kwa risasi si jambo la kawaida laweza pia kuwa hata limemuathiri kisaikolojia for the rest of his life na watu wa aina hii siku akipata nafasi ya kulipa ndo atumia academic credential zake kufungua kesi katika international platforms.

Hawa DW wakitaka ufafanuzi msiogope jitokezeni kwa ujasiri ili mrekebishe pale ambapo panaharibika khasa reputation ya utawala, usidharau hii. Mimi ni diplomat na nazungumza lugha ya chini ili unielewe.

Hivyo hilo likisumbue sana wala lisiisumbue serikali lakini ni lazima wakati huohuo serikali iamke na kutambua kuwa haya mambo yanakuwa recorded for future reference.

Nikupe story fulani kuhusu Bangladesh na madhira walopata watu walokuwa wapinzani. Utawala wa mama Sheikh Hasina ulikuwa ukipuuzia mambo kama haya ya utekaji , utesaji na muaji ya raia, nini kiemtokea leo? Sheikh Hasina amekimbilia uhamishoni India aishi huko na kaisahau Bangladesh.

Yupo raia mmoja aitwa Chakma alitekwa na kuwekwa katika gereza la siri kwa miaka 5! Katoka juzi alishangaa jua! nini yote hii?

Dunia ni mapito siasa ni sehemu ya maisha na sio maisha kamili.
Hata utumie lugha gani ndugu Richard, watetezi wa CCM na sera zao zinazotekelezwa na serikali yao, watu wa dizaini ya Tlaatlaah au Lucas Mwashambwa au Joseph Ludovick na wanaofanana na hawa hawawawezi ku - admit makosa yao wala ku - aknowledge chochote kizuri nje ya wao wenyewe...

Lakini ukweli ni kuwa, they know exactly kuwa kuna shida kubwa ktk sera na mipango yote ya serikali chini ya Chama Cha Mapinduzi - CCM....

They know exactly kuwa, serikali yao imeshindwa pakubwa kujibu matamanio na matarajio ya wananchi....

They know exactly kuwa, wananchi wanajua kushindwa kwao na wanataka waachie ngazi na tupate serikali nyingine mpya (ikibidi nje kabisa na mfumo na utaratibu wa ki - CCM), yenye mwelekeo mpya, sera mpya, mipango mipya na mfumo mpya wa kujitawala na kuisimamia nchi yetu hii....

NA KWA KUWA WANAUFAHAMU udhaifu huu, wanatumia mbinu chakavu za ki - totalitarianism style of leadership kubaki ktk madaraka yao, ku - intimidate wanaohoji, kupinga au kukosoa mipango ya serikali na viongozi wao kwa kuwateka, kutesa, kupoteza na kuwaua...

Ndio maana viongozi wengi wa serikali chini ya CCM ni kama wote wamechanganyikiwa (confused)....

Na unaweza kuthibitisha hili kwa kauli na matendo yao ya ajabu kabisa. They totally in desperation and frustration kwa sababu mbele yao wanakokwenda hawaioni nuru, wanaona giza nene ishara ya mwisho wao na wanadhani wakiwa harsh & brutal kwa namna ile, nuru itawafungukia na wanaweza kuendeleza upuuzi wao huu unaoendelea sass....

Mimi nasema, NO WAY..... THEIR END IS NOW....!
 
Hata utumie lugha gani ndugu Richard, watetezi wa CCM na sera zao zinazotekelezwa na serikali yao, watu wa dizaini ya Tlaatlaah au Lucas Mwashambwa au Joseph Ludovick na wanaofanana na hawa hawawawezi ku - admit makosa yao wala ku - aknowledge chochote kizuri nje ya wao wenyewe...

Lakini ukweli ni kuwa, they know exactly kuwa kuna shida kubwa ktk sera na mipango yote ya serikali chini ya Chama Cha Mapinduzi - CCM....

They know exactly kuwa, serikali yao imeshindwa pakubwa kujibu matamanio na matarajio ya wananchi....

They know exactly kuwa, wananchi wanajua kushindwa kwao na wanataka waachie ngazi na tupate serikali nyingine mpya (ikibidi nje kabisa na mfumo na utaratibu wa ki - CCM), yenye mwelekeo mpya, sera mpya, mipango mipya na mfumo mpya wa kujitawala na kuisimamia nchi yetu hii....

NA KWA KUWA WANAUFAHAMU udhaifu huu, wanatumia mbinu chakavu za ki - totalitarianism style of leadership kubaki ktk madaraka yao, ku - intimidate wanaohoji, kupinga au kukosoa mipango ya serikali na viongozi wao kwa kuwateka, kutesa, kupoteza na kuwaua...

Ndio maana viongozi wengi wa serikali chini ya CCM ni kama wote wamechanganyikiwa (confused)....

Na unaweza kuthibitisha hili kwa kauli na matendo yao ya ajabu kabisa. They totally in desperation and frustration kwa sababu mbele yao wanakokwenda hawaioni nuru, wanaona giza nene ishara ya mwisho wao na wanadhani wakiwa harsh & brutal kwa namna ile, nuru itawafungukia na wanaweza kuendeleza upuuzi wao huu unaoendelea sass....

Mimi nasema, NO WAY..... THEIR END IS NOW....!
maandamano tu mnasalitiana?

kuna kitu mnaweza kukifanya kweli zaidi ya kushindwa mambo yenu wenyewe, kulalamika na kulalamikiana ninyi kwa ninyi 🤣

Serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi wetu madhubuti, makini na ambae sote kama nchi tunampenda sana, tunamuamini na kwakweli ni kipenzi cha waTanzania wote Dr.Samia Suluhu Hassan, itaendelea kufanya kazi kwa bidii na weledi mkubwa sana na kuhakikisha wananchi wanapata maendeleo na kufurahia matunda ya CCM bila mbambamba ya mtu yeyote popote humu nchini 🐒
 
Back
Top Bottom