Upepo bado upo sana Yanga sio "ulikuwa" umetumia past tense Mkuu, tumeanza na kuzoa tuzo, kisha tunafumua kolo mshono derby ya kariakoo, then kazi inaanza upya kusaka tuzo za mwakani kwa kupiga makonzi kila anaejaa kwenye 18 za uto, hadi mwaka 2050 Mzee Magoma akichukua timu yake, simba tutahakikisha inapendeza huko champions league!!