Uongozi wa Simba SC niwaambieni mara ngapi kuwa mkiwa mnajiandaa na Mechi na Yanga SC ficheni Kambi yenu na msiwe huko Bunju / Mbweni kimazoezi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani kuna muda huwa mnanikera sana na natamani hata nibebe tu Grenade nije niwarushie mpukutike kabisa duniani.
 
Mpira wa kibongo ukileta sana mambo ya kiuweledi hutoboi. Mpira wetu unachezwa sana nje ya uwanje. Wanachokifanya Simba ni hatari sana. Wezetu Yanga bado hawajacha utamaduni wa dabi ila sisi Simba tunaleta mambo ya ukisasa.
 
Mpira wa kibongo ukileta sana mambo ya kiuweledi hutoboi. Mpira wetu unachezwa sana nje ya uwanje. Wanachokifanya Simba ni hatari sana. Wezetu Yanga bado hawajacha utamaduni wa dabi ila sisi Simba tunaleta mambo ya ukisasa.
Kuna Watu jana walivaa Jezi za Simba SC wakaenda Mazoezini na baada ya Mechi wananyofoa Nyasi na Kuchota Mchanga.

Tumekwisha....!!!!!!
 
Kuna Watu jana walivaa Jezi za Simba SC wakaenda Mazoezini na baada ya Mechi wananyofoa Nyasi na Kuchota Mchanga.

Tumekwisha....!!!!
Kwasasa Simba hatuna wale viongozi mafia, waliopo ni wale ambao usajili ukisha na kambi ya timu ipo vizuri wanahisi wamemaliza.
Jiulize, kwanini Yanga hata kama wakiwa na timu nzuri vipi ila kwenye dabi wataingilia mlango ambao hauruhusiwi ila viongozi wa Simba wanaipeleka timu kama vile wanaenda kucheza na Tukuyu fc.
 
Mashabiki wa Simba mnateseka sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…