Uongozi wa UDSM watoa angalizo uwepo wa CHATU maeneo ya Shule ya Msingi Mlimani

Uongozi wa UDSM watoa angalizo uwepo wa CHATU maeneo ya Shule ya Msingi Mlimani

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
WhatsApp Image 2024-12-08 at 09.29.31_d51b38c4.jpg
 
Hawa wanyama wanaozurura kwenye makazi ya watu ukiwagusa tu utaona mbio za mamlaka ya wanyama pori watakavyokuja haraka, ila hao wanyama wakijeruhi watu watakuja kwa kuchelewa. Wanadai mishahara yao inatokana na uwepo wa wanyama hao na wana thamani kubwa kuliko mtu!
 
Kwa yale mapori ya UD pale na wanafunzi hupenda sana kujilaza kwenye vivuli vya miti mida ya mchana maana kuna hali ya hewa nzuri kuna siku atamwezwa mwanazuoni mmoja chatu anageuka lecturer wallah.
 
Na ubaya w huyu Nyoka uwindaji wake ni wakuvizia akishajua mahala Kuna windo lake anaweza kaa kwa utulivu bila wewe kujua hata kwa Siku kadhaa ukijashituka umemezwa tayari

Alafu kule si ndio alionekana Chui miaka ya nyuma kidogo
 
Na ubaya w huyu Nyoka uwindaji wake ni wakuvizia akishajua mahala Kuna windo lake anaweza kaa kwa utulivu bila wewe kujua hata kwa Siku kadhaa ukijashituka umemezwa tayari

Alafu kule si ndio alionekana Chui miaka ya nyuma kidogo
Chatu hawindi binadamu hasa watu wazima. Ni watu wachache sana wameshamezwa na chatu duniani hasa kwa miaka ya karibuni. Labda watoto wadogo inaweza kuwa hatari.
 
Hawa wanyama wanaozurura kwenye makazi ya watu ukiwagusa tu utaona mbio za mamlaka ya wanyama pori watakavyokuja haraka, ila hao wanyama wakijeruhi watu watakuja kwa kuchelewa. Wanadai mishahara yao inatokana na uwepo wa wanyama hao na wana thamani kubwa kuliko mtu!
Hapo UDSM atakuwa ametoka pori gani??
 
Back
Top Bottom