Uongozi wa yanga uombe zuio mahakamani baadhi ya vyombo vya habari kuandika kuhusu yanga

Uongozi wa yanga uombe zuio mahakamani baadhi ya vyombo vya habari kuandika kuhusu yanga

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Hii itasaidia sana kudhibiti vyombo vya habari na waandishi wa hovyo
Wafanye kama alivyofanyaga manji kuzuia vyombo vya habari ya mengi kuandika kuhusu yeye
Kwa kuanzia waanze na kuzuia Efm na TVE kuzungumza kuhusu yanga
Kisha waje na baadhi ya waandishi uchwara kama juma ayo
Hii italeta nidhamu sana
Itakewa weledi
Itapunguza mgao wa buku ten ten kutuhafuhaa
 
FB_IMG_1682646137959.jpg
FB_IMG_1682646137959.jpg
FB_IMG_1682646137959.jpg
FB_IMG_1682646137959.jpg
FB_IMG_1682646137959.jpg
FB_IMG_1682646137959.jpg
 
Mimi binafsi nimechoswa na Nyuzi nyingi za Mashabiki wa Yanga.

Zimejaa Upuuzi na ujinga mwingi sana ???



1.kwani yanga ni nani????
Mungu Mwenyewe anasema itakuwa yanga....

2. Kitu Gani Cha MAAJABU kimefanywa na Efm kwa yanga, na kwanini kama Unaakili TIMAMU USILITAJE???

3. Viacheni vyombo vya habari view huru
kuelimisha.
Kukosoa.
KUONYA nk.

FICHA UJINGA WAKO.
 
Mimi binafsi nimechoswa na Nyuzi nyingi za Mashabiki wa Yanga.

Zimejaa Upuuzi na ujinga mwingi sana ???



1.kwani yanga ni nani????
Mungu Mwenyewe anasema itakuwa yanga....

2. Kitu Gani Cha MAAJABU kimefanywa na Efm kwa yanga, na kwanini kama Unaakili TIMAMU USILITAJE???

3. Viacheni vyombo vya habari view huru
kuelimisha.
Kukosoa.
KUONYA nk.

FICHA UJINGA WAKO.
Yanga wana hazina kubwa sana ya wapumbavu
 
Mimi binafsi nimechoswa na Nyuzi nyingi za Mashabiki wa Yanga.

Zimejaa Upuuzi na ujinga mwingi sana ???



1.kwani yanga ni nani????
Mungu Mwenyewe anasema itakuwa yanga....

2. Kitu Gani Cha MAAJABU kimefanywa na Efm kwa yanga, na kwanini kama Unaakili TIMAMU USILITAJE???

3. Viacheni vyombo vya habari view huru
kuelimisha.
Kukosoa.
KUONYA nk.

FICHA UJINGA WAKO.
Mama yako daima tutaendelea kumlaumu kwanini hakumeza p2 kuliko kutuletea kitu cha ajabu
 
Cha moto mtakiona, na badooo. Mi mwenyewe nimeshikilia breaking news hapa, nikiimwaga hapa kuna baadhi yenu mtajinyonga 😛😀

Anyway, msisahau kuangalia mbungi ya South Africa na Morocco leo. Mnaweza kumuona kipenzi chenu Nabi kideoni mumuage kwa mara nyingine 😎
 
Hatuwataki watu kama wewe na wenzako ambao bora mama yenu angekunywa p2 kipindi kile
Nakubali kuna ujinga kuanzia Kwa wachambuzi uchwara Hadi humu JF lakini kauli hii haipaswi kutolewa na Mtu mwenye busara zake.
 
Mimi binafsi nimechoswa na Nyuzi nyingi za Mashabiki wa Yanga.

Zimejaa Upuuzi na ujinga mwingi sana ???



1.kwani yanga ni nani????
Mungu Mwenyewe anasema itakuwa yanga....

2. Kitu Gani Cha MAAJABU kimefanywa na Efm kwa yanga, na kwanini kama Unaakili TIMAMU USILITAJE???

3. Viacheni vyombo vya habari view huru
kuelimisha.
Kukosoa.
KUONYA nk.

FICHA UJINGA WAKO.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom