Uongozi wa yanga uombe zuio mahakamani baadhi ya vyombo vya habari kuandika kuhusu yanga

Uongozi wa yanga uombe zuio mahakamani baadhi ya vyombo vya habari kuandika kuhusu yanga

Cha moto mtakiona, na badooo. Mi mwenyewe nimeshikilia breaking news hapa, nikiimwaga hapa kuna baadhi yenu mtajinyonga 😛😀

Anyway, msisahau kuangalia mbungi ya South Africa na Morocco leo. Mnaweza kumuona kipenzi chenu Nabi kideoni mumuage kwa mara nyingine 😎

Mwaga mwaga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwenye mijadala kama hii epuka kuwaingiza mama za wenzio humu alooo kitaongelewa kitu kuhusu mama yako mzee wangu hutapenda na kitakuumiza kisa ulishindwa kujibu kwa ustaarabu. Nashauri tu
Ongea
 
Mimi binafsi nimechoswa na Nyuzi nyingi za Mashabiki wa Yanga.

Zimejaa Upuuzi na ujinga mwingi sana ???



1.kwani yanga ni nani????
Mungu Mwenyewe anasema itakuwa yanga....

2. Kitu Gani Cha MAAJABU kimefanywa na Efm kwa yanga, na kwanini kama Unaakili TIMAMU USILITAJE???

3. Viacheni vyombo vya habari view huru
kuelimisha.
Kukosoa.
KUONYA nk.

FICHA UJINGA WAKO.
Wewe mwenyewe ni walewale tu.
 
Back
Top Bottom