Uongozi wa Yanga wajitafakari sana kwa hili la Privadinho kukataliwa na mashabiki

Uongozi wa Yanga wajitafakari sana kwa hili la Privadinho kukataliwa na mashabiki

Hekima inatuelekeza kwamba "Justice should not only be done but it must also seems to be done", kwamba haki haitakiwi kutendeka tu bali inatakiwa ionekane ikitendeka.

Hata kama Privadinho kweli ni shabiki wa Yanga kweli lakini mashabiki na wapenzi wa Yanga bado hawajaridhishwa na suala la Priva kupewa nafasi hiyo Yanga kwa sababu gestures zake zina demonstrate Usimba wake.

So katika hilo kwa wanayanga haki haionekani kutendeka.

Suala la Privadinho kupewa nafasi ya uongozi Yanga halijawapendeza wana Yanga wengi.

Mashabiki wa Yanga bado wanaamini kwamba Privadinho ni mshabiki wa Simba.

Ni tusi kubwa sana kwa wana Yanga kumpa nafasi shabiki wa Simba katika eneo ambalo wapo wanachama wapenzi na mashabiki wa Yanga wenye sifa ambao Uyanga wao hauna ukakasi.

Kwako Eng. Hersi Said, please lifanyie kazi, suala la Priva lime wanyong'onyesha wana Yanga wengi sana.
Yanga wawe wapole. Simba ni timu ya 14 kwa ubora Africa na ndiyo timu yenye u ubunifu na mambo mazuri. Mambo yote Yanga inakopi kwa Simba kwa hiyo vumilieni Privadinho kuwa huko mpaka mtakapopata mwana Yanga mwenye uwezo.
 
Kaka hizi timu Simba na Yanga zinapendwa kuliko unavyo weza kufikiri.

Mwaka 93, Mwameja ( ambae ni shabiki wa Yanga lia lia ) akiwa ana dakia Simba alisaini mkataba na Yanga habari zikawafikia wanazi wa Simba.. kuna wanazi wali kwenda nyumbani kwake usiku waka mwagia tindikali kwa lengo la kumpofusha bahati nzuri haikuweza kumfikia wala kumdhuru..

Hili la Priva hapana kwakweli.

And am telling you muda si mrefu watu wataanza kuandamana
Mwameja hajawahi kuwa Yanga hata siku moja. Ninamfahamu kabla hata hajajenga jina akiwa Ndovu Sports Club Arusha mwaka 1988 na akina Lila Shomari, Mwanga Luheya, James Kisaka.
 
Mbona na takadini ni Simba lialia na mnamkubali hadi mnataka kuandamana ili afunguliwe?
Kabisa, huyu ni Simba SC kwa kusema yeye mwenyewe na zamani alikuwa akiurushia mawe msafara wa Uto, na pia Baba yake alithibitisha pasi na shaka kuwa ni Simba SC

Kwahivyo kama Priva ni Mnyama waendelee kukaa naye kama ilivyo kwa Haji.

Na kama haiwezekani basi wajitenge na Haji pamoja na Priva.
 
Mbona Manara ni Simba tena aliwacharura kwelikweli na mnamchekelea leo. Kuna tatizo gani kwa Priva hata kama ni Simba kufanya kazi kwenu? Acheni ubaguzi au kisa yeye si mropokaji kama Haji?
Swala sio Manara kuwa shabiki wa Simba au Yanga, hapa hoja ni kukubalika kwa Privaldinho miongoni mwa mashabiki. Kama Manara alikubalika basi nivyeye, na kama huyu wa sasa amekataliwa huwezi kumhalalisha kwa sababu ya kukubalika kwa Haji.
 
Swala sio Manara kuwa shabiki wa Simba au Yanga, hapa hoja ni kukubalika kwa Privaldinho miongoni mwa mashabiki. Kama Manara alikubalika basi nivyeye, na kama huyu wa sasa amekataliwa huwezi kumhalalisha kwa sababu ya kukubalika kwa Haji.
Washabiki wawe wapole tu, wao wasubiri kushangilia. Mambo ya mikataba wawaachie viongozi, maana waliwaamini wakawachagua
 
Swala sio Manara kuwa shabiki wa Simba au Yanga, hapa hoja ni kukubalika kwa Privaldinho miongoni mwa mashabiki. Kama Manara alikubalika basi nivyeye, na kama huyu wa sasa amekataliwa huwezi kumhalalisha kwa sababu ya kukubalika kwa Haji.
Ki Msingi Simba yenyewe imetoka ndani ya Yanga Kwa maaanaiyo mashabiki wote wa Simba ni Yanga, kama Priva alikua shabiki wa Simba si mbaya, amekuja Yanga ni Nyumbani, Apewe ushirikiano.
 
Yanga wawe wapole. Simba ni timu ya 14 kwa ubora Africa na ndiyo timu yenye u ubunifu na mambo mazuri. Mambo yote Yanga inakopi kwa Simba kwa hiyo vumilieni Privadinho kuwa huko mpaka mtakapopata mwana Yanga mwenye uwezo.
Wakati mmekalia mipasho mtandaoni wenzenu Yanga wanaingia kwa kasi kwenye mabadiliko.
 
Ki Msingi Simba yenyewe imetoka ndani ya Yanga Kwa maaanaiyo mashabiki wote wa Simba ni Yanga, kama Priva alikua shabiki wa Simba si mbaya, amekuja Yanga ni Nyumbani, Apewe ushirikiano.
Hata watu wa Yanga baadhi hukataliwa, sembuse huyu mkia? Elewa, hoja hapa sio timu anayoshabikia, hoja ni kukubalika.
 
Ki Msingi Simba yenyewe imetoka ndani ya Yanga Kwa maaanaiyo mashabiki wote wa Simba ni Yanga, kama Priva alikua shabiki wa Simba si mbaya, amekuja Yanga ni Nyumbani, Apewe ushirikiano.
Basi watulize mashabiki wenzako wa Yanga, maana wa Simba hawana tatizo naye
 
Basi watulize mashabiki wenzako wa Yanga, maana wa Simba hawana tatizo naye
Naanza kukutuliza wewe ambaye ime kuuma Priva kufanya kazi Yanga. Kuhusu ao mashabiki wa Yanga wanao mkataa Priva, baada ya muda wata mkubali.
Ata Mzungu wakati anasajiliwa Simba Kuna baadhi wali mkataaa ila kwasasa ni kipenzi Cha wanamsimbazi.
 
Kabisa, huyu ni Simba SC kwa kusema yeye mwenyewe na zamani alikuwa akiurushia mawe msafara wa Uto, na pia Baba yake alithibitisha pasi na shaka kuwa ni Simba SC

Kwahivyo kama Priva ni Mnyama waendelee kukaa naye kama ilivyo kwa Haji.

Na kama haiwezekani basi wajitenge na Haji pamoja na Priva.
Njooni wote mlioelemewa na misukosuko na machungu ya timu zenu Yanga itawapa hifadhi
 
Yanga wana akili kwani kwa hyo manara alikuwa yanga lini.
 
Yanga wana akili kwani kwa hyo manara alikuwa yanga lini.
Manara is an asset. Ujio wa Manara Yanga hauna tofauti na ujio wa Zamoyoni Mogella Yanga.

Huwezi kulinganisha na huyo somebody Priva
 
Hekima inatuelekeza kwamba "Justice should not only be done but it must also seems to be done", kwamba haki haitakiwi kutendeka tu bali inatakiwa ionekane ikitendeka.

Hata kama Privadinho kweli ni shabiki wa Yanga kweli lakini mashabiki na wapenzi wa Yanga bado hawajaridhishwa na suala la Priva kupewa nafasi hiyo Yanga kwa sababu gestures zake zina demonstrate Usimba wake.

So katika hilo kwa wanayanga haki haionekani kutendeka.

Suala la Privadinho kupewa nafasi ya uongozi Yanga halijawapendeza wana Yanga wengi.

Mashabiki wa Yanga bado wanaamini kwamba Privadinho ni mshabiki wa Simba.

Ni tusi kubwa sana kwa wana Yanga kumpa nafasi shabiki wa Simba katika eneo ambalo wapo wanachama wapenzi na mashabiki wa Yanga wenye sifa ambao Uyanga wao hauna ukakasi.

Kwako Eng. Hersi Said, please lifanyie kazi, suala la Priva lime wanyong'onyesha wana Yanga wengi sana.
hivi priva na haji Sunday manara nani ambae ni mwanasimba damu damu.... kuna baadh ya mashabik ufny mamb kwa hisia zaidi kuliko akili
 
Wewe Ni PUMBAVU SANA. YAANI TUMKATAE PRIVADINHO HALAFU TUMKUBALI HAJI MANARA? WEWE UNA AKILI KWELI?.MANARA TULIMKUBALI KWA KIGEZO GANI? nyie ndo mnafanya wote Yanga tuonekane hatuna akili na tutukanwe.

Manara has come to Young Africans as an asset..

Manara ame hasi Simba.

Amepokelewa Yanga kama Lowassa alivyo pokelewa Chadema
 
hivi priva na haji Sunday manara nani ambae ni mwanasimba damu damu.... kuna baadh ya mashabik ufny mamb kwa hisia zaidi kuliko akili


Wewe ndio huna akili. Manara has come to Young Africans as an asset.

Manara amepokelewa Yanga kama Lowassa alivyo pokelewa Chadema.
 
Back
Top Bottom