Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wanakaa uko kwenye nyumba za ibada mpaka wanasahau familia Mwaka Jana kuna mmoja aliachana na wife wake kisa ubize Wa kazi jamaa alikua na semina za dini 24/7 mwishowe wakammegea wahuni.Hapo ndo shida ilipo.
Alafu watu bado wanaitamani haha hiki kizazi cha maradhi kweli kujitoa kiasi hicho !!!!! Wao wanasema uzalendo Wa kaziKuna wakati unalazimika kutembea na Mke wa mtu ili kuweza kugundua
mambo fulani
Nahapo ndipo walioingia kwa njia za nyoka wanataaabika Mkuu mzigo lazima uwalemeeTISS kwa kipindi hiki ni pahala salama sana ingawa sacrifice ni nyingi unachunguza suala huku nawe unachunguzwa.
Mkuu unamjua na mfadhili pia..we hatari sanaAthari ni pamoja na kufa taratibu kwa kuyajua mabaya mengi yanayoisumbua nchi na huna la kufanya zaidi ya kumweleza mkurugenzi mkuu na mfadhili. Ni mbaya sana kujua kisa na njia ya kukimaliza lakini huwezi tenda.
Lazima ufe kwa kihoro. Suluhisho: Ulevi na Umalaya
Kama hujui majukumu ya TPDF ni bora ukae kimya kuliko kuwadanganya wasomaji, TPDF ina majukumu mengi sana kuliko unavyofikilia kwenye ubongo wako, katika idadi ya vyombo vya ulinzi na usalama tulivyo navyo TPDF ni chombo cha juuu,Ni mbaya kuliko JWTZ @ TPDF kwani wapo kazini saa 24 kwa siku saba. Pia hamjui adui na anatakiwa amfahamu kiundani hasa. Hana adui maalum kwani yote yake mradi usalama wa taifa uwe salama. Tiss personnel are supposed to detect and eliminate in covert and/or clandestine way any threat to national security.
Huo ndio ubaya wa TISS. TPDF anasubiri tuvamiwe ndo aingie kazini.
Hoja yako naikubali mkuuKama hujui majukumu ya TPDF ni bora ukae kimya kuliko kuwadanganya wasomaji, TPDF ina majukumu mengi sana kuliko unavyofikilia kwenye ubongo wako, katika idadi ya vyombo vya ulinzi na usalama tulivyo navyo TPDF ni chombo cha juuu,
Kweli kabisa Ndugu watu wanaongeaga tu bila hata facts, au Experience binafsiKama hujui majukumu ya TPDF ni bora ukae kimya kuliko kuwadanganya wasomaji, TPDF ina majukumu mengi sana kuliko unavyofikilia kwenye ubongo wako, katika idadi ya vyombo vya ulinzi na usalama tulivyo navyo TPDF ni chombo cha juuu
Shukrani Mkuu kwa ushauri umakini unahitajika sana sii kazini tu hata yule house girl anaekufanyia kazi kota za office nikua nae makiniUSHAURI: Kama uko Taasi kubwa za Serikali kuwa makini sana na unacho-share na unachosema, inawezekana ukadhurika japo Indirectly.
sasa ndugu si uende tu akakupe maujanjaWengi wanaishia kwenye Pombe na Umalaya tu.Kuna kipindi nilikua na wakuu wakitengo maeneo flani walinchukua tukatembee nipate kujua maeneo kidogo ila cha kushangaza walipiga bia kama 19 kila MTU ila mmoja alizidiwa na kuanza kuropoka mission zao na majukumu waliyoyakamilisha Nilijifanya siwaelewi ila mmoja akabadili story kwa staili yaaina yake by that time nilikua napata soft drinks na kiepe changu.Mpaka sasa mmoja ananitaftaga sana kunifanya niwe karibu
hvi ni kweli haya maneno ndugu?Vijana wanapenda sana hiyo kazi ya TISS lakini hawaijui vizuri,Kuwa TISS hauishi kwa amani,inabidi 24 hrs uwe Clean,24hrs monitored,ukifanya jambo ambalo linaweza kuhatarisha majukumu yako wanakula KICHWA,Tutakukuta Kwenye Kisima Umekufa au Mtaroni umepigwa risasi au kupigwa Polonium 210 ufe taratibu....Achaneni na mawazo ya kuwa TISS ndio deal,Enzi za nyuma walikuwa wanatumia kivuli cha TISS kula rushwa ila sasa wanapigika tu maana Ngosha na yeye ana watu wake wanaangalia mienendo yao hivyo nao wanaogopa...TISS tunakaa nao mitaani yaani nanga inapaa full kupigika.
Mkuu tatizo hawa vijana wanaingizwa kitengoni wamekosa uadilifu kabisa yaani sasa hadi watoto wadogo wanajua kua flani nikitengo ufahari Wa kujionyesha kuwa wao ni kitengo ndo unawaponza MkuuVijana wanapenda sana hiyo kazi ya TISS lakini hawaijui vizuri,Kuwa TISS hauishi kwa amani,inabidi 24 hrs uwe Clean,24hrs monitored,ukifanya jambo ambalo linaweza kuhatarisha majukumu yako wanakula KICHWA,Tutakukuta Kwenye Kisima Umekufa au Mtaroni umepigwa risasi au kupigwa Polonium 210 ufe taratibu....Achaneni na mawazo ya kuwa TISS ndio deal,Enzi za nyuma walikuwa wanatumia kivuli cha TISS kula rushwa ila sasa wanapigika tu maana Ngosha na yeye ana watu wake wanaangalia mienendo yao hivyo nao wanaogopa...TISS tunakaa nao mitaani yaani nanga inapaa full kupigika.
Nimoja kati ya kazi ambazo siziwezi Mkuu ila wanaonizunguka 3% ni kitengo mkuusasa ndugu si uende tu akakupe maujanja