Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Vijana wanapenda sana hiyo kazi ya TISS lakini hawaijui vizuri,Kuwa TISS hauishi kwa amani,inabidi 24 hrs uwe Clean,24hrs monitored,ukifanya jambo ambalo linaweza kuhatarisha majukumu yako wanakula KICHWA,Tutakukuta Kwenye Kisima Umekufa au Mtaroni umepigwa risasi au kupigwa Polonium 210 ufe taratibu....Achaneni na mawazo ya kuwa TISS ndio deal,Enzi za nyuma walikuwa wanatumia kivuli cha TISS kula rushwa ila sasa wanapigika tu maana Ngosha na yeye ana watu wake wanaangalia mienendo yao hivyo nao wanaogopa...TISS tunakaa nao mitaani yaani nanga inapaa full kupigika.
Kuwa makini.
 
Ni mbaya kuliko JWTZ @ TPDF kwani wapo kazini saa 24 kwa siku saba. Pia hamjui adui na anatakiwa amfahamu kiundani hasa. Hana adui maalum kwani yote yake mradi usalama wa taifa uwe salama. Tiss personnel are supposed to detect and eliminate in covert and/or clandestine way any threat to national security.

Huo ndio ubaya wa TISS. TPDF anasubiri tuvamiwe ndo aingie kazini.

Lakini mara nyingine TISS haiwezi kushughulikia maadui wa taifa bila kuwahusisha TPDF @ JWTZ, Kuna matukio mengi ya kihatari ambayo yanakuwa militaristic sana na TISS hawawezi kuyamaliza wenyewe. Inahitaji ukusanywaji wa taarifa na mikakati ya kijeshi ili kuweza kukamilisha kazi kwa ufanisi wa hali ya juu sana.

Kikubwa zaidi ni kwamba TISS ina mkono mrefu sana kuliko TPDF @ JWTZ,
Kwasababu ni CIVILIAN INTELLIGENCE na inahusika na raia kwa moja kwa moja. TPDF @ JWTZ Jurisdiction yao iko very limited kwasababu wao ni Purely Military tofauti kabisa na TISS.

Japo sasa,
Majasusi wengi wa TISS ambao ni heavy duty wanatokea JWTZ.
Kwasababu mfano tu, mwanajeshi Special Forces (Marine) anakuwa na uwezo mkubwa sana wa kufanya kazi za kijasusi wa kijeshi kama Reconnaissance, Kutegua mabomu, kuchambua na kutafsiri mikakati ya kijeshi ya nchi za adui kuliko jasusi ambaye yuko uraini kila siku . Kikubwa ambacho jasusi wa TISS atamshinda huyu Jasusi aliyetoka jeshi ni "Broad Mind" kwasababu mwisho wa siku kila taarifa za kijasusi ziwe za Kijeshi au Kiraia (Raw Intelligence) ni lazima ichakatwe (Processed) kwa ajili ya matumizi ya Kiutawala(Civilian Administrative Purposes). Wanaochakata ni Analysts ambao ni Think Tanks kutokea TISS kwasababu wanakuwa na mtazamo wa kiraia... ..Hili ndilo linawafanya TISS wawe hatua kumi mbele ya JWTZ @ TPDF kama taasisi.

NB 1: TISS wanafanya kazi bampa tu bampa na JWTZ kwasababu Its the duty of the TISS to make sure the army behaves and remains royal to the government and the state at by and large......!!!! Hivyo contractors wengine wa TISS wanakuwa ni wanajeshi katika asilimia 100% na maisha yao yote ni kwenye Barracks za kule Lugalo au Ngerengere.

Tuseme ukweli,
TISS na JWTZ ni mapacha wasiofanana (Fraternal Twins)
Hakuna anayeweza kufanya kazi bila kumtegemea mwenzake.
TISS IMARA=JWTZ IMARA..........

NB 2: Tusisahau pia kwamba JWTZ nao wana kitengo chao cha Intelijensia.
MILITARY INTELLIGENCE nacho kinafanya kazi na oparesheni kubwa sana za kijeshi.
Kazi yake ni kushughulikia maadui wa taifa covertly/clandestinely ambao ni purely Militaristic or paramilitary in nature........
 
Ngoja nitafute kabisa Popcorns na Kinywaji baridi nikae nione jinsi ' Wajuvi ' wa haya mambo aliyoyaleta Mleta mada / uzi watakavyotiririka na kuserereka ili hata Mimi ' Ngumbaru ' niweze kujua a,b,c's za hii Taasisi ' Tishio ' ndani na nje ya Tanzania.
 
Lakini mara nyingine TISS haiwezi kushughulikia maadui wa taifa bila kuwahusisha TPDF @ JWTZ,
Kuna matukio mengi ya kihatari ambayo yanakuwa Para-militaristic sana TISS hawawezi kuyamaliza wenyewe.
Inahitaji ukusanywaji wa taarifa na mikakati ya kijeshi ili kuweza kukamilisha kazi kwa ufanisi wa juu sana.

Kikubwa zaidi ni kwamba TISS ina mkono mrefu sana kuliko TPDF @ JWTZ,
Kwasababu ni CIVILIAN INTELLIGENCE na inahusika na raia kwa moja kwa moja.
TPDF @ JWTZ Jurisdiction yao iko very limited kwasababu wao ni Purely Military tofauti kabisa na TISS.

Japo sasa,
Majasusi wengi wa TISS ambao ni heavy duty wanatokea JWTZ.
Kwasababu mwanajeshi Special Forces (Marine) anakuwa na uwezo mkubwa sana wa kufanya kazi za kijasusi wa kijeshi kama Reconnaissance, Kutegua mabomu, kuchambua na kutafsiri mikakati ya kijeshi ya nchi za adui kuliko jasusi ambaye yuko uraini kila siku . Kikubwa ambacho jasusi wa TISS atamshinda huyu Jasusi aliyetoka jeshi ni "Broad Minded" kwasababu mwisho wa siku kila taarifa ya kijasusi ziwe za Kijeshi au Kiraia (Raw Intelligence) ni lazima ichakatwe (Processed) kwa ajili ya matumizi ya Kiutawala(Civilian Purposes). Wanaochakata ni Analysts ambao ni Think Tanks kutokea TISS kwasababu wanakuwa na mtazamo wa kiraia... ..Hili ndilo linawafanya TISS wawe hatua kumi mbele ya JWTZ @ TPDF kama taasisi.

NB 1: TISS wanafanya kazi bampa tu bampa na JWTZ kwasababu Its the duty of the TISS to make sure the army behaves and remains royal to the government and the state at by and large......!!!! Hivyo contractors wengine wa TISS wanakuwa ni wanajeshi katika asilimia 100 na maisha yao yote ni kwenye Barracks za kule Lugalo.

Tuseme ukweli,
TISS na JWTZ ni mapacha wasiofanana (Fraternal Twins)
Hakuna anayeweza kufanya kazi bila kumtegemea mwenzake.
TISS IMARA=JWTZ IMARA..........

NB 2: Tusisahau pia kwamba JWTZ nao wana kitengo chao cha Intelijensia.
MILITARY INTELLIGENCE nacho kinafanya kazi na oparesheni kubwa sana za kijeshi.
Kazi yake ni kushughulikia maadui wa taifa covertly/clandestinely ambao ni purely Militaristic of Para-Militaristic in nature........
Tatizo jf unaruhusiwa tu kutoa like moja ingekuwa zaidi ya moja ningekupa zote kwa uchambuzi mzri
 
Kweli kabisa Ndugu watu wanaongeaga tu bila hata facts, au Experience binafsi
Yuko jamaa tulikuwa nae Kazini, in the same Department almost kipind chote cha Rais awamu ya tatu, Tukaenda nae Kuongeza Elimu, awamu ya nne ya JK, Tumerudi Tukapiga Nae kazi Almost 3 Years; Ila Sikuamini wakati Mheshimiwa JPM alipokuwa anahitimisha yale mazoezi ya wanajeshi kwa njia ya Maji, nilimuona akiwa na Gwanda Anapewa mkono na Muheshimiwa Rais; Hapo ndipo nilipojua kuwa TPDF ni chombo cha juu sana kwa ulinzi kama unavyosema.
Kwakweli Ofisin tulishangaa sana, Binafsi sijawahi kumtilia shaka mpaka nilipomuona kwenye hiyo function.
USHAURI: Kama uko Taasi kubwa za Serikali kuwa makini sana na unacho-share na unachosema, inawezekana ukadhurika japo Indirectly.
Unachosema ni dhahiri mkuu.Kuna baadhi ya watu katika idara nyeti za umma wanapenda kushare baadhi ya vitu vya maofisini as a way to release their grievancies lakini ni busara ya kawaida kuhakikisha haujadili kitu ambacho ni siri ya ofisi/wewe binafsi.Kukaa kimya kwa masuala nyeti ya nchi hasa ya usalama ni UZALENDO pia.So guys tuwe makini
 
Kama hujui majukumu ya TPDF ni bora ukae kimya kuliko kuwadanganya wasomaji, TPDF ina majukumu mengi sana kuliko unavyofikilia kwenye ubongo wako, katika idadi ya vyombo vya ulinzi na usalama tulivyo navyo TPDF ni chombo cha juuu,
mkuu show respect kwa Bazazi ,usimchukulie poa sana ,namjua JF tangu 2009 ana nondo za ukweli hatemi pumba labda akiwa kule jukwaa lake chini ndio akili zake zinashuka kwenye zipu..anakamsemo kakeee "Security is Absence of Threats to Acquired and Perceived Values"
muulize Mlalahoi anamjua vizuri
 
Ngoja nitafute kabisa Popcorns na Kinywaji baridi nikae nione jinsi ' Wajuvi ' wa haya mambo aliyoyaleta Mleta mada / uzi watakavyotiririka na kuserereka ili hata Mimi ' Ngumbaru ' niweze kujua a,b,c's za hii Taasisi ' Tishio ' ndani na nje ya Tanzania.
Huna cha kusema hapa?
 
Kweli kabisa Ndugu watu wanaongeaga tu bila hata facts, au Experience binafsi
Yuko jamaa tulikuwa nae Kazini, in the same Department almost kipind chote cha Rais awamu ya tatu, Tukaenda nae Kuongeza Elimu, awamu ya nne ya JK, Tumerudi Tukapiga Nae kazi Almost 3 Years; Ila Sikuamini wakati Mheshimiwa JPM alipokuwa anahitimisha yale mazoezi ya wanajeshi kwa njia ya Maji, nilimuona akiwa na Gwanda Anapewa mkono na Muheshimiwa Rais; Hapo ndipo nilipojua kuwa TPDF ni chombo cha juu sana kwa ulinzi kama unavyosema.
Kwakweli Ofisin tulishangaa sana, Binafsi sijawahi kumtilia shaka mpaka nilipomuona kwenye hiyo function.
USHAURI: Kama uko Taasi kubwa za Serikali kuwa makini sana na unacho-share na unachosema, inawezekana ukadhurika japo Indirectly.

Hiyo kwa kiingereza yaitwa kuwa "discreet", yaani kuwa mwangalifu kwa kila uongeacho au kukifanya ili kuweza kulinda siri na heshima ya taasisi.

TISS ilivurugwa kwa miaka kadhaa pre JPM, pale walipoingia wale wasostahili na zoezi la uhakiki linafanyika.

Mchujo waendelea na wanatemwa wengi.
 
Lakini mara nyingine TISS haiwezi kushughulikia maadui wa taifa bila kuwahusisha TPDF @ JWTZ,
Kuna matukio mengi ya kihatari ambayo yanakuwa Para-militaristic sana TISS hawawezi kuyamaliza wenyewe.
Inahitaji ukusanywaji wa taarifa na mikakati ya kijeshi ili kuweza kukamilisha kazi kwa ufanisi wa juu sana.

Kikubwa zaidi ni kwamba TISS ina mkono mrefu sana kuliko TPDF @ JWTZ,
Kwasababu ni CIVILIAN INTELLIGENCE na inahusika na raia kwa moja kwa moja.
TPDF @ JWTZ Jurisdiction yao iko very limited kwasababu wao ni Purely Military tofauti kabisa na TISS.

Japo sasa,
Majasusi wengi wa TISS ambao ni heavy duty wanatokea JWTZ.
Kwasababu mwanajeshi Special Forces (Marine) anakuwa na uwezo mkubwa sana wa kufanya kazi za kijasusi wa kijeshi kama Reconnaissance, Kutegua mabomu, kuchambua na kutafsiri mikakati ya kijeshi ya nchi za adui kuliko jasusi ambaye yuko uraini kila siku . Kikubwa ambacho jasusi wa TISS atamshinda huyu Jasusi aliyetoka jeshi ni "Broad Minded" kwasababu mwisho wa siku kila taarifa za kijasusi ziwe za Kijeshi au Kiraia (Raw Intelligence) ni lazima ichakatwe (Processed) kwa ajili ya matumizi ya Kiutawala(Civilian Administrative Purposes). Wanaochakata ni Analysts ambao ni Think Tanks kutokea TISS kwasababu wanakuwa na mtazamo wa kiraia... ..Hili ndilo linawafanya TISS wawe hatua kumi mbele ya JWTZ @ TPDF kama taasisi.

NB 1: TISS wanafanya kazi bampa tu bampa na JWTZ kwasababu Its the duty of the TISS to make sure the army behaves and remains royal to the government and the state at by and large......!!!! Hivyo contractors wengine wa TISS wanakuwa ni wanajeshi katika asilimia 100% na maisha yao yote ni kwenye Barracks za kule Lugalo au Ngerengere.

Tuseme ukweli,
TISS na JWTZ ni mapacha wasiofanana (Fraternal Twins)
Hakuna anayeweza kufanya kazi bila kumtegemea mwenzake.
TISS IMARA=JWTZ IMARA..........

NB 2: Tusisahau pia kwamba JWTZ nao wana kitengo chao cha Intelijensia.
MILITARY INTELLIGENCE nacho kinafanya kazi na oparesheni kubwa sana za kijeshi.
Kazi yake ni kushughulikia maadui wa taifa covertly/clandestinely ambao ni purely Militaristic of Para-Militaristic in nature........

Mkuu naona uko kwenye eneo la tukio.

Kama vile uko ndani ya lecture room.😀😀😀
 
Mkuu naona uko kwenye eneo la tukio.

Kama vile uko ndani ya lecture room.😀😀😀
Ndio hivyo tu shetani huwa haruhusu watu wenye akili 100.% kuwa leaders!

Naweza nikakusoma kwa mbali unamaisha Fulani ambayo niyakawaida na wala huwezi kushika hatamu yeyote kwa sababu umebeba kitu hatari sana!

Unauwezo mkubwa wa kuchambua na kama serikari ikijua inawatu kama ninyi wale wakina bash.....e wote wangekuwa wakulima tu!

Big up broh! Nimekusoma fresh
 
Ndio hivyo tu shetani huwa haruhusu watu wenye akili 100.% kuwa leaders!

Naweza nikakusoma kwa mbali unamaisha Fulani ambayo niyakawaida na wala huwezi kushika hatamu yeyote kwa sababu umebeba kitu hatari sana!

Unauwezo mkubwa wa kuchambua na kama serikari ikijua inawatu kama ninyi wale wakina bash.....e wote wangekuwa wakulima tu!

Big up broh! Nimekusoma fresh

Ahsante mkuu kwa kunisoma.

Ila mimi kiukweli huwa napenda tu kusomasoma mambo mengi yananisaidia sana kuufahamu ulimwengu na watu wake.

Ila uongozi tulo nao hii ni zama zake na utapita na utakuja uongozi mwingine.
 
Back
Top Bottom