comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,950
Ifakara mkuu
Daah utakua unakula njuji na pepeta bila kusahau mlamu kalyandili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ifakara mkuu
Mbona nyuzi za Usalana zimekuwa nyingi humu what up?
Sawa mkuu ntakaribia unitafutie na shamba huko nije nilime zangu Vitunguu mkuu au MpungaIfakara mkuu
Mpunga tu Mkuu hapa nipo kwa mudaDaah utakua unakula njuji na pepeta bila kusahau mlamu kalyandili
Karibu MkuuSawa mkuu ntakaribia unitafutie na shamba huko nije nilime zangu Vitunguu mkuu au Mpunga
Kumbe!!!! basi kumbe sio deal
labda deal coz una uhakika wa mshahara ila umakini mkubwa unahitajika,lay low all the time na ukihisiwa kitu kibaya lazima wale kichwa sasa hayo maisha gani?
Pitia uzi huu wa chini:
Utata Kifo Cha Usalama wa Taifa.
Vipi Jeshi la polisi halifanyi kazi sambamba na TISS?Lakini mara nyingine TISS haiwezi kushughulikia maadui wa taifa bila kuwahusisha TPDF @ JWTZ,
Kuna matukio mengi ya kihatari ambayo yanakuwa Para-militaristic sana TISS hawawezi kuyamaliza wenyewe. Inahitaji ukusanywaji wa taarifa na mikakati ya kijeshi ili kuweza kukamilisha kazi kwa ufanisi wa hali ya juu sana.
Kikubwa zaidi ni kwamba TISS ina mkono mrefu sana kuliko TPDF @ JWTZ,
Kwasababu ni CIVILIAN INTELLIGENCE na inahusika na raia kwa moja kwa moja.
TPDF @ JWTZ Jurisdiction yao iko very limited kwasababu wao ni Purely Military tofauti kabisa na TISS.
Japo sasa,
Majasusi wengi wa TISS ambao ni heavy duty wanatokea JWTZ.
Kwasababu mwanajeshi Special Forces (Marine) anakuwa na uwezo mkubwa sana wa kufanya kazi za kijasusi wa kijeshi kama Reconnaissance, Kutegua mabomu, kuchambua na kutafsiri mikakati ya kijeshi ya nchi za adui kuliko jasusi ambaye yuko uraini kila siku . Kikubwa ambacho jasusi wa TISS atamshinda huyu Jasusi aliyetoka jeshi ni "Broad Minded" kwasababu mwisho wa siku kila taarifa za kijasusi ziwe za Kijeshi au Kiraia (Raw Intelligence) ni lazima ichakatwe (Processed) kwa ajili ya matumizi ya Kiutawala(Civilian Administrative Purposes). Wanaochakata ni Analysts ambao ni Think Tanks kutokea TISS kwasababu wanakuwa na mtazamo wa kiraia... ..Hili ndilo linawafanya TISS wawe hatua kumi mbele ya JWTZ @ TPDF kama taasisi.
NB 1: TISS wanafanya kazi bampa tu bampa na JWTZ kwasababu Its the duty of the TISS to make sure the army behaves and remains royal to the government and the state at by and large......!!!! Hivyo contractors wengine wa TISS wanakuwa ni wanajeshi katika asilimia 100% na maisha yao yote ni kwenye Barracks za kule Lugalo au Ngerengere.
Tuseme ukweli,
TISS na JWTZ ni mapacha wasiofanana (Fraternal Twins)
Hakuna anayeweza kufanya kazi bila kumtegemea mwenzake.
TISS IMARA=JWTZ IMARA..........
NB 2: Tusisahau pia kwamba JWTZ nao wana kitengo chao cha Intelijensia.
MILITARY INTELLIGENCE nacho kinafanya kazi na oparesheni kubwa sana za kijeshi.
Kazi yake ni kushughulikia maadui wa taifa covertly/clandestinely ambao ni purely Militaristic of Para-Militaristic in nature........
Cc: zitto junior , Consigliere , ISIS , mngony , mng'ato , Poise , chige, Da'Vinci
ukihisiwa kitu kibaya ndio nn hapo sijakusoma mkuu
Pale kwa Andengenye utamtishia nani? Watu wanataka kula raha hawataki kucheza na moto.Yatosha sasa kila kukicha ni TISS.... Tuongeleeni basi hata Jeshi la Zima Moto Tanzania...
Pale kwa Andengenye utamtishia nani? Watu wanataka kula raha hawataki kucheza na moto.
Mpunga tu Mkuu hapa nipo kwa muda
Haha wacha maneno yako Mkuu .umesahau hawa ndo informer wazuri kaa nao farAisee upo kwa muda tu kumbe haaaa dada zangu hawaponi hapo mkuu daah
Haha wacha maneno yako Mkuu .umesahau hawa ndo informer wazuri kaa nao far