Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Kwa tetesi zisizo rasmi ni kwamba 90% ya wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalma ni watu kutoka TISS undercover hii ni pamoja na wakuu wa vitengo ndani vyombo hivyo ndo maana TISS wanabki kuwa regulator wa kila jambo hata kuamua nani awe president wa nchi
 
Kwa tetesi zisizo rasmi ni kwamba 90% ya wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalma ni watu kutoka TISS undercover hii ni pamoja na wakuu wa vitengo ndani vyombo hivyo ndo maana TISS wanabki kuwa regulator wa kila jambo hata kuamua nani awe president wa nchi

Wacha bana aisee inawezekana kumbe khaaa nchi hii ina siri nyingi mmmaaaa!! mpaka umezing'amua we pia inawezekana ni mmoja wao sikuamini mkuu daah
 
Ubaya mwingine ni unaweza kusacrifice maisha yako kwa mission ulio ifanikisha mwenyewe..pia wanamaisha magumu sana sababu inawachukua mda mrefu kuishi maisha ambayo sio halisi
aiseee sasa mbona kama hali yenyewe ndio IPO hivyo mbona vijna wengi wakiskia mtu niusalama wanamuonea wivu na kutamni maisha yake ..wakati hali ya maisha yao nimbya kiasi hcho
 
Jeshi muda wote WaPo kazini mkuu,,iyo ya kusema wanasubiri hadi sijui kuvamiwa labda kwa nchi km uswisi huko, ,, lkn kwa sisi ambao tunapakana na nchi zenye makundi ya waasi, ,muda mwingi Jeshi letu Lipo mchakamchaka
Muulize anayelinda rada ni nani?

Huko mipakani wanaolinda ni akina nani ?

Hata police wapo kazini 24/7


Ila huyo jamaa exaggeration nyingi ,mbwembwe kibao
 
Ubaya mwingine ni unaweza kusacrifice maisha yako kwa mission ulio ifanikisha mwenyewe..pia wanamaisha magumu sana sababu inawachukua mda mrefu kuishi maisha ambayo sio halisi
Mkuu,hawa wa siku hizi hawako hivo. wapo wapo tu. nilikutana na mmojawapo mitaa fulani wakati ule wa vuguvugu la uchaguzi 2015, mdada hivi mwembamba kweli nafikiri hata kilo 50 hana. nikajiuliza, huyu anaweza kuni-arrest kweli? achilia mbali to eliminate the target..! I was puzzled
 
Kama hujui majukumu ya TPDF ni bora ukae kimya kuliko kuwadanganya wasomaji, TPDF ina majukumu mengi sana kuliko unavyofikilia kwenye ubongo wako, katika idadi ya vyombo vya ulinzi na usalama tulivyo navyo TPDF ni chombo cha juuu,
Hujui unachoongea. TISS hana kazi asiyofanya ilmradi inaathiri usalama wa taifa. Kazi za TPDF zinajulikana na ziko limited to kulinda nchi kutokana na vitisho vya nje. Vitasaidia vyombo vya ndani hasa polisi iwapo wameshindwa.

Ni kweli kimuundo TPDF wapo juu ila kiutendaji, TISS wanaongoza jahazi.
 
Lakini mara nyingine TISS haiwezi kushughulikia maadui wa taifa bila kuwahusisha TPDF @ JWTZ,
Kuna matukio mengi ya kihatari ambayo yanakuwa Para-militaristic sana na TISS hawawezi kuyamaliza wenyewe. Inahitaji ukusanywaji wa taarifa na mikakati ya kijeshi ili kuweza kukamilisha kazi kwa ufanisi wa hali ya juu sana.

Kikubwa zaidi ni kwamba TISS ina mkono mrefu sana kuliko TPDF @ JWTZ,
Kwasababu ni CIVILIAN INTELLIGENCE na inahusika na raia kwa moja kwa moja.
TPDF @ JWTZ Jurisdiction yao iko very limited kwasababu wao ni Purely Military tofauti kabisa na TISS.

Japo sasa,
Majasusi wengi wa TISS ambao ni heavy duty wanatokea JWTZ.
Kwasababu mfano tu, mwanajeshi Special Forces (Marine) anakuwa na uwezo mkubwa sana wa kufanya kazi za kijasusi wa kijeshi kama Reconnaissance, Kutegua mabomu, kuchambua na kutafsiri mikakati ya kijeshi ya nchi za adui kuliko jasusi ambaye yuko uraini kila siku . Kikubwa ambacho jasusi wa TISS atamshinda huyu Jasusi aliyetoka jeshi ni "Broad Mind" kwasababu mwisho wa siku kila taarifa za kijasusi ziwe za Kijeshi au Kiraia (Raw Intelligence) ni lazima ichakatwe (Processed) kwa ajili ya matumizi ya Kiutawala(Civilian Administrative Purposes). Wanaochakata ni Analysts ambao ni Think Tanks kutokea TISS kwasababu wanakuwa na mtazamo wa kiraia... ..Hili ndilo linawafanya TISS wawe hatua kumi mbele ya JWTZ @ TPDF kama taasisi.

NB 1: TISS wanafanya kazi bampa tu bampa na JWTZ kwasababu Its the duty of the TISS to make sure the army behaves and remains royal to the government and the state at by and large......!!!! Hivyo contractors wengine wa TISS wanakuwa ni wanajeshi katika asilimia 100% na maisha yao yote ni kwenye Barracks za kule Lugalo au Ngerengere.

Tuseme ukweli,
TISS na JWTZ ni mapacha wasiofanana (Fraternal Twins)
Hakuna anayeweza kufanya kazi bila kumtegemea mwenzake.
TISS IMARA=JWTZ IMARA..........

NB 2: Tusisahau pia kwamba JWTZ nao wana kitengo chao cha Intelijensia.
MILITARY INTELLIGENCE nacho kinafanya kazi na oparesheni kubwa sana za kijeshi.
Kazi yake ni kushughulikia maadui wa taifa covertly/clandestinely ambao ni purely Militaristic of Para-Militaristic in nature........

Cc: zitto junior , Consigliere , ISIS , mngony , mng'ato , Poise , chige, Da'Vinci
Umeandika sawa ila kuna kosa kidogo. TISS ina watumishi wake na hakuna mwanajeshi aliyeanzia TPDF. Ukimkuta ujue TISS ilimpeleka na si vinginevyo.

La maana ni hilo TISS ni mlinzi namba moja wa nchi (firstline of defence).
 
mkuu show respect kwa Bazazi ,usimchukulie poa sana ,namjua JF tangu 2009 ana nondo za ukweli hatemi pumba labda akiwa kule jukwaa lake chini ndio akili zake zinashuka kwenye zipu..anakamsemo kakeee "Security is Absence of Threats to Acquired and Perceived Values"
muulize Mlalahoi anamjua vizuri
Obama wa Bongo

Uonezi huu mkuu. Ila maana ya usalama ni hiyo ulioitaja. Kugongewa mke ni hatari kwa usalama wa familia kwani ni "kitu" chenye thamani kwako.
 
Kwa Tuliofanikiwa Kusoma Kina James Bond- The Gold Finger, Ian Flemming- A spy Who Loved Me, The Icarus Agenda By Robert Ludlum, Godfather By Mario Puzzo, Carl The Jackal,The Scorpion Illusion Etc Naiona TISS Kama Kituko Flani Ivi. In Short They Have A Long Walk To Intelligence Industry. lemme Stop Here.
 
Kwa Tuliofanikiwa Kusoma Kina James Bond- The Gold Finger, Ian Flemming- A spy Who Loved Me, The Icarus Agenda By Robert Ludlum, Godfather By Mario Puzzo, Carl The Jackal,The Scorpion Illusion Etc Naiona TISS Kama Kituko Flani Ivi. In Short They Have A Long Walk To Intelligence Industry. lemme Stop Here.
Mkuu Unaonekana Una Elimu Na Intelligence Sio Kwa Hayo Mavitabu. Kama Una Hardcopy Nisaidie Naipenda Hii Kazi Nasikia Hawa Jamaa Wanaangalia Pia Watu Wachunguzi Wa Mambo Kupitia Novels Kama Hizo Hapo. Nimeanza Kusoma Kina James Hadley Chase. Novel Ni Tamu Balaa Ndo Maana Mzungu Begi Lake Nguo Mbili The Rest Books.
 
Vijana wanapenda sana hiyo kazi ya TISS lakini hawaijui vizuri,Kuwa TISS hauishi kwa amani,inabidi 24 hrs uwe Clean,24hrs monitored,ukifanya jambo ambalo linaweza kuhatarisha majukumu yako wanakula KICHWA,Tutakukuta Kwenye Kisima Umekufa au Mtaroni umepigwa risasi au kupigwa Polonium 210 ufe taratibu....Achaneni na mawazo ya kuwa TISS ndio deal,Enzi za nyuma walikuwa wanatumia kivuli cha TISS kula rushwa ila sasa wanapigika tu maana Ngosha na yeye ana watu wake wanaangalia mienendo yao hivyo nao wanaogopa...TISS tunakaa nao mitaani yaani nanga inapaa full kupigika.
Comment yako imenisisimua sana mkuu. Kwa jinsi ninavyopenda kuishi maisha ya uhuru siku nikianza kuwa monitored wanaweza nipoteza siku mbili tu maana nitashindwa kuigiza vile wanataka niwe. Hii ni kazi ya watu waliojitoa haswa.
 
Back
Top Bottom