Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Mkuu,hawa wa siku hizi hawako hivo. wapo wapo tu. nilikutana na mmojawapo mitaa fulani wakati ule wa vuguvugu la uchaguzi 2015, mdada hivi mwembamba kweli nafikiri hata kilo 50 hana. nikajiuliza, huyu anaweza kuni-arrest kweli? achilia mbali to eliminate the target..! I was puzzled
Mkuu yawezekana yeye anakusanya taarifa wenye nguvu wanakuja kueliminate target
 
kuna shida usalamani kwetu for sure...binafsi najua kazi moja kubwa sana ya under covers ni last para za sms za mange kimambi "hide my ID" undercover yoyote akishajulikana basi ni useless he deserve to die....siku mpaka najishangaa yaani kuna siku niko bar napiga story na mshikaji huku tunakula bia story zikahitaji mawasiliano wakati tunabadilishana no ndo ikabidi nimulize jamaa anaitwa nani akaniambia we save.......usalama...nikapata kigugumizi kidogo nikamuuliza unasema??? akarudia tena Somebody usalama..dah na mimi nikasve the same name...baada ya muda ikabidi ni chunguze nikakuta kweli ni usalama...now najua hadi ofisini kwao...watumishi wao wote waliopo hapo ofisini...na jamaa mwaka jana kapanda cheo ndo alitangaza kila mahali na akafanya bonge la part.... binafsi nina kaconection kaujasusi bt idara nyingine low level kabisa ila methods and tactics remain the same ..so nadhani mwaka jana depo jipya liliingia uraiani kuna kadada kembamba kweli kalegevu haswa nako ni TISS yaan ni nanga mpaka basi...kila nyumba anayoishi haipiti mwezi anatambulika so anaamua kuhama...kahama kama nne alivyokuja kwangu na mimi nikamjua hata sikumficha siku moja nikamwambia wewe ni nanga usalama gani sasa wewe? alimind akataka hadi kulia jamani mim nimehama nyumba ngap sijui ilo nisijulikane lakinj naona hata siwezi nikamwambia ndo unanga wenyewe..... pia maboss wao wanawatumia vibaya sana kiasi kwamba inakua ngumu kuhide ID..
Hii Kitu Yote Kiintelejensia Inaitwa " BLOWN" To Know The Identity Of Unofficial Agent. Sasa Hawa Wa Kibongo bongo Nahisi Hawajui Maana Ya Kuwa Un-official Agent Ama Lah Wajafanya Kusudi Tuwaabudu.
 
Japo sijakuelewa nini hasa ilikuwa target yako ktk hili basi nitoe tu kidogo ninavyoifikiria idara hii.
Kwa nchi tulivu kama yetu Usalama wa taifa hawana changamototo yoyote kubwa ktk kazi yao ukilinganisha na Nchi nyingine dunia zenye maadui wengi iwe uadui wa nchi na nchi au vikundi vya kigaidi au uasi. Hawa wetu ukiwafanya sub na wa nchi kama Iraq, Syria, libya, Marekani, Israel, Urus n.k.
 
Hii Kitu Yote Kiintelejensia Inaitwa " BLOWN" To Know The Identity Of Unofficial Agent. Sasa Hawa Wa Kibongo bongo Nahisi Hawajui Maana Ya Kuwa Un-official Agent Ama Lah Wajafanya Kusudi Tuwaabudu.
blown cover .....ndo shida kubwa...
 
Ni mbaya kuliko JWTZ @ TPDF kwani wapo kazini saa 24 kwa siku saba. Pia hamjui adui na anatakiwa amfahamu kiundani hasa. Hana adui maalum kwani yote yake mradi usalama wa taifa uwe salama. Tiss personnel are supposed to detect and eliminate in covert and/or clandestine way any threat to national security.

Huo ndio ubaya wa TISS. TPDF anasubiri tuvamiwe ndo aingie kazini.

Tatizo lako unashindwa kuelewa, kwamba huko JWTZ ndo kuna tiss wengi sana, ambao kazi yao nikutoa taarifa kwa boss wao, kuhusu hali ya usalama wa nchi,siku zote, miaka yote,mapindizi ya nchi au migomo mikubwa ya nchi huanzia huko Jeshini... JWTZ ni sawa na Tiss tu, ingawa kila mtu ana majukumu na kazi zote maalum.....
 
Hii Kitu Yote Kiintelejensia Inaitwa " BLOWN" To Know The Identity Of Unofficial Agent. Sasa Hawa Wa Kibongo bongo Nahisi Hawajui Maana Ya Kuwa Un-official Agent Ama Lah Wajafanya Kusudi Tuwaabudu.
Huwa nasema sana Humu kwenye michango yangu DISCIPLINE is the Fundamental Key to Success, Most of Raia wa TZ achilia mbali Hawa Usalama hawana Discipline(Nidhamu) Nidhamu ni ile hali ya kufanya jambo lolote kama inavyopaswa na si kama unavyopenda.
Sasa hicho kitu Africa ni sawa na hakipo kwa kiwango kikubwa, watu wanafanya mambo kama wanavyopenda. So usalama wa Taifa unahitaji usiri, hata kama hupendi Siri ni lazima uwe na kaliba hiyo, kama huna basi utafanya kwa weledi mdogo, ndio maana ya Un-Offical Agent sasa kama nidhamu hakuna huwezi kufanikisha hilo.
Nidhamu ya Kuongea, nidhamu ya fedha Nidhamu!! Nidhamu!! Nidhamu!!
 
tatizo huwa hawagusiki ndicho wanachotamani vijana,ule umwamba na kufanya chochote ila hawazingatii yanayowakabili wanausalama,zikiwemo hatari zinazojadiliwa humu

Hivi huwa hawakamatwi na kufungwa kama ametenda kosa? humu hamna hatari zinazojadiliwa mkuu utaacha waanze kazi zao ohoo
 
Ubaya mwingine ni unaweza kusacrifice maisha yako kwa mission ulio ifanikisha mwenyewe..pia wanamaisha magumu sana sababu inawachukua mda mrefu kuishi maisha ambayo sio halisi

Not true brother, kumbuka tiss kuna vitengo vingi sana, wanaopata shida ni hawa tiss wanaoranda randa mitaani kukusanya taarifa,anaweza tembea toka posta mpya hadi tegeta kwa miguu,kavaa nguo chafu,kiatu kichafu hadi kimeisha upande,anafika kwenye baa anakaa kama vile katoka shamba, au tiss disaini ya machinga....anatembeza nguo,kumbe yuko kazini........ Tiss wa namna hii wanaweza pewa kazi hiyo for five years, to accomplish the mission,so wewe na mimi tunaweza zani jamaa kachoka kumbe yuko for special task....
 
Hivi huwa hawakamatwi na kufungwa kama ametenda kosa? humu hamna hatari zinazojadiliwa mkuu utaacha waanze kazi zao ohoo
Mbona kiongozi wa Nida aliwekwa mahabusu ?

Kama vigogo wa Tiss wanafungwa sembuse maofisa wadogo ?

Huyo chalii analeta story za vijiweni
 
Hivi huwa hawakamatwi na kufungwa kama ametenda kosa? humu hamna hatari zinazojadiliwa mkuu utaacha waanze kazi zao ohoo

Hua wanakufaga vifo vya ajabu sana, utasikia tu,kauwawa na watu wasiojulikana ni mfanyakazi wa idara nyeti ya serikalini
 
Mbona kiongozi wa Nida aliwekwa mahabusu ?

Kama vigogo wa Tiss wanafungwa sembuse maofisa wadogo ?

Huyo chalii analeta story za vijiweni


Naomba uwe na kumbukumbu,Kigogo wa Nida aliyewekwa mahabusu sio Dr Modestus ni kigogo mwingine baada ya Modestus kutoka pale.... Usalama pia uko sana makanisani hasa catholic, na hata huyu Boss wa Tiss wa sasa ni Askofu wa kanisa flani kama sio mchungani
 
Sio Ishu ya Tetesi ndugu, ndivyo ilivyo kwa uhalisia wake; Kila Idara, Mfumo wa utendaji unapoanzishwa basi lazima jamaa wawekwe.
Hii ilianza zamani toka enzi za nyerere, Kila taasisi ilipoanzishwa aliangalia Mfumo mzuri wa kupenyeza watu wa Usalama ili kuhakikisha Taasisi, Idara au Mfumo husika unafanya kazi Bila kuleta wasiwasi kwenye usalama wa Taifa.

Wakati wa kuanzishwa Mfumo wa Vyama vingi, Nyerere aliigomea hii kitu kabisa (Alikuwa hataki mfumo wa vyama vingi), Lakini ishu ilikuwa atawezaje kuhakiksha usalama wa Taifa kwenye Vyama hivyo (ndani katika utendaje wake), Ilimchukua muda tangu azimio la vyama vingi kutakiwa mpaka jamaa aliporuhusu. Ndipo akaweka Utaratibu kuwa Ukitaka upate usajili wa kudumu basi chama cha siasa basi lazima kipate wanachama japo 200 angalau katika mikoa kumi. Sasa hapa ndipo inakuwaga ndio pale Usalama wa nchi Yetu unaingiza watu wake japo 5, na mara nyingi si watu wa kawaida unakuta ni watu walio very smart kwenye uwezo wa kupambanua mambo, wana mtazamo chanya kabisa kabisa juu ya hicho chama, wanajenga hoja vizuri kiasi kwamba ni rahisi kupewa nyadhifa za juu katika chama, ila Core-business yake ni Undercover; (wako kazini kiusalama na si kichama), Achana na Usalama hawa vijana wa siku izi, anatoa kitambulisho, mara bastola; Usalama makini nawaambia huwezi kumtilia shaka ndugu yangu, Angali comment yangu nyingine hapo juu, kuna mtu nimefanya nae kazi serikali ya awamu ya 3 yotee, same Dept, Tukaenda kusoma ughaibuni tukarudi awamu ya Jk miaka 3+ tuko nae ofisini ila nikamuona amevaa Gwanda anapewa Mkono na Mheshimiwa Rais wa Awamu hii ya 5, Nilistaajabu sana; hawa jamaa mtu anafanya kazi yake kwa ueledi huku akifanya jitihada zote asiweke wasiwasi juu ya walio karibu nae; Katika Idara zote na Taasisi za Serikali Lazima kuwepo watu wa system (ni lazima) BOT, Taasisi za Elimu, Mashirika ya Umma yote, Mamlaka zotee( EWURA,TRA,TRL,TFDA,TPA,MSD,SUMMATRA yaani mamlaka zote) Tena Hao TISS wanakuaga wanapanda taratibu vyeo kutokana na Usmart wao (Refer Mkuu wa Idara ya Usalama wa sasa MK)
Most of high political Leaders hasa wale walionza toka Mfumo wa Vyama vingi umeingia nchini, Believe me ni Under cover, Wako kiusalama zaidi kuliko kichama.

NB: Usalama wa Taifa uko katika nyanja nyingi sana, Kiuchumi, Kijamii etc ndio maana watu wanawekwa kwenye hizo Idara, vyama vya siasa, mashirika ya kijamii na Mamlaka zote; Infact Usalama wa Nchi ndio unahakikisha unapata Raisi ambaye hana viashiria vya kuhatarisha Usalama wa Taifa letu (i hope mtanielewa) Huwa wanapropose na kuhakikisha wanatoa Support stahili.
Umeandika vyema ila hapo ulipoaema usalama wa taifa wanahakikisha anapatikana raisi ambaye hatotishia usalama wa taifa,swali ni je viongozi wanaosababisha economic sabatoge hao sio watu tishio kwa taifa? Awamu mbili zilizopita ilikuaje?
 
Naomba uwe na kumbukumbu,Kigogo wa Nida aliyewekwa mahabusu sio Dr Modestus ni kigogo mwingine baada ya Modestus kutoka pale.... Usalama pia uko sana makanisani hasa catholic, na hata huyu Boss wa Tiss wa sasa ni Askofu wa kanisa flani kama sio mchungani

kweli dunia sio duara maana ndani ya dunia kuna nchi mbona sio duara?
 
swali ni je viongozi wanaosababisha economic sabatoge hao sio watu tishio kwa taifa? Awamu mbili zilizopita ilikuaje?
Swali zuri mkuu, ila Tunarudi kwenye comment zangu huko juu, kuwa NIDHAMU/DISCIPLINE, watu pamoja na hayo mambo na kila kitu kuna watu wanafanya mambo pasipo weledi, Hasa awamu ya nne jamaa walikosea, kwa sababu System ilikuwa Corrupted Tayari ( Kumbuka awamu ya nne muhusika ndiye aliyekusudiwa kuingia) So inawezekana hawakufanya kazi yao vizuri.
Kwa awamu ya Tatu, naweza kusema ile ni Economic sabotage ila siyo ya moja kwa moja, Kwa sababu jamaa alionekana kama kutumia Approach ya ubinafsishaji ili kutoka mahali tulipo (hayo ni mawazo yangu yaweza yasiwe sahihi)
But: Kuna uzi humu unaitwa Utata kifo cha Dr. omari something like that, utaelewa hata kupitia Usalama Bwana Mchonga alijutia maamuzi yake ya kuruhusu Bwana wa awamu ya 3 aingie, maana alianza kufanya vitu ndivyo sivyo.
So kukengeuka kupo as long as hakuna Discipline.
Asante kwa kuliona hilo.
 
Naomba uwe na kumbukumbu,Kigogo wa Nida aliyewekwa mahabusu sio Dr Modestus ni kigogo mwingine baada ya Modestus kutoka pale.... Usalama pia uko sana makanisani hasa catholic, na hata huyu Boss wa Tiss wa sasa ni Askofu wa kanisa flani kama sio mchungani

Ni Dickson Maimu mkuu
 
kuna shida usalamani kwetu for sure...binafsi najua kazi moja kubwa sana ya under covers ni last para za sms za mange kimambi "hide my ID" undercover yoyote akishajulikana basi ni useless he deserve to die....siku mpaka najishangaa yaani kuna siku niko bar napiga story na mshikaji huku tunakula bia story zikahitaji mawasiliano wakati tunabadilishana no ndo ikabidi nimulize jamaa anaitwa nani akaniambia we save.......usalama...nikapata kigugumizi kidogo nikamuuliza unasema??? akarudia tena Somebody usalama..dah na mimi nikasve the same name...baada ya muda ikabidi ni chunguze nikakuta kweli ni usalama...now najua hadi ofisini kwao...watumishi wao wote waliopo hapo ofisini...na jamaa mwaka jana kapanda cheo ndo alitangaza kila mahali na akafanya bonge la part.... binafsi nina kaconection kaujasusi bt idara nyingine low level kabisa ila methods and tactics remain the same ..so nadhani mwaka jana depo jipya liliingia uraiani kuna kadada kembamba kweli kalegevu haswa nako ni TISS yaan ni nanga mpaka basi...kila nyumba anayoishi haipiti mwezi anatambulika so anaamua kuhama...kahama kama nne alivyokuja kwangu na mimi nikamjua hata sikumficha siku moja nikamwambia wewe ni nanga usalama gani sasa wewe? alimind akataka hadi kulia jamani mim nimehama nyumba ngap sijui ilo nisijulikane lakinj naona hata siwezi nikamwambia ndo unanga wenyewe..... pia maboss wao wanawatumia vibaya sana kiasi kwamba inakua ngumu kuhide ID..

'pia maboss wao wanawatumia vibaya sana kiasi kwamba inakua ngumu kuhide ID' Sasa mkuu maboss wao wanawatumiaje
 
Back
Top Bottom