Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You did it all mkuuLakini mara nyingine TISS haiwezi kushughulikia maadui wa taifa bila kuwahusisha TPDF @ JWTZ,
Kuna matukio mengi ya kihatari ambayo yanakuwa Para-militaristic sana na TISS hawawezi kuyamaliza wenyewe. Inahitaji ukusanywaji wa taarifa na mikakati ya kijeshi ili kuweza kukamilisha kazi kwa ufanisi wa hali ya juu sana.
Kikubwa zaidi ni kwamba TISS ina mkono mrefu sana kuliko TPDF @ JWTZ,
Kwasababu ni CIVILIAN INTELLIGENCE na inahusika na raia kwa moja kwa moja.
TPDF @ JWTZ Jurisdiction yao iko very limited kwasababu wao ni Purely Military tofauti kabisa na TISS.
Japo sasa,
Majasusi wengi wa TISS ambao ni heavy duty wanatokea JWTZ.
Kwasababu mfano tu, mwanajeshi Special Forces (Marine) anakuwa na uwezo mkubwa sana wa kufanya kazi za kijasusi wa kijeshi kama Reconnaissance, Kutegua mabomu, kuchambua na kutafsiri mikakati ya kijeshi ya nchi za adui kuliko jasusi ambaye yuko uraini kila siku . Kikubwa ambacho jasusi wa TISS atamshinda huyu Jasusi aliyetoka jeshi ni "Broad Mind" kwasababu mwisho wa siku kila taarifa za kijasusi ziwe za Kijeshi au Kiraia (Raw Intelligence) ni lazima ichakatwe (Processed) kwa ajili ya matumizi ya Kiutawala(Civilian Administrative Purposes). Wanaochakata ni Analysts ambao ni Think Tanks kutokea TISS kwasababu wanakuwa na mtazamo wa kiraia... ..Hili ndilo linawafanya TISS wawe hatua kumi mbele ya JWTZ @ TPDF kama taasisi.
NB 1: TISS wanafanya kazi bampa tu bampa na JWTZ kwasababu Its the duty of the TISS to make sure the army behaves and remains royal to the government and the state at by and large......!!!! Hivyo contractors wengine wa TISS wanakuwa ni wanajeshi katika asilimia 100% na maisha yao yote ni kwenye Barracks za kule Lugalo au Ngerengere.
Tuseme ukweli,
TISS na JWTZ ni mapacha wasiofanana (Fraternal Twins)
Hakuna anayeweza kufanya kazi bila kumtegemea mwenzake.
TISS IMARA=JWTZ IMARA..........
NB 2: Tusisahau pia kwamba JWTZ nao wana kitengo chao cha Intelijensia.
MILITARY INTELLIGENCE nacho kinafanya kazi na oparesheni kubwa sana za kijeshi.
Kazi yake ni kushughulikia maadui wa taifa covertly/clandestinely ambao ni purely Militaristic of Para-Militaristic in nature........
Cc: zitto junior , Consigliere , ISIS , mngony , mng'ato , Poise , chige, Da'Vinci
Unaongea kwa codes sana mkuu,nawe angalia usiteleze kama kambaleBasi jamani waacheni sasa kuwajadili sana watachukia na uzalendo utawatoka
Ndo mana hukuwa mmoja waoKwa jins nlvyo ningekua uko wangeshanila kichwa
kuna shida usalamani kwetu for sure...binafsi najua kazi moja kubwa sana ya under covers ni last para za sms za mange kimambi "hide my ID" undercover yoyote akishajulikana basi ni useless he deserve to die....siku mpaka najishangaa yaani kuna siku niko bar napiga story na mshikaji huku tunakula bia story zikahitaji mawasiliano wakati tunabadilishana no ndo ikabidi nimulize jamaa anaitwa nani akaniambia we save.......usalama...nikapata kigugumizi kidogo nikamuuliza unasema??? akarudia tena Somebody usalama..dah na mimi nikasve the same name...baada ya muda ikabidi ni chunguze nikakuta kweli ni usalama...now najua hadi ofisini kwao...watumishi wao wote waliopo hapo ofisini...na jamaa mwaka jana kapanda cheo ndo alitangaza kila mahali na akafanya bonge la part.... binafsi nina kaconection kaujasusi bt idara nyingine low level kabisa ila methods and tactics remain the same ..so nadhani mwaka jana depo jipya liliingia uraiani kuna kadada kembamba kweli kalegevu haswa nako ni TISS yaan ni nanga mpaka basi...kila nyumba anayoishi haipiti mwezi anatambulika so anaamua kuhama...kahama kama nne alivyokuja kwangu na mimi nikamjua hata sikumficha siku moja nikamwambia wewe ni nanga usalama gani sasa wewe? alimind akataka hadi kulia jamani mim nimehama nyumba ngap sijui ilo nisijulikane lakinj naona hata siwezi nikamwambia ndo unanga wenyewe..... pia maboss wao wanawatumia vibaya sana kiasi kwamba inakua ngumu kuhide ID..
tiss wamejazana madogo wakina 'Kipara' wanalewa na tu kufany umalayaVijana wanapenda sana hiyo kazi ya TISS lakini hawaijui vizuri,Kuwa TISS hauishi kwa amani,inabidi 24 hrs uwe Clean,24hrs monitored,ukifanya jambo ambalo linaweza kuhatarisha majukumu yako wanakula KICHWA,Tutakukuta Kwenye Kisima Umekufa au Mtaroni umepigwa risasi au kupigwa Polonium 210 ufe taratibu....Achaneni na mawazo ya kuwa TISS ndio deal,Enzi za nyuma walikuwa wanatumia kivuli cha TISS kula rushwa ila sasa wanapigika tu maana Ngosha na yeye ana watu wake wanaangalia mienendo yao hivyo nao wanaogopa...TISS tunakaa nao mitaani yaani nanga inapaa full kupigika.
Mkuu kama uzalendo upo lakin kwa watu wachache,,Jisemee wewe usijumuishe taifa tafadhari
Sema chochote mkuu wengine tujifunzeNatamani nichangie kitu katika uzii huu ili jiwatoe watu tongotongo lakini nahisi nitavuka mipaka.So ngoja nibaki msomaji tu.
Sawa nitaandika baadhi ya vitu hapa lakini itakua mida ya saa 1530 nitakuwa free zaidi ngoja kwa sasa nipige kaziSema chochote mkuu wengine tujifunze
Nitashuku ukinimention pia.Sawa nitaandika baadhi ya vitu hapa lakini itakua mida ya saa 1530 nitakuwa free zaidi ngoja kwa sasa nipige kazi
Mzushi tu weweUposahihi Mkuu.
Nakumbuka Mwaka 2009 Nikiwa Mzumbe Sekondari Niliwahi Kufuatwa Usiku Wa Saa Tisa Nikiwa Darasani Kwenye Corner Peke Yangu Utulivu Mkubwa Na Sauti Za Milio Ya Wadudu Ikisika Baridi Ilikuwa Kali Nilisahau Kuja Na Sweater Ama Shuka. Mkononi Nilikuwa Nimeshikilia Kitabu Cha " The Da Vinc Code" By Dan Brown Nikiwa Natetema Kutokana Na Baridi Pia Kitabu Kilikuwa Kinatisha Baadhi Ya Sehemu. Wakati Nipo Deep Kwenye Kitabu Kama Mtu Anapokuwa Captivated Kwenye Movie Nikahisi Uwepo Wa Kitu Kwa Upande Wa Dirishani Hii Ni Moja Ya Gift Niliyopewa "Active Instincts" or Intuition" Nikajifanya Sijaona Chochote Ili Kuondoa Attention Ya Kitu Kilichopo Dirishani. Kwa Mara Ya Pili Nikahisi Hali Hii Nikajaribu Kudirect Macho Nione Aisee Nilipigwa Powerful Flash Light Ya Ajabu Mpaka Nikajiona Half- blind Nikatupa Kitabu Nitoke Nje Kumbe Kile Kitu Kilikuja Mbio Mpaka Mlangoni. Alikuwa Mtu Mrefu, Mweusi, Amevaa Spy coat Yenye Hood Na Miwani Nyeusi Aina Ya SPECTACLES. Tulibaki Kama Dakika Mbili Tunaangaliana Bila Kusema Kitu Mwishoni Akaniambia Kuna Kitu Nimepewa Ni Confidential Wakati Huo Akaingiza Mkono Wake Ndani Ya Koti Lake Upande Wa Kifuani Akitoa Bahasha Ya Brown Kabla Hajanipa Aliniambia Ikibainika Nimejaribu Kusema Ama Kuonesha Kilichomo Ndani Nisahau Wazazi Wangu Sikuonesha Kushutushwa Kwani Nimeyaona Sana Haya Mambo Vitabuni. Akanipa Ishara Anaondoka. Nikaiweka Bahasha Kwenye Novel Yangu Nikarudi Bweni La Mkwawa. Nikwaza Moyoni Sitaisoma Mpaka Kesho Tena Nitakwenda Mbali Kabisa Na Eneo La Shule. Ilipofika Ijumaa Jioni Nikaenda Sehemu Inaitwa "Kilima Hewa" Sehemu Ya Nje Ya Mzumbe University. Kwa Bahati Nzuri Nikakuta Hamna Mtu Kabisa Nikashuka Mpaka Chini Ya Mlima, Nikaangalia Kushoto Na Kulia Hakukuwa Na Object Of Attention. Nikaingiza Mkono Mpaka Ndani Ya Bukta Ambako Niliifadhi Kwenye Mfuko Wa Rambo. Taraatibu Nikaanza Kuifungua Ile Bahasha N ilipigwa Butwaa Baada Ya Kuona Maandishi Ya Ajabu Ambayo Yamepangwa Ajabu Kwa Wino Mweus.i Zikakata Kama Dakika Kumi Nikiangalia Jinsi Gani Ningeweza Kupata Maana Ya Ujumbe Nilioupata Kwa Njia Ya Kusisimua. Nikakumbuka Wakati Naisoma Novel Ya Dan Brown " The Da Vinc Code" Kuna Kitu Kinaitwa "Ambigram" Na "Anagram" ( Watu Wa Symbiology Mnaelewa) Techniques Ambazo Zilitumika Miaka Ya Nyuma Kufanya Ujumbe Uwe Wa Siri Na Ikitokea Mtu Asiyehusika Akaupata Asiweze Kuelewa. Hapo Nikafanya Transfer Of Knowledge Kwa Kutumia Ambigram Ambapo Maandishi Huandikwa Kinyume Na Ili Uweze Kuelewa Ni Mpaka Utumie Kioo ( Watu Wa Reflection Of Light Mnaelewa) Ama Uishikile Karatasi Juu Kama Unaangalia Jua Hapa Unaweza Kusoma Clerarly. Nilivyo Maliza Kusoma Yale Maandashi Sikuamini Nilijuta Kwanini Nimekuwa Mtumwa Wa Novel. Inshort Nilipewa Kitu Kinaitwa " Black Bag Job" ( Watu Wa Intelligence Mnaelewa) Kilichoendelea I was Once In A While " Birdwatcher" Kwa Leo Naomba Niishie Hapo. Ila Mkuu Novels Ni Slaa Maalumu Kwa Watu Wa Usalama Kuna Mzee Ni Mstaafu Rafiki Yangu Tumejauana Kutokana Na Novels. Sijui Kwa Vijana Wa Siku Hizi Kama Wana Hobby Na Hii Kitu Kama Zamani.
Kazi ya kukesha mkilinda silaha zetu ndio waona kazi ngumu hiyo, Ugumu wa kz yenu ipo pale tu ikitokea vita. Binafsi naipenda kz yenu mnakula shumbwela mbaka basi.Huwa nashindwa kuwaelewa watu wanaosemaga kuwa TPDF hawana kazi ngumu ni bora mnyamaze tu
Ludi kwenye katiba usome vixur majukumi ya TPDF, harafu usiwe unajidanganya kuwa hao wote unaowaona wako na viongozi ni TISS Peke yao, ndo maana nakwambia kama huna huna uhakika na kitu usikilete hapa, kuna watu wanajua lakin wako kimya, ishu hizi ni nyeti sanaHujui unachoongea. TISS hana kazi asiyofanya ilmradi inaathiri usalama wa taifa. Kazi za TPDF zinajulikana na ziko limited to kulinda nchi kutokana na vitisho vya nje. Vitasaidia vyombo vya ndani hasa polisi iwapo wameshindwa.
Ni kweli kimuundo TPDF wapo juu ila kiutendaji, TISS wanaongoza jahazi.
Ndiyo mkuu ndo nilivo maanisha,ndomana nikasema wanamaisha magumu kwa kuishi maisha ambayo sio halisi,kama unakuta machinga mwenye maisha magumu kumbe ni tiss au unakuta mwalimu wenye maisha mgumu kumbe ni tiss,huo sio uhalisia wao wa maisha..Not true brother, kumbuka tiss kuna vitengo vingi sana, wanaopata shida ni hawa tiss wanaoranda randa mitaani kukusanya taarifa,anaweza tembea toka posta mpya hadi tegeta kwa miguu,kavaa nguo chafu,kiatu kichafu hadi kimeisha upande,anafika kwenye baa anakaa kama vile katoka shamba, au tiss disaini ya machinga....anatembeza nguo,kumbe yuko kazini........ Tiss wa namna hii wanaweza pewa kazi hiyo for five years, to accomplish the mission,so wewe na mimi tunaweza zani jamaa kachoka kumbe yuko for special task....
kuna shida usalamani kwetu for sure...binafsi najua kazi moja kubwa sana ya under covers ni last para za sms za mange kimambi "hide my ID" undercover yoyote akishajulikana basi ni useless he deserve to die....siku mpaka najishangaa yaani kuna siku niko bar napiga story na mshikaji huku tunakula bia story zikahitaji mawasiliano wakati tunabadilishana no ndo ikabidi nimulize jamaa anaitwa nani akaniambia we save.......usalama...nikapata kigugumizi kidogo nikamuuliza unasema??? akarudia tena Somebody usalama..dah na mimi nikasve the same name...baada ya muda ikabidi ni chunguze nikakuta kweli ni usalama...now najua hadi ofisini kwao...watumishi wao wote waliopo hapo ofisini...na jamaa mwaka jana kapanda cheo ndo alitangaza kila mahali na akafanya bonge la part.... binafsi nina kaconection kaujasusi bt idara nyingine low level kabisa ila methods and tactics remain the same ..so nadhani mwaka jana depo jipya liliingia uraiani kuna kadada kembamba kweli kalegevu haswa nako ni TISS yaan ni nanga mpaka basi...kila nyumba anayoishi haipiti mwezi anatambulika so anaamua kuhama...kahama kama nne alivyokuja kwangu na mimi nikamjua hata sikumficha siku moja nikamwambia wewe ni nanga usalama gani sasa wewe? alimind akataka hadi kulia jamani mim nimehama nyumba ngap sijui ilo nisijulikane lakinj naona hata siwezi nikamwambia ndo unanga wenyewe..... pia maboss wao wanawatumia vibaya sana kiasi kwamba inakua ngumu kuhide ID..
Huyo aliyepanda cheo yupo ofisi ya Makamu wa Rais,alienda hadi kanisani kuomba misa ,kanisa nalificha kwa sasa, na akafanyia sherehe yake napo pia napaficha....
Comment yako imenisisimua sana mkuu. Kwa jinsi ninavyopenda kuishi maisha ya uhuru siku nikianza kuwa monitored wanaweza nipoteza siku mbili tu maana nitashindwa kuigiza vile wanataka niwe. Hii ni kazi ya watu waliojitoa haswa.