Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Kazi ya kukesha mkilinda silaha zetu ndio waona kazi ngumu hiyo, Ugumu wa kz yenu ipo pale tu ikitokea vita. Binafsi naipenda kz yenu mnakula shumbwela mbaka basi.
Hakuna kazi ngumu kama kulinda uhai wa jilani yako,nakutumika kama ngao ya raia wako,,,,yaani its better wewe ufe jilani yako apone mpika chapati siku zote hawezi elewa umuhimu wa kunde
 
Vijana wanapenda sana hiyo kazi ya TISS lakini hawaijui vizuri,Kuwa TISS hauishi kwa amani,inabidi 24 hrs uwe Clean,24hrs monitored,ukifanya jambo ambalo linaweza kuhatarisha majukumu yako wanakula KICHWA,Tutakukuta Kwenye Kisima Umekufa au Mtaroni umepigwa risasi au kupigwa Polonium 210 ufe taratibu....Achaneni na mawazo ya kuwa TISS ndio deal,Enzi za nyuma walikuwa wanatumia kivuli cha TISS kula rushwa ila sasa wanapigika tu maana Ngosha na yeye ana watu wake wanaangalia mienendo yao hivyo nao wanaogopa...TISS tunakaa nao mitaani yaani nanga inapaa full kupigika.
TISS wa awamu ya 4 na 5 nitofauti,wengi watoto wa mujini... Ndio mana vijana wanavutiwa na kazi hiii wakiamini maisha ya upigaji na uuzaji sembe...
 
Sawa mkuu ngoja niwasubiria wajuvi
Ile kazi unafanya kwa moyo mmoja,ukikataa inamana hujapendezwa nayo na wao siku zote hawanaga kujila,kwasababu umekataa wanakuacha nazani,sizani kama wataendelea kukuomba uwe mmoja wao maana uko mbeleni usije kuwafanya wakaonekana maluza na kuwapotezea channel zao.
Labda tu kabla hujakataa watakushawishi kwa sababu mbali mbali ili uwe recruited,lakini ukigoma na hapo mh sizani.

Me sijui nimeandika tu ninavyofikiri
 
Kazi ya kukesha mkilinda silaha zetu ndio waona kazi ngumu hiyo, Ugumu wa kz yenu ipo pale tu ikitokea vita. Binafsi naipenda kz yenu mnakula shumbwela mbaka basi.
Pole itakua ulikosa nafasi ya kujiunga na JWTZ au ulimaliza kwa mujibu wa sheria au mkataba uliisha ukarudi nyumbani.Pole ni kawaida ya watu kama nyie kutukana mitandaoni baada ya kukosa nafasi.
 
Ile kazi unafanya kwa moyo mmoja,ukikataa inamana hujapendezwa nayo na wao siku zote hawanaga kujila,kwasababu umekataa wanakuacha nazani,sizani kama wataendelea kukuomba uwe mmoja wao maana uko mbeleni usije kuwafanya wakaonekana maluza na kuwapotezea channel zao.
Labda tu kabla hujakataa watakushawishi kwa sababu mbali mbali ili uwe recruited,lakini ukigoma na hapo mh sizani.

Me sijui nimeandika tu ninavyofikiri
Okay.
 
Sawa aisee karibu sana kigamboni.Humu naona mengi yameshajibiwa na watu wameridhika tayar ngoja nipumzike kidogo.
Saa kumi na moja mkuu nasubiri usisahau somo ulilotaka kutoa tafadhali.
 
Athari ni pamoja na kufa taratibu kwa kuyajua mabaya mengi yanayoisumbua nchi na huna la kufanya zaidi ya kumweleza mkurugenzi mkuu na mfadhili. Ni mbaya sana kujua kisa na njia ya kukimaliza lakini huwezi tenda.

Lazima ufe kwa kihoro. Suluhisho: Ulevi na Umalaya
Huwa tunasema: Kuyafanya mambo fulani yabaki kuwa ni mambo yasiyopaswa kuongewa hadharani...
 
Ni mbaya kuliko JWTZ @ TPDF kwani wapo kazini saa 24 kwa siku saba. Pia hamjui adui na anatakiwa amfahamu kiundani hasa. Hana adui maalum kwani yote yake mradi usalama wa taifa uwe salama. Tiss personnel are supposed to detect and eliminate in covert and/or clandestine way any threat to national security.

Huo ndio ubaya wa TISS. TPDF anasubiri tuvamiwe ndo aingie kazini.
Sio kweli kwamba wanasubiri tuvamiwe ndio waingie kazini, JWTZ unaingia kazini pale tu ukishaapa na kupangiwa kikosi.

Lakini uelewe kwamba hata jeshini kuna vitengo vyote ikiwamo intelligence, engineer, polisi,madaktari,nk.
Na kila mmoja yuko kazini siku zote
 
asante mkuu kwa hii elimu, hakika nime jifunza mengi...,

Lakini mara nyingine TISS haiwezi kushughulikia maadui wa taifa bila kuwahusisha TPDF @ JWTZ,
Kuna matukio mengi ya kihatari ambayo yanakuwa Para-militaristic sana na TISS hawawezi kuyamaliza wenyewe. Inahitaji ukusanywaji wa taarifa na mikakati ya kijeshi ili kuweza kukamilisha kazi kwa ufanisi wa hali ya juu sana.

Kikubwa zaidi ni kwamba TISS ina mkono mrefu sana kuliko TPDF @ JWTZ,
Kwasababu ni CIVILIAN INTELLIGENCE na inahusika na raia kwa moja kwa moja.
TPDF @ JWTZ Jurisdiction yao iko very limited kwasababu wao ni Purely Military tofauti kabisa na TISS.

Japo sasa,
Majasusi wengi wa TISS ambao ni heavy duty wanatokea JWTZ.
Kwasababu mfano tu, mwanajeshi Special Forces (Marine) anakuwa na uwezo mkubwa sana wa kufanya kazi za kijasusi wa kijeshi kama Reconnaissance, Kutegua mabomu, kuchambua na kutafsiri mikakati ya kijeshi ya nchi za adui kuliko jasusi ambaye yuko uraini kila siku . Kikubwa ambacho jasusi wa TISS atamshinda huyu Jasusi aliyetoka jeshi ni "Broad Mind" kwasababu mwisho wa siku kila taarifa za kijasusi ziwe za Kijeshi au Kiraia (Raw Intelligence) ni lazima ichakatwe (Processed) kwa ajili ya matumizi ya Kiutawala(Civilian Administrative Purposes). Wanaochakata ni Analysts ambao ni Think Tanks kutokea TISS kwasababu wanakuwa na mtazamo wa kiraia... ..Hili ndilo linawafanya TISS wawe hatua kumi mbele ya JWTZ @ TPDF kama taasisi.

NB 1: TISS wanafanya kazi bampa tu bampa na JWTZ kwasababu Its the duty of the TISS to make sure the army behaves and remains royal to the government and the state at by and large......!!!! Hivyo contractors wengine wa TISS wanakuwa ni wanajeshi katika asilimia 100% na maisha yao yote ni kwenye Barracks za kule Lugalo au Ngerengere.

Tuseme ukweli,
TISS na JWTZ ni mapacha wasiofanana (Fraternal Twins)
Hakuna anayeweza kufanya kazi bila kumtegemea mwenzake.
TISS IMARA=JWTZ IMARA..........

NB 2: Tusisahau pia kwamba JWTZ nao wana kitengo chao cha Intelijensia.
MILITARY INTELLIGENCE nacho kinafanya kazi na oparesheni kubwa sana za kijeshi.
Kazi yake ni kushughulikia maadui wa taifa covertly/clandestinely ambao ni purely Militaristic of Para-Militaristic in nature........

Cc: zitto junior , Consigliere , ISIS , mngony , mng'ato , Poise , chige, Da'Vinci
 
Back
Top Bottom